< Kutoka 37 >

1 Bezaleli akatengeneza Sanduku la mbao za mshita: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja na nusu.
Forsothe Beseleel made also an arke of the trees of Sechym, hauynge twey cubitis and an half in lengthe, and a cubit and an half in breede; forsothe the hiynesse was of o cubit and an half; and he clothide the arke with purest gold, with ynne and without forth.
2 Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.
And he made to it a goldun coroun `bi cumpas,
3 Akasubu pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.
and yetide foure goldun ryngis, bi foure corneris therof, twey ryngis in o side, and twei ryngis in the tother side.
4 Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
And he made barris of the trees of Sechym, whiche barris he clothide with gold,
5 Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
and whiche barris he putte into the ryngis that weren in the sidis of the arke, to bere it.
6 Akatengeneza kifuniko cha upatanisho kwa dhahabu safi: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu.
He made also a propiciatorie, that is, Goddis answeryng place, of pureste gold, of twei cubitis and an half in lengthe, and of o cubit and an half in breede.
7 Kisha akatengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.
Also he made twei cherubyns of gold, betun out with hamer, whiche he settide on euer eithir side of the propiciatorie,
8 Akatengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; akawatengeneza kuwa kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.
o cherub in the hiynesse of o part, and the tother cherub in the hiynesse of the tothir part; twei cherubyns, oon in ech hiynesse of the propiciatorie, stretchynge out the wengis,
9 Makerubi hao walikuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, wakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao walielekeana, wakitazama hicho kifuniko.
and hilynge the propiciatorie, and biholdynge hem silf togidere and that.
10 Akatengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili, upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
He made also a boord of `the trees of Sechym, in the lengthe of twey cubitis, and in the breede of o cubit, whiche boord hadde `a cubit and an half in heiythe.
11 Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
And he cumpaside the boord with clenneste gold, and made to it a goldun brynke bi cumpas;
12 Pia akatengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne, na kuufanyia ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.
and he made to that brynke a goldun coroun, rasid bitwixe of foure fyngris; and on the same coroun he made anothir goldun coroun.
13 Akasubu pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na kuzifungia kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.
Also he yetide foure goldun serclis whiche he settide in foure corneris,
14 Pete hizo ziliwekwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza.
bi alle the feet of the boord ayens the coroun, and he puttide barris in to the serclis, that the `boord may be borun.
15 Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
And he made tho barris of the trees of Sechym, and cumpasside tho with gold.
16 Vyombo vyote vya mezani vilitengenezwa kwa dhahabu safi: yaani sahani zake, masinia, na bakuli na bilauri zake kwa ajili ya kumiminia sadaka za vinywaji.
And he made vesselis to dyuerse vsis of the boord, vessels of vynegre, violis, and litle cuppis, and censeris of pure gold, in whiche the fletynge sacrifices schulen be offrid.
17 Akatengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vilivyofanana na ua, matovu na maua vilikuwa kitu kimoja.
And he made a candilstike, betun out with hamer, of clenneste gold, of whos barre yerdis, cuppis, and litle rundelis and lilies camen forth;
18 Matawi sita yalitokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.
sixe in euer eithir side, thre yerdis on o side, and thre on the tother side; thre cuppis in the maner of a note bi ech yerde, and litle rundels to gidere, and lilies;
19 Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vilikuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yaliyotokeza kwenye kile kinara cha taa.
and thre cuppis at the licnesse of a note in the tother yerde, and litle rundels to gidere, and lilies; forsothe the werk of sixe schaftis, that camen forth of the `stok of the candilstike, was euene.
20 Juu ya kinara chenyewe kulikuwepo na vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.
Sotheli in that barre weren foure cuppis, in the maner of a note, and litle rundels and lilies weren bi alle cuppis;
21 Tovu moja lilikuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani, matawi sita kwa jumla.
and litle rundels vndur twei schaftis, bi thre placis, whiche to gidre be maad sixe schaftis comynge forth of o barre;
22 Matovu na matawi yote yalikuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakiwa yamefuliwa kwa dhahabu safi.
therfor and the litle rundels, and schaftis therof, weren alle betun out with hamer, of pureste gold.
23 Akatengeneza taa zake saba, na pia mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote kwa dhahabu safi.
He made also seuene lanternes, with her `snytyng tongis, and the vessels where `tho thingis, that ben snytid out, ben quenchid, of clennest gold.
24 Akatengeneza kinara hicho cha taa pamoja na vifaa vyake vyote kutumia talanta moja ya dhahabu safi.
The candilstike with alle his vessels weiyede a talent of gold.
25 Akatengeneza madhabahu ya kufukizia uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, urefu na upana wake dhiraa moja, na kimo cha dhiraa mbili, nazo pembe zake zilikuwa kitu kimoja nayo.
He made also the auter of encense, of trees of Sechym, hauynge a cubit bi square, and twei cubitis in heiythe, of whos corneris camen forth hornes.
26 Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka.
And he clothide it with clenneste gold, and the gridele, and wallis, and hornes;
27 Akatengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, zikiwa mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko iliyotumika kuyabebea madhabahu.
and he made to it a litil goldun coroun bi cumpas, and twei goldun ryngis vndur the coroun, bi ech syde, that barris be put in to tho, and the auter mow be borun.
28 Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Forsothe he made tho barris of the trees of Sechym, and hilide with goldun platis.
29 Pia akatengeneza mafuta matakatifu ya upako, na uvumba safi wenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato.
He made also oile to the oynement of halewyng, and encense of swete smellynge spiceries, moost clene, bi the werk of `a makere of oynement.

< Kutoka 37 >