< 1 Wakorintho 14 >

1 Utafuteni upendo na kutamani sana karama za rohoni, zaidi sana mpate kutoa unabii.
Uwanze ulugano na tamani tee ekarama zwa rohoni, zaidi tee mpata afumye ulukuwo.
2 Maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu bali husema na Mungu. Maana hakuna aelewaye kwa sababu anena mambo yaliyofichika katika Roho.
Maana umwahale yayanga kuvahulugha sayanga na bhantu ayanga no Ngolobhe. Afwanaje nomo yahwelewa afwanaje ayanga amambo gagafisishe katika Roho.
3 Lakini yeye atoaye unabii, asema na watu na kuwajenga, kuwatia moyo, na kuwafariji.
Lelo umwahale yafumya ukuwa, ayanga na bhantu na abhazenje abhapele umwoyo na abhafaliji.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, lakini yeye atoaye unabii hulijenga kanisa.
Umwahale yayanga lugha ahwizenga yoyo, nantele umwahale yafumya ukuwa ashizenga eshibhanza.
5 Sasa natamani kwamba ninyi nyote mnene kwa lugha. Lakini zaidi ya hayo, natamani ya kwamba mtoe unabii. Yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha (labda awepo wa kutafasiri), ili kwamba kanisa lipate kujengwa.
Eshi etamani aje amwe mwenti myanje lulugha lelo zaidi yego etamani aje mfumyaie ukuwa. Umwahale yafumya ukuwe gosi ashile umwahale yayanga hu lugha (au abhaje uwafafanule), ili aje eshibhanza shipate azengwe.
6 Lakini sasa, kaka na dada zangu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini ninyi? Siwezi, isipokuwa nasema nanyi kwa njia ya ufunuo, au kwa njia ya maarifa, au unabii, au kwa njia ya fundisho.
Lelo eshi, kolu ni yilombo bhane nkenenze hwilimwe na ayanje hu lugha, embabhavzwe yenu amwe? Sebwezizwe, esipokuwa eyanga namwe hwidala elye ufunuo, au hwidala elye enjele au ukuwa au hwidala elye isambelezwo.
7 Ikiwa vitu visivyo na uhai kama filimbi au kinubi visipotoa sauti zilizo na tofauti, itatambulikanaje ni chombo gani kinachezwa?
Nkashile evintu vyasevino womo nkashele efilimbi au eshinubi nkashele sezifumya izu zwazili payo, ibhamanyishewele aje huntushi hahahwanga?
8 Kwa maana ikiwa baragumu itatoa sauti isiyojulikana, ni jinsi gani mtu atatambua ya kuwa ni muda wa kujiandaa kwa vita?
Eshi nkashile ebhe endundwe ibhafumya izu lyaselimanyiha ni shanamna wele umntu abhamanye aje muda wele ungwa hwilenganye ungwa hwibho?
9 Vivyo hivyo na ninyi. Mkitoa kwa ulimi neno lisilo dhahiri, ni jinsi gani mtu ataelewa mnachosema? Mtakuwa mkiongea, na hakuna atakayewaelewa.
Shesho na mwe. Nkamfumye humele izu lyasaliliwazi ni kwa namna wele aelewe yamyanga? Mwabha myanga, na nomo yabhabhelewe.
10 Hakuna shaka kwamba kuna lugha nyingi mbalimbali duniani, na hakuna hata moja isiyo na maana.
Nemo ewasiwasi aje elugha nyinji aziminji munsi, na nemo hata emo yaselinemana.
11 Lakini ikiwa sijui maana ya lugha, nitakuwa mgeni kwake yeye anenaye, naye anenaye atakuwa mgeni kwangu.
Antele nkebhe semenye imana eyelugha, ambabhe jenyi hwamwahale mwene yayanga wape yayanga abhabhe jenyi hwiline.
12 Vivyo hivyo na ninyi. Kwa kuwa mnatamani sana kuona uthihirisho wa Roho, takeni kwamba mzidi sana kulijenga kanisa.
Shesho na mwe. Afwatanaje mtamani tee alole ahavisye kikisye wa Roho, anzi aje mzidi tee alizenje ibhanza.
13 Hivyo, yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kutafasiri.
Eshe, umwahale yayanga hu lugha na alabhe apewe afanule.
14 Kwa maana nikiomba kwa lugha, roho yangu huomba, lakini akili zangu hazina matunda.
Nkashele nkendabha hu lugha eroho yane elabha lelo enjele zwane sezinamadondo.
15 Nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini pia nitaomba kwa akili zangu. Nitaimba kwa roho yangu, na nitaimba kwa akili zangu pia.
Embombe yenu? Embalabhe huroho yane, antele embalabhe hunjele zwane. Imbatele huroho yane na mbatele hunjele zwane antele.
16 Vinginevyo, ukimsifu Mungu kwa roho, yeye aliye mgeni ataitikaje “Amina” utoapo shukurani, akiwa hayajui usemayo?
Antele nkalombe Ongolobhe huroho mwene yalijenyi abhahweteshewele “Amina” nofumya emwasalipa, wakoti sazimenye zwoyanda?
17 Maana ni kweli wewe washukuru vema, lakini yule mwingine hajengwi.
Antele lyoli awe usalifwa shinza, antele ula uwenje sazengwa.
18 Namshukuru Mungu kwa kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote.
Ehusalifwa Ungolobhe afwatanaje eyanga hu lugha zaidi yamwene mwenti.
19 Lakini katika kanisa ni heri ninene maneno matano kwa ufahamu wangu ili nipate kuwafundisha wengine, zaidi ya kunena maneno kumi elfu kwa lugha.
Lelo mwibhanza ni heri enjanje amanzu ngasanu hunjele zwane ili embamanyezwe abhaje, zaidi eyayanje enongwa kumi elfu hu lugha.
20 Kaka na dada zangu, msiwe watoto katika kufikiri kwenu. Badala yake, kuhusiana na uovu, iweni kama watoto wachanga. Lakini katika kufikiri kwenu mkawe watu wazima.
Nkolo no yilombo bhane, mgajebhe bhana katika asebhe hwenyu. Badala yakwe, mhwa vwanu nembibhi, bhanji neshi abhana abhela. Lelo katika asebhe hwenyu mubhe bhantu bhagosi.
21 Imeandikwa katika sheria, “Kwa watu wa lugha nyingine na kwa midomo ya wageni nitasema na watu hawa. Wala hata hivyo hawatanisikia,” asema Bwana.
Isibwilwe katika sheria hwabhantu abhe lugha ezwamwao na humalomu agajenyi embayanje na bhantu ebha. Wala antele sebhanza novwe ayanga uGosi.
22 Hivyo, ndimi ni ishara, sio kwa walioamini, bali kwa wasioamini. Lakini kutoa unabii ni ishara, sio kwa wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio.
Esho enjango mbonesyo sio hwabhalinalyeteho hwa bhala bha sebhamolyeteho lelo afumye ukuwe mboneseyo hwabhelyeteho elelo hwabhala bhabhali no lyeteho.
23 Haya, ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja na wote wanene kwa lugha, na wageni na wasioamini wameingia, je hawawezi kusema kwamba mna wazimu?
Eshi, nkebhe eshibhanza shonti shitangene pandwemo na bhonti bhayanga enjango na unjenyi na bhasebhali nolyeteho bhinjie, je sebhanzayanje aje namna azimu?
24 Lakini ikiwa wote mnatoa unabii na asiyeamini au mgeni akaingia, atashawishiwa na yote asikiayo. Atahukumiwa na yote yasemwayo.
Lelo nkebhe mwenti mfumya ukuwe yasali nolyeteho au unjenyi winjila abhavutwe nagonti gabhahovwe abhalongwe na gonti gagayangwa.
25 Siri za moyo wake zingefunuliwa. Matokeo yake, angeanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu. Angekiri ya kwamba Mungu yu kati yenu.
Esiri ezwe mwoyo wakwe nkazifunuliwa. Amantikeo yakwe, wenzagagwa ahwina mehwinama na hupute Ongolobhe. Wenzaga humweteshe aje Ungolobhe alipamoja namwe.
26 Nini kifuatacho basi, kaka na dada zangu? Mnapokutana pamoja, kila mmoja ana Zaburi, mafundisho, mafunuo, lugha au tafsiri. Fanyeni kila kitu ili kwamba mlijenge kanisa.
Henu hahafwata eshi nkolo no yilombo bhane? Namtangana pandwemo shila muntu ane Zaburi, ana sembelezwo ane mbonezwo ane njango au afasiri. Bhombi kila hantu ili mlizenje ibhanza.
27 Kama yeyote ananena kwa lugha, wawepo wawili au watatu, na kila mmoja katika zamu. Na mtu lazima atafasiri kilichosemwa.
Nkashile kila muntu ayanga hunjango, bhabhaje bhabhele au bhatatu na shila mntu shatanilane na umuntu lazima atafasiri haha ya ngwilye.
28 Lakini kama hakuna mtu wa kutafasiri, basi kila mmoja wao akae kimya ndani ya kanisa. Basi kila mmoja aongee peke yake na kwa Mungu.
Lelo nkashile nomo umntu wa tafsiri, basi kila muntu akhale kati mhati mshibhanza. Basi kila muntu ayaje mwene hwa Ngolobhe.
29 Na manabii wawili au watatu wanene, na wengine wasikilize kwa kupambanua kilichosemwa.
Na akuwabhabhele au bhatatu bhayanje bhamwa bhatejelezwaje ili bhafasiri shashiyangwilwe.
30 Lakini aliyeketi akifunuliwa jambo katika huduma, yule ambaye alikuwa ananena na anyamaze.
Lelo yakheye nkawafunuliwa ijambo katika huduma ulayayangaga apomaje kati.
31 Kwa kuwa kila mmoja wenu anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine ili kwamba kila mmoja aweze kujifunza na wote waweze kutiwa moyo.
Afwatanaje shila muntu awezizwe afumye ukuwa amo baada ya wamwao ili aje shila muntu awezwe asambelele na bhonti bhawezwe apati omwoyo.
32 Kwa kuwa roho za manabii ziko chini ya uangalizi wa manabii.
Afatanaje roho eya kuwazili pansi ya bhenyelezi bhabha kuwa.
33 Kwa kuwa Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani. Kama ilivyo katika makanisa yote ya waumini,
Afwanaje Ungolobhe se Ngolobhe uwemabhibhi, bali we amani. Neshe sheli katika amabhanza gonti age bhelyeteho,
34 imewapasa wanawake wakae kimya katika kanisa. Kwa kuwa hawaruhusiwi kuzungumza. Badala yake, wanapaswa kuwa katika unyenyekevu, kama pia sheria inavyosema.
Mhwanziwa abhashe bhakhala je kati mwibhanza afwanaje sebhahwanziwa ayanje. Baada yakwe bhawaziwa abhe bhanyekevu neshe esheria seyanga.
35 Kama kuna chochote wanatamani kujifunza, basi wawaulize waume zao nyumbani. Kwa kuwa ni aibu kwa mwanamke kuongea katika kanisa.
Nkashile hahweli hahonti bhatamani asambele, basi bhabhabhoziwaje alume bhabho amwabho afwanaje soni hwa she ayaje mshibhanza.
36 Je neno la Mungu lilitoka kwenu? Je limewafikia ninyi tu?
Je izu elya Ngolobhe lyafumile hwilimwe? Je libhafishe amwe tu?
37 Kama mtu akijiona kuwa ni nabii au wa rohoni, inampasa ayatambue mambo ninayowaandikia ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
Nkashele omuntu ahwilola aje wakuwe au wa rohoni iwanziwa agamanya amambo gembasimbila agaje ndajizwo ezwa Gosi.
38 Lakini asipotambua haya, mwacheni asitambuliwe.
Lelo nkasagamenye ega hayaleshi agajetambuliwe.
39 Hivyo basi, kaka na dada zangu, takeni sana kutoa unabii, na msimzuie mtu yeyote kunena kwa lugha.
Esho basi kolo na yilombo bhane, anzi tee afumye ukuwa wala mgaje huzubhile umuntu yoyonti ayanje unjango.
40 Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.
Lelo amambo gonti gabhombehaje huwinza na hutaratibu.

< 1 Wakorintho 14 >