< 2 Nyakati 9 >

1 Malikia wa Sheba aliposikia kuhusu umaarufu wa Selemani, akaja Yerusalemu kumjaribu kwa maswali magumu. Akaja pamoja na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia waliosheheni manukato, dhahabu nyingi, na vito vingi vya thamani. Alipofika kwa
A gdy królowa Saby usłyszała o sławie Salomona, przybyła do Jerozolimy, aby przez zagadki poddać go próbie. [Przybyła] z bardzo wielkim orszakiem, z wielbłądami niosącymi wonności, bardzo dużo złota i drogocennych kamieni. Gdy przyszła do Salomona, rozmawiała z nim o wszystkim, co leżało jej na sercu.
2 Selemani, akamwambia yaliyokuwa moyoni mwake. Selemani akamjibu maswaali yake yote; hakuna kitu kilichokuwa kigumu sana kwa Selemani; hakuna swali ambalo hakulijibu.
Salomon zaś odpowiedział na wszystkie jej pytania. Nie było nic tajemnego dla Salomona, na co nie mógłby jej odpowiedzieć.
3 Malikia wa Sheba alipoiona hekima ya Selemani na ikulu aliyokuwa amejenga,
Gdy więc królowa Saby ujrzała mądrość Salomona i dom, który zbudował;
4 chakula mezani kwake, mahali pa kukaa watumishi wake, kazi ya watumisshi wake na mavazi yao, pia wabebakikombe na mavazi yao, na namna alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe, hapakuwa na roho zaidi ndani yake.
A także potrawy jego stołu, siadanie jego sług, stawanie jego służących, ich szaty, jego podczaszych i ich szaty oraz schody, po których wstępował do domu PANA, dech zamarł jej [w piersi].
5 Akasema kwa mfalme, “Ni kweli, taarifa ninioisikia katika nchi yangu kuhusu maneno yako na hekima yako.
Wtedy przemówiła do króla: Prawdziwa była ta wieść, którą słyszałam w mojej ziemi o twoich dziełach i twojej mądrości.
6 Sikuamini nilichokisika mpaka nilipokuja hapa, na sasa macho yangu yamekiona. Sikuambiwa nusu kuhusu hekima yako na utajiri wako! Umeuzidi umaarufu niliokuwa nimesikia kuhusu wewe.
Jednak nie wierzyłam ich słowom, aż przybyłam i zobaczyłam [to wszystko] na własne oczy. I oto nie powiedziano mi nawet połowy o twojej wielkiej mądrości. Przeszedłeś bowiem sławę, o której słyszałam.
7 Wamebarikiwa watu wako, na watumishi wako ambao husimama mbele yako, kwa sababu wanaisikia hekima yako. (Baadhi ya maandiko yanasema, “Wambarikiwa wake zako”, ikidhaniwa kwamba kifungu hicho kinapaswa kusomeka kama ilivyo katika Wafalme 10: 8).
Błogosławieni twoi ludzie i błogosławieni twoi słudzy, którzy zawsze stoją przed tobą i słuchają twojej mądrości.
8 Amebarikiwa Yahwe Mungu wako, ambaye amepata raha ndani yako, aliyekuweka juu ya kiti chake cha enzi, ili uwe mfalme kwa ajili ya Yahwe Mungu wako. Kwa sababu Mungu wako inaipenda Israeli, ili kuwathibisha milele, amekufanya kuwa mfalme juu yao, ili ufanye hukumu na haki.
Niech będzie błogosławiony PAN, twój Bóg, który cię sobie upodobał, aby cię posadzić na swoim tronie jako króla [dla] PANA, twojego Boga. A ponieważ twój Bóg umiłował Izraela, aby go umocnić na wieki, dlatego ustanowił cię królem nad nimi, abyś czynił sąd i sprawiedliwość.
9 Akampa mfalme talanta 120 za dhahabu na kiasi kikubwa manukato na vit vya thamani. Selemani hakupewa tena kiasi kikubwa cha manukato kama hiki amabacho alipewa na malakia wa Sheba.
I dała królowi sto dwadzieścia talentów złota i bardzo wiele wonności oraz drogocennych kamieni. Nigdy nie [przywieziono] takich wonności, jakie królowa Saby dała królowi Salomonowi.
10 Watumishi wa Hiramau na wa mfalme Selemani, ambaye alileta dhahabu kutoka Ofiri, miti ya msandali, na vito vya thamani.
Ponadto słudzy Hurama i słudzy Salomona, którzy przywieźli złoto z Ofiru, sprowadzili także drzewa sandałowe i drogocenne kamienie.
11 Kwa miti hiyo ya msandali, mfalme Selemani akatengeneza madari ya nyumba ya Yahwe na nyumba yake, na vinubi na vinanda kwa ajili ya wanamziki. Hapajaonekana tena mbao kama hiyo katika nchi ya Yuda.
Z tego drzewa sandałowego król wykonał schody do domu PANA i do domu królewskiego oraz harfy i cytry dla śpiewaków. Nigdy przedtem nie widziano takich rzeczy w ziemi Judy.
12 Mfalme Selemani akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotaka, chochote alichoomba, zaidi ya vile alivyoleta kwa mfalme Selemani. Kwa hiyo akaondoka na kurudi kwenye nchi yake, yeye na wataumishsi wake.
Król Salomon dał królowej Saby wszystko, czego zapragnęła i o co poprosiła, nie licząc [daru za to], co przyniosła do króla. Potem odjechała i wróciła do swojej ziemi razem ze swoimi sługami.
13 Sasa uzito wa dhahabu ambayo ililetwa kwa Selemani ndani ya mwaka mmoja ulikuwa talanta 666 za dhahabu,
A waga złota, które wpływało do Salomona w ciągu jednego roku, wynosiła sześćset sześćdziesiąt sześć talentów złota;
14 nje na dhahabu ambayo waliileta wachukuzi na wafanya biashara. Walme wote wa Arabuni na maliwali katika nchi pia wakamletea Selemanai dhahabu na fedha.
Nie licząc [tego], co dostawał od kupców i handlarzy. Także wszyscy królowie arabscy i namiestnicy ziemi przywozili złoto i srebro Salomonowi.
15 Mfalme Selemani akatengeneza ngao kubwa mia mbili za dhahabu iliyofuliwa. Shekeli mia sita za dhahabu zikatumika kwa kila ngao.
Wykonał więc król Salomon dwieście tarczy z kutego złota. Na każdą tarczę wychodziło sześćset [syklów] kutego złota.
16 Pia akatengeneza ngao mia tatu za shahabu iliyopigwa. Minas tatu za dhahabu zikaenda kwa kila ngao; mfalme akaziweka kwenye ikulu ya Msitu wa Lebanoni.
[Wykonał] także trzysta puklerzy z kutego złota. Na każdy puklerz wychodziło trzysta [syklów] złota. I król umieścił je w domu lasu Libanu.
17 Kisha mfalme atengeneza kiti cha enzi kikubwa cha pembe na kufunika kwa dhahabu safi.
Król sporządził także wielki tron z kości słoniowej i pokrył go szczerym złotem.
18 Kulikuwa na ngazi sita kwenda kwenye kiti cha enzi, na sehemu ya juu ya kiti cha enzi ilikuwa duara. Kulikuwa na mikono kila upande wa kiti, na simba wawili wamesimama pembeni na hiyo mikono.
Tron [miał] sześć stopni, a podnóżek był ze złota, przymocowany do tronu. Po obu stronach siedzenia były poręcze, a przy poręczach stały dwa lwy.
19 Simba kumi na wawili walisimama juu ya zile ngazi, mmoja kila upande wa ngazi sita.
Dwanaście lwów stało na tych sześciu stopniach po obu stronach. Czegoś takiego nie uczyniono w żadnym [innym] królestwie.
20 Hapakuwa na kiti cha enzi kama hicho katika ufalme wowote mwingine. Vikombe vyote vya kunywea vya Selemani vilikuwa vya dhahabu, na vikombe vyote vya mfalme katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu halisi. Hakuna hata kimoja kilichokuwa cha fedha kwa sababu fedha haikuchuliwa kuwa ya thamani katika siku za Selemani.
Wszystkie też naczynia, z których pił król Salomon, były złote, i wszystkie sprzęty w domu lasu Libanu [były] ze szczerego złota. [Nie było] nic ze srebra, gdyż nie uważano go za cenne w czasach Salomona.
21 Mfalme alikuwa na meli zilizosafiri baharini, pamoja na meli za Hiramu. Mara moja kwa mwaka meli zilileta dhahabu, fedha, na pembe, na manukato, na pia nyani na tausi.
Królewskie okręty pływały bowiem do Tarszisz wraz ze sługami Hurama. Raz na trzy lata okręty wracały z Tarszisz, przywożąc złoto, srebro, kości słoniowe, małpy i pawie.
22 Kwa hiyo Mfalme Selemani aliawazidi utajiri na hekima wafalme wote wa dunia.
I tak król Salomon przewyższał wszystkich królów ziemi bogactwem i mądrością.
23 Dunia yote waliutafuta uwepo wa Selemanai ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.
Wszyscy więc królowie ziemi pragnęli widzieć Salomona, aby słuchać jego mądrości, którą Bóg włożył w jego serce.
24 Waliomtembelea walileta kodi, vyombo vya shaba na dhahabu, nguo, silaha, na manukato, na farasi na anyumbu, mwaka baada ya mwaka.
Każdy z nich przynosił mu swoje dary: naczynia srebrne i złote, szaty, zbroje, wonności, konie i muły, rokrocznie.
25 Selemani alikuwa na mazizi elfu nne kwa ajili ya farasi na magari, na wapanda farasi kumi na mbili elfu, ambao waliwaweka katika miji ya magari na pamoja naye katika Yerusalemu.
I Salomon miał cztery tysiące przegród dla koni i rydwanów oraz dwanaście tysięcy jeźdźców, których rozmieścił po miastach rydwanów i przy królu w Jerozolimie.
26 Akatawala juu ya wafalme wote kutoka mto Efrati hadi nchi ya Wafilisti, na hadi mpaka wa Misiri.
I panował nad wszystkimi królami od rzeki aż do ziemi Filistynów i do granicy Egiptu.
27 Mfalme alikuwa na fedha katika Yerusalemu, nyingi kama mawe juu ya aridhi. Akazifanya mbao za mierezi kuwa nyingi kama miti ya mikuyu ambayo iko nyanda za chini.
Król sprawił, że srebro w Jerozolimie było jak kamienie, a cedry tak liczne jak sykomory na nizinie.
28 Wakaleta farasi kutoka Misri na kutoka nchi zote kwa ajili ya Selemani.
Sprowadzono też dla Salomona konie z Egiptu i ze wszystkich [innych] ziem.
29 Kwa mambo mengine kuhusu Selemani, mwanzo na mwisho, hayajandikwa katika Historia ya Nathani Nabii, katika unabii wa Abiya Mshinoni, na katika Maono ya Ido mwonaji wa mambo ya Yeroboamu mwana wa Nabati?
A pozostałych dziejów Salomona, od pierwszych do ostatnich, czy nie zapisano w księdze proroka Natana, w proroctwie Achiasza Szilonity i w widzeniach Jeddo widzącego przeciw Jeroboamowi, synowi Nebata?
30 Selemani akatawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
I Salomon królował w Jerozolimie nad całym Izraelem czterdzieści lat.
31 Akalala na babu zake na watu wakamzika katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu, mwanaye, akawa mfalme katika sehemu yake.
Potem Salomon zasnął ze swoimi ojcami i pochowano go w mieście Dawida, jego ojca, a syn jego Roboam królował w jego miejsce.

< 2 Nyakati 9 >