< Ayubu 32 >

1 Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe.
Da nu hine tre Mænd ikke mere svarede Job, fordi han var retfærdig i sine egne Øjne,
2 Lakini Elihu mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa jamaa ya Ramu, akamkasirikia sana Ayubu, kwa sababu ya kujihesabia haki mwenyewe badala ya Mungu.
blussede Vreden op i Buziten Elihu, Barak'els Søn, af Rams Slægt. På Job vrededes han, fordi han gjorde sig retfærdigere end Gud,
3 Pia aliwakasirikia hao rafiki watatu wa Ayubu, kwa sababu hawakuweza kupata njia ya kuthibitisha ya kuwa hayo maneno ya Ayubu hayakuwa ya kweli, nao bado walikuwa wamemlaumu.
og på hans tre Venner, fordi de ikke fandt noget Svar og dog dømte Job skyldig.
4 Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye.
Elihu havde ventet, så længe de talte med Job, fordi de var ældre end han;
5 Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.
men da han så, at de tre Mænd intet havde at svare, blussede hans Vrede op;
6 Basi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema: “Mimi ni mdogo kwa umri, nanyi ni wazee; ndiyo sababu niliogopa, sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.
og Buziten Elihu, Barak'els Søn, tog til Orde og sagde: Ung af Dage er jeg, og I er gamle Mænd, derfor holdt jeg mig tilbage, angst for at meddele eder min Viden;
7 Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
jeg tænkte: "Lad Alderen tale og Årenes Mængde kundgøre Visdom!"
8 Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.
Dog Ånden, den er i Mennesket, og den Almægtiges Ånde giver dem Indsigt;
9 Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
de gamle er ikke altid de kloge, Oldinge ved ej altid, hvad Ret er;
10 “Kwa hiyo nasema: Nisikilizeni mimi; mimi nami nitawaambia lile ninalojua.
derfor siger jeg: Hør mig, lad også mig komme frem med min Viden!
11 Nilingojea mlipokuwa mnaongea, nilizisikiliza hoja zenu; mlipokuwa mkitafuta maneno ya kusema,
Jeg biede på, at I skulde tale, lyttede efter forstandige Ord, at I skulde finde de rette Ord;
12 niliwasikiliza kwa makini. Lakini hakuna hata mmoja wenu aliyethibitisha kwamba Ayubu amekosa; hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kujibu hoja zake.
jeg agtede nøje på eder; men ingen af eder gendrev Job og gav Svar på hans Ord.
13 Msiseme, ‘Tumepata hekima; Mungu na amthibitishe kuwa mwongo, wala si mwanadamu.’
Sig nu ikke: "Vi stødte på Visdom, Gud må fælde ham, ikke et Menneske!"
14 Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.
Mod mig har han ikke rettet sin Tale, og med eders Ord vil jeg ikke svare ham.
15 “Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema; maneno yamewaishia.
De blev bange, svarer ej mer, for dem slap Ordene op.
16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?
Skal jeg tøve, fordi de tier og står der uden at svare et Ord?
17 Mimi nami nitakuwa na la kusema; mimi nami nitasema lile nilijualo.
Også jeg vil svare min Del, også jeg vil frem med min Viden!
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno, nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;
Thi jeg er fuld af Ord, Ånden i mit Bryst trænger på;
19 ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai, kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari kupasuka.
som tilbundet Vin er mit Bryst, som nyfyldte Vinsække nær ved at sprænges;
20 Ni lazima niseme ili niweze kutulia; ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.
tale vil jeg for at få Luft, åbne mine Læber og svare.
21 Sitampendelea mtu yeyote, wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote;
Forskel gør jeg ikke og smigrer ikke for nogen;
22 kwa kuwa kama ningekuwa stadi wa kujipendekeza, Muumba wangu angeniondolea mbali kwa upesi.
thi at smigre bruger jeg ikke, snart rev min Skaber mig ellers bort!

< Ayubu 32 >