< 2 Petro 2 >

1 Manabii wa uongo walijitokeza kwa Waisraeli, na walimu wa uongo watakuja pia kwenu. Kwa siri wataleta mafundisho ya uongo nao watamkana Bwana aliyewanunua. Wanajiletea uharibifu wa haraka juu yao wenyewe.
Va polofita va vuchengi niveza ku vantu, ni maruti va vuchengi mu veze kwenu nanwe. Cha vu unguli muveze ni murutilo wa vusinyi, mi muva sampule mfumwavo yavava uli. Valiletele cha vuhwelu i nsiyeho he ulu lyavo.
2 Wengi watafuata njia zao za aibu na kupitia wao wataikufuru njia ya ukweli.
Vungi kavwi chilile ze zanina lyavo, mi kachavo inzila ye niti mu i vule ikute.
3 Kwa uchoyo watawanyonya watu wakitumia maneno ya uongo Hukumu yao haitachelewa, uharibifu utawafuata.
Cha muliilo muvilala muva pange i kekezo henu cha manzwi ovu chengi. Ku nyansiliza kwavo kete ku hinde i nako inde; i nsinyeho yavo ka i lali.
4 Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō g5020)
Mukuti Ireeza kena ava kwatili mañiloi ava chiti chivi. Kono a va atambiki kwa Tarutarusi kuti avikwe mumahaka efifi li shulumukite kufitela inkatulo. (Tartaroō g5020)
5 Wala Mungu hakuuvumilia ulimwengu wa zamani. Bali, alimhifadhi Nuhu, mwenye wito wa haki, pamoja na wengine saba, wakati alipoachila gharika juu ya ulimwengu ulioasi.
Naye, kena ava kwatili inkanda yo vukulukulu. Kono, ava hazi Nowa, yavali mu tumwa wo kujolola, hamwina nivamwi ve yanza nitivele, haleta munda he nkanda isena vu mulimu.
6 Mungu aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kiasi cha kuwa majivu na uharibifu ili iwe mfano kwa ajili ya waovu katika siku za usoni
Ireeza naye ava fukuzi intolopo za Sodoma ni Gomora kwi itwe ni kuva nyansa che nsinyeho, cha mutala wete ni uchitahale ku vasena Ireeza.
7 Lakini alipofanya hilo, alimwokoa Lutu mtu wa haki, aliyekuwa amehuzunishwa na tabia chafu za wasiofuata sheria za Mungu.
Kono kuyo jolola Lota, yava lyatililwe cha mukwa wa vantu vasena mulao muzintu ze nyama, Ireeza namu punyula.
8 Kwa kuwa huyo mtu wa haki, aliyeishi nao siku kwa siku akiitesa nafsi yake kwa ajili ya yale aliyoyasikia na kuyaona.
Ka cho zuna mukwame yo jolola, yavali kuhala mukati kavo izuva ni zuva, ava sukululwa muluhuho lwakwe lu jolola chakwe chevaka lya chava voni ni kuzuwa.
9 Kwa hiyo Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa watu wake wakati wa mateso na jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajili ya hukumu katika siku ya mwisho.
Simwine wizi mwa lukulwila vantu va lukite kuva zwisa mumi liko, ni mwakwatila vantu vasena vuniti inkoto he zuva lye kantulo.
10 Kwa hakika huu ndio ukweli kwa wale wanoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka. Watu wa jinsi hii wana ujasiri katika dhamiri zao, Hawaogopi kuwakufuru watukufu.
Ichi china vuniti sihulu kwavo va zwila havusu ni intakazo zi sa tavisi ze nyama ni ku shuvula vuyendisi. Vena vundume ni kuli chitila muvasakila. Kava tiyi ku tuka vana va vaumbitwe ikanya.
11 Ingawa malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu, lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana
mañiloi ena ziho ahulu ni mata, kono ka valeti i nkatulo za kutukana kwavana kwe Simwine.
12 Lakini hawa wanyama wasio na akili wametengenezwa kwa asili ya kukamatwa na kuangamizwa.
Kono izi zinyolozi zisa zezi zivavumbwa bulyo ku pangilwa ku kwatwa ni ku sinywa. Kavezi ziva tuka. Kava sinyiwe.
13 Wanaumizwa kwa ujira wa maovu yao. Mchana kutwa huishi kwa anasa. Wamejaa uchafu na maovu. Hufurahia anasa za udanganyifu wanaposherehekea na wewe.
Kava tambule mupuzo wa ma fosisa avo. Va zeza kuti kuhala hande musihali nji kuli tavisa. zi bata ni zi donko donko. Valikola mikwa yavo ya vuchengeleli imi niva kwete kulya nanwe.
14 Macho yao yamefunikwa na uzinzi; hawatosheki kutenda dhambi. Huwalaghai na kuwaangusha waumini wachanga katika dhambi. Wana mioyo iliyojaa tamaa, ni watoto waliolaaniwa.
Vena menso ezwile vanakazi va sangu; kavali kolwisisa ni chivi. Va chengelela inhuho zisa kolete kupanga zivi, mi vena inkulo zavo zi lutitwe intakazo. Vahwile va chikuto!
15 Wameiacha njia ya kweli. wamepotoka na wameifuata njia ya Balaam mwana wa Beori, aliyependa kupata malipo ya udhalimu.
Vava siyilili inzila i shiyeme. Vava zovi ni kwichilila inzila ya Balamu mwana wa Beori, ya vali kutavela ku tambula intifo ya kuvula vuniti.
16 Lakini alikemewa kwa ajili ya ukosai wake. Punda aliyekuwa bubu akiongea katika sauti ya binadamu, alizuia wazimu wa nabii.
Kono ava wani i nkalimelo ya mulandu wakwe. Chimumu che ndonki ni chi wamba mwi nzwi lya muntu ni cha zimika vu bbulumuki vwa mupolofita.
17 Watu hawa ni kama chemichemi zisizo na maji. Ni kama mawingu yanayotoweshwa na upepo. Wingu zito limehifadhiwa kwa ajili yao.
Ava va kwame vakola zi sima zisena menzi. Va kola makope a yendiswa ihuho ikando. Kafifi kakolete kavikilwe avo. (questioned)
18 Huongea kwa majivuno matupu. Huwaangusha watu kwa tamaa ya mwili. Huwalaghai watu wanaojaribu kuwakimbia wale waishio katika ukosaji.
Va wamba ni mukuli nyamuna kusena intuso. Va chengelela vantu cha kulakamina za muvili. Va chengelela vantu va lika ku zwa kwa vana va hala mu mafosisa.
19 Huwaahidi watu uhuru wakati wao wenyewe ni watumwa wa dhambi ya ufisadi. Maana mwanadamu hufanywa kuwa mtumwa wa kile kinachomtawala.
Vava sepisa i ntukuluho, kono avo vene vahikana va vuchengeleli. mukuti muntu muhikana kuchonse chi mukoma.
20 Yeye ajiepushaye na uchafu wa ulimwengu kwa kutumia maarifa ya Bwana na mwokozi Yesu Kristo, na kisha akarudia uchafu huo tena, hali yake huwa mbaya kuliko ile ya mwanzo.
Yense yo tiya vuvilala vwe inkanda che nzivo ya Simwine ni muhazi Jeso Kirisite, ni ku volela ku zivilala hape, ma manimani avwikalo chava a ziyeze kuvali kuhita vwikalo vwa matangilo.
21 Ingefaa watu hao kama wasingeifahamu njia ya haki kuliko kuifahamu na kisha tena kuziacha amri takatifu walizopewa.
Nikuvavile hande kwavo havasete nivave zivi inzila yaku luka kuhita kuiziva ni ku futatila mwi ntaelo ya kuluka iva letwa kuvali.
22 Mithali hii huwa na ukweli kwao. “mbwa huyarudia matapishi yake. Na nguruwe aliyeoshwa hurudi tena kwenye matope.”
Iyi inguli i niti kuvali: “Umbwa uvolela kuvulusi vwakwe. Chi guluve chi sambite chivolela mwi tope.”

< 2 Petro 2 >