< Waamuzi 6 >

1 Waisraeli wakafanya tena yaliyo maovu mbele za Bwana, naye kwa miaka saba Bwana akawatia mikononi mwa Wamidiani.
Forsothe the sones of Israel diden yuel in the `siyt of the Lord, and he bitook hem in the hond of Madian seuene yeer.
2 Mkono wa Midiani ukawa na nguvu dhidi ya Israeli na kwa ajili ya Wamidiani, Waisraeli wakajitengenezea mahali pa kujificha milimani, kwenye mapango na ngome.
And thei weren oppressid of hem greetly; and `thei maden dichis, and dennes to hem silf in hillis, and strongeste places to fiyte ayen.
3 Kila wakati Waisraeli walipopanda mazao mashambani, Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki walivamia nchi yao.
And whanne Israel hadde sowe, Madian stiede, and Amalech, and othere of the `naciouns of the eest;
4 Wakapiga kambi katika mashamba yao na kuharibu mazao ya nchi yote hadi kufikia Gaza, wala hawakuacha kiumbe chochote kilicho hai kwa Waisraeli, iwe kondoo au ngʼombe au punda.
and thei settiden tentis at the sones of Israel, and wastiden alle thingis `as tho weren in eerbis, ethir grene corn, `til to the entryng of Gaza, and outirli thei leften not in Israel ony thing perteynynge to lijf, not scheep, not oxun, not assis.
5 Walipanda na mifugo yao na mahema yao, mfano wa makundi ya nzige. Ilikuwa haiwezekani kuwahesabu watu na ngamia zao; wakavamia nchi ili kuiharibu.
For thei and alle her flockis camen with her tabernaclis, and at the licnesse of locustus thei filliden alle thingis, and a multitude of men and of camels was with out noumbre, and wastiden what euer thing thei touchiden.
6 Waisraeli wakafanywa kuwa maskini sana na Wamidiani, hata Israeli wakamlilia Bwana kuomba msaada.
And Israel was `maad low greetli in the siyt of Madian.
7 Waisraeli walipomlilia Bwana kwa sababu ya Wamidiani,
And Israel criede to the Lord, `and axyde help ayens Madianytis; and he sente to hem a man,
8 Bwana akawapelekea nabii, ambaye aliwaambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: Niliwapandisha mtoke Misri, toka nchi ya utumwa.
a profete, and he spak, The Lord God of Israel seith these thingis, Y made you to stie fro Egipt, and Y ledde you out of the hows of seruage,
9 Nikawanyakua kutoka mikononi mwa Wamisri na kutoka mikononi mwa watesi wenu wote. Nikawafukuza watoke mbele yenu nami nikawapa ninyi nchi yao.
and Y delyueride you fro the hond of Egipcians, and of alle enemyes that turmentiden you; and Y castide hem out at youre entryng, and Y yaf to you `the lond of hem;
10 Nikawaambia, ‘Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; msiiabudu miungu ya Waamori, ambayo mnakaa katika nchi yao!’ Lakini ninyi hamkuitii sauti yangu.”
and Y seide, Y am `youre Lord God; drede ye not the goddis of Ammorreis, in whose lond ye dwellen; and ye nolden here my vois.
11 Malaika wa Bwana akaja akaketi chini ya mti wa mwaloni huko Ofra, ambao ulikuwa mali ya Yoashi, Mwabiezeri, ambako Gideoni mwanawe alikuwa akipepeta ngano penye shinikizo la kukamulia zabibu, ili kuificha Wamidiani wasiione.
Forsothe an aungel of the Lord cam, and sat undur an ook, that was in Effra, and perteynede to Joas, fadir of the meinee of Ezri. And whanne Gedeon, `his sone, threischide out, and purgide wheetis in a pressour,
12 Malaika wa Bwana alipomtokea Gideoni, akamwambia, “Bwana yu pamoja nawe, Ewe shujaa mwenye nguvu.”
that he schulde fle Madian, an aungel of the Lord apperide to hym, and seide, The Lord be with thee, thou strongeste of men.
13 Gideoni akajibu, “Ee Bwana wangu, kama Bwana yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametutokea? Yako wapi basi yale matendo yake makuu baba zetu waliyotusimulia juu yake waliposema, ‘Je, Bwana hakutupandisha kutoka Misri?’ Lakini sasa Bwana ametuacha na kututia katika mkono wa Midiani.”
And Gedeon seide to hym, My lord, Y biseche, if the Lord is with vs, whi therfor han alle these yuels take vs? Where ben the merueils of hym, whiche oure fadris telden, and seiden, The Lord ledde vs out of Egipt? `Now forsothe he hath forsake vs, and hath bitake vs in the hond of Madian.
14 Bwana akamgeukia na kusema “Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli kutoka mikononi mwa Wamidiani. Je, si mimi ninayekutuma wewe?”
And the Lord bihelde to hym, and seide, Go thou in this strengthe of thee, and thou schalt delyuere Israel fro the hond of Madian; wite thou, that Y sente thee.
15 Gideoni akauliza, “Ee Bwana wangu, nitawezaje kuwaokoa Israeli? Ukoo wangu ndio dhaifu kuliko zote katika Manase, nami ndiye mdogo wa wote katika jamaa yangu.”
Which Gedeon answeride, and seide, My lord, Y biseche, in what thing schal Y delyuere Israel? Lo! my meynee is the loweste in Manasses, and Y am the leeste in the hows of my fadir.
16 Bwana akamjibu, “Nitakuwa pamoja nawe, nawe utawapiga Wamidiani kana kwamba walikuwa ni mtu mmoja.”
And the Lord seide to hym, Y schal be with thee, and thou schalt smyte Madian as o man.
17 Gideoni akajibu, “Kama basi nimepata kibali machoni pako, nipe ishara kuonyesha kweli kwamba ni wewe unayesema nami.
And Gedeon seide, If Y haue foundun grace bifor thee, yyue to me a signe, that thou, that spekist to me, art sente of Goddis part;
18 Tafadhali ninakuomba usiondoke hapa mpaka nitakaporudi na kukuletea sadaka yangu na kuiweka mbele yako.” Naye Bwana akamwambia, “Nitangoja mpaka utakaporudi.”
go thou not `awei fro hennus, til Y turne ayen to thee, and brynge sacrifice, and offre to thee. Whiche answeride, Y schal abide thi comyng.
19 Gideoni akaingia ndani ya nyumba yake na kuandaa mwana-mbuzi pamoja na kuoka mikate isiyotiwa chachu kutokana na efa moja ya unga. Akaweka nyama kwenye kikapu na mchuzi kwenye chungu, akamletea huyo malaika hapo nje chini ya mti wa mwaloni na kumpa.
And so Gedeon entride, and sethide a kide, and took therf looues of a buyschel of mell, and fleischis in a panyere; and he sente the broth of fleischis in a pot, and bar alle thingis vndur an ook, and offride to hym.
20 Malaika wa Mungu akamwambia, “Itwae nyama na mikate isiyotiwa chachu, uviweke juu ya mwamba huu na umimine huo mchuzi juu yake.” Gideoni akafanya hivyo.
To whom the aungel of the Lord seide, Take thou the fleischis, and therf looues, and putte on that stoon, and schede the broth aboue. And whanne he hadde do so,
21 Malaika wa Bwana akainyoosha fimbo iliyokuwa mkononi mwake, ncha yake ikagusa ile nyama na ile mikate isiyotiwa chachu, nao moto ukatoka kwenye mwamba ukateketeza ile nyama na ile mikate. Malaika wa Bwana akatoweka kutoka machoni pake.
the aungel of the Lord helde forth the `ende of the yerde which he helde in the hond, and he touchide the fleischis, and the therf looues; and fier stiede fro the stoon, and wastide the fleischis, and therf looues. Forsothe the aungel of the Lord vanyschide fro hise iyen.
22 Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa Bwana, akapiga kelele kwa mshangao, akasema, “Ole wangu, Bwana Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso!”
And Gedeon siy that he was `an aungel of the Lord, and seide, Lord God, alas to me, for Y siy the aungel of the Lord face to face.
23 Lakini Bwana akamwambia, “Amani iwe kwako! Usiogope. Hutakufa.”
And the Lord seide to hym, Pees be with thee; drede thou not, thou schalt not die.
24 Hivyo Gideoni akamjengea Bwana madhabahu mahali pale na kupaita, Yehova-Shalom. Mpaka leo ingalipo imesimama huko Ofra ya Waabiezeri.
Therfor Gedeon bildide there an auter to the Lord, and he clepide it the Pees of the Lord, `til in to present dai. And whanne he was yit in Effra, which is of the meynee of Ezri, the Lord seide to hym in that nyyt,
25 Usiku ule ule Bwana akamwambia, “Mchukue ngʼombe dume wa baba yako, yaani, yule wa pili mwenye miaka saba, na ubomoe madhabahu ya Baali aliyo nayo baba yako, na ukaikate Ashera iliyo karibu nayo.
Take thou `the bole of thy fadir, and anothir bole of seuene yeer, and thou schalt distrie the auter of Baal, which is thi fadris, and kitte thou doun the wode, which is aboute the auter;
26 Kisha mjengee Bwana Mungu wako, madhabahu halisi, kwa taratibu zake, juu ya huu mwamba. Kwa kutumia kuni za hiyo nguzo ya Ashera uliyoikatakata, mtoe sadaka huyo dume wa pili kuwa sadaka ya kuteketezwa.”
and thou schalt bilde an auter to thi Lord God in the hiynesse of this stoon, on which thou puttidist sacrifice bifore; and thou schalt take the secounde bole, and thou schalt offre brent sacrifice on the heep of trees, whiche thou kittidist doun of the wode.
27 Basi Gideoni akawachukua watumishi wake kumi na kufanya kama Bwana alivyomwambia. Lakini kwa kuwa aliwaogopa jamaa yake na watu wa mji, akafanya haya usiku badala ya mchana.
Therfore Gedeon took ten men of hise seruauntis, and dide as the Lord comaundide to hym. Sotheli Gedeon dredde the hows of his fadir, and the men of that citee, and nolde do bi dai, but fillide alle thingis bi nyyt.
28 Watu wa mji walipoamka asubuhi, tazama madhabahu ya Baali imebomolewa na nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo imekatwakatwa na yule ngʼombe wa pili ametolewa sadaka juu ya madhabahu yaliyojengwa upya!
And whanne men of that citee hadde rise eerly, thei sien the auter of Baal distried, and the wode kit doun, and the tothir bole put on the auter, that was bildid thanne.
29 Wakaulizana, “Ni nani aliyetenda mambo haya?” Walipochunguza kwa makini, wakaambiwa, “Ni Gideoni mwana wa Yoashi, ndiye alitenda hivi.”
And thei seiden togidere, Who hath do this? And whanne thei enqueriden the doer of the deed, it was seid, Gedeon, the sone of Joas, dide alle these thingis.
30 Watu wa mji wakamwambia Yoashi, “Mlete mwanao hapa. Ni lazima afe, kwa sababu amebomoa madhabahu ya Baali na kukatakata nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo.”
And thei seiden to Joas, Brynge forth thi sone hidur, that he die, for he distriede the auter of Baal, and kittide doun the wode.
31 Lakini Yoashi akauambia ule umati uliokuwa umezunguka ukiwa kinyume naye, “Je, ninyi mtamtetea Baali? Mnajaribu kumwokoa? Yeyote mwenye kumpigania atauawa kufikia kesho asubuhi! Kama Baali ni mungu kweli, anaweza kujitetea mwenyewe wakati mtu anapobomoa madhabahu yake.”
To whiche he answeride, Whether ye ben the venieris of Baal, that ye fiyte for hym? he that is aduersarie of hym, die, bifor that the `liyt of the morew dai come; if he is God, venge he hym silf of hym that castide doun his auter.
32 Basi siku ile wakamwita Gideoni “Yerub-Baali,” yaani, “Baali na ashindane naye,” kwa sababu alibomoa madhabahu yake.
Fro that dai Gedeon was clepid Gerobaal, for Joas hadde seid, Baal take veniaunce of hym that castide doun his auter.
33 Basi Wamidiani wote, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki wakaunganisha majeshi yao, wakavuka ngʼambo ya Yordani na kupiga kambi katika Bonde la Yezreeli.
Therfor al Madian, and Amalech, and the puplis of the eest weren gadirid to gidere, and passiden Jordan, and settiden tentis in the valey of Jezrael.
34 Ndipo Roho wa Bwana akamjia Gideoni, akapiga tarumbeta, akiwaita Waabiezeri ili wamfuate.
Forsothe the spirit of the Lord clothide Gedeon; `and he sownede with a clarioun, and clepide to gidere the hows of Abiezer, that it schulde sue hym.
35 Akatuma wajumbe waende katika Manase yote, akiwataka wachukue silaha na pia katika Asheri, Zabuloni na Naftali, nao wakakwea ili kukutana nao.
And he sente messangeris in to al Manasses, and he suede Gedeon; and he sente othere messangeris in to Aser, and Zabulon, and Neptalym, whiche camen to hym.
36 Gideoni akamwambia Mungu, “Kama utawaokoa Waisraeli kwa mkono wangu, kama ulivyoahidi:
And Gedeon seide to the Lord, If thou makist saaf Israel bi myn hond, as thou hast spoke,
37 tazama, nitaweka ngozi ya kondoo kwenye kiwanja cha kupuria nafaka, na kama utakuwepo umande juu ya ngozi tu, nayo ardhi yote ikiwa kavu, ndipo nitakapojua kuwa utaokoa Israeli kwa mkono wangu, kama ulivyosema.”
Y schal putte this flees of wolle in the corn floor; if dew is in the flees aloone, and drynesse is in al the erthe, Y schal wite, that thou schalt delyuere Israel bi myn hond, as thou hast spoke.
38 Hivyo ndivyo ilivyotokea. Gideoni akaamka asubuhi na mapema kesho yake, akaikamua ile ngozi, umande ukatoka, maji ya kujaa bakuli.
And it was don so. And he roos bi nyyt, and whanne the flees was wrongun out, he fillide a pot with deew;
39 Kisha Gideoni akamwambia Bwana, “Usinikasirikie. Ninaomba nifanye ombi moja lingine. Niruhusu nifanye jaribio jingine moja kwa ngozi hii. Wakati huu uifanye ngozi hii kavu na ardhi yote ifunikwe na umande.”
and he seide eft to the Lord, Thi strong veniaunce be not wrooth ayens me, if Y asaie, `that is, axe a signe, yit onys, and seke a signe in the flees; Y preye, that the flees aloone be drie, and al the erthe be moist with deew.
40 Usiku ule Mungu akafanya hivyo. Ngozi ile ilikuwa kavu, nayo ardhi yote ikafunikwa na umande.
And the Lord dide in that nyyt, as Gedeon axide; and drynesse was in the flees aloone, and deew was in al the erthe.

< Waamuzi 6 >