< 2 Nyakati 28 >

1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
Ahaz teh siangpahrang a bawi na kum 20 touh boung a pha, Jerusalem kum 16 touh a uk. A na pa Devit patetlah BAWIPA mithmu vah hawinae sak hoeh.
2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
Isarel siangpahrang naw e lamthung a dawn teh Baal hanelah meikaphawknaw a sak.
3 Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
Hinnom capa e thingyei yawn dawk hmuitui hmai a sawi. BAWIPA ni Isarelnaw hmalah a pâlei e miphunnaw ni, panuetthopounge hno ouk a sak awh e patetlah a canaw hmai hoi thuengnae a sak.
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
Hmuenrasang hoi monsomnaw hoi thingkung rahim tangkuem vah, thuengnae a sak teh hmuitui hmai a sawi.
5 Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
Hatdawkvah, Cathut ni Siria siangpahrang kut dawk a poe. A tuk awh teh a taminaw moikapap san lah a man awh teh, Damaskas lah a ceikhai awh. Isarel siangpahrang kut dawk hai a poe teh ahni ni moikapap a thei.
6 Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
Hahoi Remaliah capa Pekah ni Judah ram dawk hnin touh dawk 120, 000 a thei, abuemlah hoi tami tarankahawinaw seng doeh. Bangkongtetpawiteh, mintoenaw e BAWIPA Cathut a hnoun awh dawk doeh.
7 Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
Hahoi Ephraim tami athakaawme Zikhri ni siangpahrang capa Maaseiah hoi imthung kahrawikung Azrikam hoi Elkanah, siangpahrang kabawmkungnaw a thei awh.
8 Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
Isarelnaw ni a hmaunawngha 200, 000 touh a manu, a capanaw hoi a canunaw san lah a hrawi awh. Hno moikapap a lawp awh teh Samaria lah a ceikhai awh.
9 Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
Hatei, hote hmuen koe BAWIPA e profet ao teh, a min teh Oded doeh. Samaria lahoi ka tho e ransanaw hmalah a cei teh, ahnimouh koe, khenhaw! na mintoenaw e BAWIPA Cathut teh Judahnaw koe a lungkhuek dawkvah, nangmae kut dawk na poe awh.
10 Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
Hahoi Judah hoi Jerusalem e taminaw sannu sanpa lah coung sak hanelah na noe awh. Hatei, namamouh hai BAWIPA Cathut hmalah yonpen lah letlang na o awh van nahoehmaw.
11 Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
Hatdawkvah, ka lawk tarawi awh nateh, na hmaunawngha san lah na man e naw hah ban sak awh leih. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA e lungkhuek kamannae teh nangmae lathueng vah ao telah atipouh.
12 Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
Hahoi, Ephraim kahrawikung, Johanan capa Azriah, Meshillemoth capa Berekhiah, Shallum capa Hezekiah, Hadlai capa Amasa, naw ni tarantuknae koehoi kathonaw hah kangdue laihoi a ngang awh.
13 Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
Ahnimouh koe sannaw na kâen thai awh mahoeh. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA lungkhuek sak awh toe. Mamae yonnae hoi yonpennae hah thapsin hanlah bout na noe awh. Yonpennae a len poung toe, Isarelnaw koe lungkhuek kamannae ao telah atipouh awh.
14 Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
Hottelah ransanaw ni kahrawikungnaw hoi tamimayanaw e hmalah san hoi lawphnonaw hah a cei takhai awh.
15 Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
Hahoi min a kaw e naw pueng a thaw awh teh, sannaw hah a ceikhai awh teh, lawphno a la awh e hnicunaw hah, tawngtai lah kaawm e naw hah a khohna sak awh. Khokkhawm a khawm sak awh teh, canei a poe awh teh satui a hluk awh. Tami thakayounnaw hah la dawk a kâcui sak awh teh, a hmaunawnghanaw onae koe Jeriko kho tie samtue khopui dawk a thak awh teh, ahnimouh teh Samaria kho lah a ban awh.
16 Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
Hatnae tueng dawk siangpahrang Ahaz ni Siria siangpahrang koevah, ama kabawp hanelah tami a patoun.
17 Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
Edomnaw ni Judahnaw a tuk awh teh, san lah bout a man awh.
18 Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
Filistinnaw ni hai a rahim lae ram hoi akalae Judah ram, Bethshemesh, Aijalon, Gederoth, Sokoh, hoi khotenaw; Timnah hoi khotenaw; Gimzo hoi khotenaw a la awh teh, hote hmuen dawk ao sin awh.
19 Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
Isarel siangpahrang Ahaz kecu dawk BAWIPA ni Judah hah rahim lah a pabo. Bangkongtetpawiteh, ahni ni Judahnaw e pouknae a raphoe pouh teh, BAWIPA hanelah yuemkamcu hoeh lah ao sak.
20 Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
Siria siangpahrang Tiglathpileser hai ahni koe a tho teh kabawm laipalah lungrei hoe a thai sak.
21 Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
Ahaz ni BAWIPA im, siangpahrang im hoi kahrawikungnaw kho hoi hnopai a la teh, Siria siangpahrang a poe, Hatei kabawm ngai kalawn hoeh.
22 Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
Khopouk a deng nahaiyah siangpahrang Ahaz teh, BAWIPA koe yuemkamcu hoeh lah hoehoe ao. Hethateh, Ahaz siangpahrang e a coungnae doeh.
23 Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
Ama ka tâ e Damaskas e cathut koe thuengnae a sak teh, Siria siangpahrang cathutnaw ni a kabawp awh dawkvah, na kabawp van hanelah ahnimouh koe thuengnae sak hanelah ao telah a ti.
24 Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
Ahaz ni Cathut im dawk hnopai pueng a pâkhueng teh, reprep koung a dei. BAWIPA im thonaw koung a taren teh, Jerusalem takin pueng koe thuengnae khoungroe a sak.
25 Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
Judah ram kho moikapap koe cathut alouknaw hanlah hmuitui sawi nahane hmuenrasang a sak teh, a na mintoenaw e Cathut hah a lungkhuek sak.
26 Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
A tawksaknae thung dawk kaawm rae pueng hoi a khosaknae pueng kamtawng hoi apout totouh, khenhaw! Judah hoi Isarel siangpahrangnaw e lairui thutnae dawk thut lah ao.
27 Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.
Ahaz teh a na mintoenaw koe a i teh, Jerusalem khopui dawk a pakawp awh. Hatei, Isarel siangpahrangnaw e phuen dawk nahoeh. Hahoi a capa Hezekiah ni a yueng lah a bawi.

< 2 Nyakati 28 >