< Ayubu 40 >

1 Bwana akamwambia Ayubu:
Niin Herra vastasi Jobille ja sanoi:
2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
"Tahtooko vikoilija riidellä Kaikkivaltiasta vastaan? Jumalan syyttäjä vastatkoon tähän!"
3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
Silloin Job vastasi Herralle ja sanoi:
4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
"Katso, minä olen siihen liian halpa; mitäpä sinulle vastaisin? Panen käteni suulleni;
5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
kerran minä olen puhunut, enkä enää mitään virka, kahdesti, enkä enää sitä tee."
6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
Silloin Herra vastasi Jobille tuulispäästä ja sanoi:
7 “Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
"Vyötä nyt kupeesi kuin mies; minä kysyn sinulta, opeta sinä minua.
8 “Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
Sinäkö teet tyhjäksi minun oikeuteni, tuomitset minut syylliseksi, ollaksesi itse oikeassa?
9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
Tahi onko sinun käsivartesi niinkuin Jumalan, ja voitko korottaa äänesi jylinän niinkuin hän?
10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
Kaunistaudu kunnialla ja korkeudella, pukeudu loistoon ja kirkkauteen.
11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
Anna vihasi kiivastuksen purkautua, ja masenna katseellasi kaikki ylpeät.
12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
Nöyryytä katseellasi kaikki ylpeät, ja muserra jumalattomat siihen paikkaan.
13 Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
Kätke heidät tomuun kaikki tyynni, sulje heidän kasvonsa salaiseen kätköön.
14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
Silloin minäkin ylistän sinua, kun oikea kätesi on hankkinut sinulle voiton.
15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
Katso Behemotia, jonka minä loin niinkuin sinutkin; se syö ruohoa niinkuin raavas.
16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
Katso, sen voima on lanteissa, sen väkevyys vatsalihaksissa.
17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
Se ojentaa jäykäksi häntänsä kuin setripuun, sen reisijänteet ovat lujiksi punotut.
18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
Sen luut ovat niinkuin vaskiputket, sen nikamat niinkuin raudasta taotut.
19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
Se on Jumalan töiden esikoinen; sen luoja ojentaa sille miekan.
20 Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
Sille kantavat satonsa vuoret, joilla kaikki metsän eläimet leikitsevät.
21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
Lootuspensaiden alla se makaa, ruovikon ja rämeen kätkössä.
22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
Lootuspensaat peittävät sen varjoonsa, puron pajut ympäröivät sitä.
23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
Jos virta hätyyttää, ei se säikähdy, se on huoleton, kuohukoon vaikka itse Jordan sen kitaan.
24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
Kukapa kävisi kiinni sen silmiin, lävistäisi heittoaseella sen turvan?

< Ayubu 40 >