< 2 Samweli 2 >

1 Ikawa baada ya haya Daudi akamuuliza Yahwe, “Je naweza kuupandia mmojawapo wa miji ya Yuda?” Yahweh akamjibu, “Panda.” Daudi akauliza, “Niuendee mji upi? Yahwe akajibu, “Hebroni”
Pripetilo se je po tem, da je David poizvedel od Gospoda, rekoč: »Ali naj grem gor v katerokoli izmed Judovih mest?« Gospod mu je rekel: »Pojdi gor.« David mu je rekel: »Kam naj grem gor?« Rekel je: »V Hebrón.«
2 Hivyo Daudi akakwea pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
Tako je David odšel tja gor in tudi dve njegovi ženi: Jezreélka Ahinóam in Abigájila, žena Karmélčana Nabála.
3 Daudi akawaleta watu waliokuwa pamoja naye, na kila mmoja akaleta familia yake katika mji wa Hebroni walipoanza kuishi.
Njegove može, ki so bili z njim, je David privedel gor, vsakega moža s svojo družino in prebivali so v mestih Hebróna.
4 Kisha watu wa Yuda wakaja na kumtia Daudi mafuta kuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi, “Watu wa Yabeshi Gileadi wamemzika Sauli.”
Možje iz Juda so prišli in tam mazilili Davida [za] kralja nad Judovo hišo. In povedali so Davidu, rekoč: » Da so bili možje iz Jabéš Gileáda tisti, ki so pokopali Savla.«
5 Hivyo Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi Gileadi akawambia, “Mbarikiwe na Yahwe, kwa kuwa mmeonesha utiifu huu kwa bwana wenu Sauli mliyemzika.
David je poslal poslance k ljudem iz Jabéš Gileáda ter jim rekel: »Blagoslovljeni bodite od Gospoda, da ste izkazali to prijaznost našemu gospodu Savlu in ga pokopali.
6 Sasa Yahwe awadhihirishie utiifu na uaminifu wa kiagano. Nami pia nitawaonesha wema kwa sababu ya yale mliyoyafanya.
Sedaj naj vam Gospod izkaže prijaznost in resnico in tudi jaz vam bom poplačal to prijaznost, ker ste storili to stvar.
7 Sasa basi, mikono yenu itiwe nguvu; mwe jasiri kwa maana Sauli bwana wenu amekufa, na nyumba yote ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalime wao.
Zato naj bodo sedaj vaše roke okrepljene in bodite hrabri, kajti vaš gospodar Savel je mrtev in tudi Judova hiša me je mazilila [za] kralja nad seboj.«
8 Lakini Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi la Sauli, akamchukuwa Ishboshethi mwana wa Sauli akamleta Mahanaimu.
Toda Nerov sin Abnêr, poveljnik Savlove vojske, je vzel Savlovega sina Iš Bošeta, in ga privedel preko, v Mahanájim
9 Akamfanya Ishboshethi mfalme juu ya Gileadi, Asheri, Yezreeli, Efraimu, Benjamini na juu ya Israeli yote.
in ga postavil [za] kralja nad Gileádom, nad Ašhúrci, nad Jezreélom, nad Efrájimom, nad Benjaminom in nad vsem Izraelom.
10 Ishiboshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili. Lakini nyumba ya Yuda ikaambatana na Daudi.
Savlov sin Iš Bošet je bil star štirideset let, ko je začel kraljevati nad Izraelom in kraljeval je dve leti. Toda Judova hiša je sledila Davidu.
11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ni miaka saba na miezi sita.
In časa, ko je bil David kralj v Hebrónu, nad Judovo hišo, je bilo sedem let in šest mesecev.
12 Abneri mwana wa Neri na watumishi wa Ishboshethi mwana wa Sauli walitoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
In Nerov sin Abnêr in služabniki Savlovega sina Iš Bošeta so iz Mahanájima odšli v Gibeón.
13 Yoabu mwana wa Seruya na watumishi wa Daudi wakatoka na kukutana nao katika bwawa la Gibeoni. Wakakaa pale, kundi moja upande huu wa bwawa na kundi lingine upande wa pili.
In Cerújin sin Joáb in Davidovi služabniki so odšli ven in se srečali pri Gibeónskem ribniku in se usedli, eni na eni strani ribnika, drugi pa na drugi strani ribnika.
14 Abneri akamwambia Yoabu, “haya, vijana na wainuke na kushindana mbele yetu.” Yoabu akajibu, “haya na wainuke.”
Abnêr je rekel Joábu: »Naj mladeniči sedaj vstanejo in igrajo pred nami.« Joáb je rekel: »Naj vstanejo.«
15 Ndipo vijana walipoinuka na kukutana, kumi na wawili kwa ajili ya Banjamini na Ishboshethi mwana wa Sauli, na kumi na wawili kutoka kwa watumishi wa Daudi.
Potem so se tam vzdignili in odšli čez, po številu dvanajst iz Benjamina, ki je pripadal Iš Bošetovemu sinu Savlu in dvanajst izmed Davidovih služabnikov.
16 Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, “Helkath Hazzurim,” yaani “konde la upanga,” lililopo Gibeoni.
Vsak je zgrabil drugega za glavo in svoj meč porinil v njegovo stran. Tako so skupaj padli dol, zato je bil ta kraj imenovan Helkat-hazurim, ki je v Gibeónu.
17 Vita ikawa kali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watumishi wa Daudi.
Tam je bila ta dan zelo huda bitka in Abnêr je bil poražen in Izraelovi možje, pred Davidovimi služabniki.
18 Wana watatu wa Seruya walikuwepo pale: Yoabu, Abishai na Asaheli.
Bili so trije Cerújini sinovi: Joáb, Abišáj in Asaél. Asaél je bil kakor svetloba stopala, kakor divja srna.
19 Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama paa. Akamfuatilia Abneri kwa karibu bila kugeuka upande wowote.
Asaél je zasledoval Abnêrja in ko je šel, se ni obrnil ne k desni roki niti ne k levi od zasledovanja Abnêrja.
20 Abneri akaangalia nyuma yake na kusema, “Ni wewe Asaheli?” Akajibu, “ni mimi.”
Potem je Abnêr pogledal za seboj in rekel: » Ali si ti Asaél?« Odgovoril je: »Jaz sem.«
21 Abneri akamwambia, “Geuka upande wako wa kuria au kushoto umshike mmojawapo wa vijana na kuchukua silaha yake.” Lakini Asaheli hakugeuka.
Abnêr mu je rekel: »Obrni se vstran k svoji desni roki ali k svoji levi in primi enega izmed mladeničev in si vzemi njegovo bojno opremo.« Toda Asaél se ni hotel obrniti od sledenja za njim.
22 Ndipo Abneri alipomwambia tena Asaheli, “Simama usinifuate. Kwa nini nikupige hata chini? Nitautazamaje uso wa Yoabu ndugu yako?”
Abnêr je ponovno rekel Asaélu: »Obrni se stran od sledenja za menoj. Zakaj bi te udaril k tlom? Kako bi potem svoj obraz dvignil k tvojemu bratu Joábu?«
23 Lakini Asaheli hakukubari kugeuka. na hivyo Abneri akamchoma kwa nchi ya mkuki wake, hata ukatokea upande wa pili. Asaheli akaanguka chini akafa. Hata ikawa kila mmoja aliyefika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa, alisimama hapo hapo.
Vendar je ta odklonil, da se obrne vstran. Zato ga je Abnêr z zadnjim delom sulice udaril pod petim rebrom, da je sulica pogledala ven za njim; in tam je padel dol in umrl na istem kraju. Pripetilo se je, da kolikor jih je prišlo na kraj, kjer je Asaél padel dol in umrl, da so mirno stali.
24 Lakini Yoabu na Abishai wakamfuatilia Abneri. Wakati jua linazama walikuwa wamefika mlima wa Amma, uliopo karibu na Gia katika njia ielekeayo nyika ya Gibeoni.
Tudi Joáb in Abišáj sta zasledovala Abnêrja. Sonce je zašlo, ko sta prišla k hribu Ame, ki leži pred Giahom, ob poti Gibeónske divjine.
25 Wabenjamini wakajikusanya nyuma ya Abneri na kusimama juu ya kilima.
Benjaminovi otroci so se zbrali skupaj za Abnêrjem in postali eno krdelo in stali na vrhu hriba.
26 Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema, “Je ni lazima upanga uendelee kurarua daima? Je haujui kwamba mwisho wake utakuwa mchungu? Hata line ndipo uwaambie watu wako waache kuwafuatia ndugu zao?”
Potem je Abnêr zaklical Joábu in rekel: »Mar bo meč požiral na veke? Ali ne veš, da bo v zadnjem koncu to grenkoba? Doklej bo torej, preden boš svojemu ljudstvu naročil, naj se vrne od zasledovanja svojih bratov?«
27 Yoabu akajibu, “Kama Mungu aishivyo, usingesema hivyo, askari wangu wangewafuatia ndugu zao hata asubuhi!”
Joáb je rekel: » Kakor živi Bog, če ne bi spregovoril, bi potem zjutraj ljudstvo zagotovo odšlo gor, vsakdo od sledenja svojemu bratu.«
28 Ndipo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wote wakasimama na hawakuendelea kuwafuata Israeli tena wala hawakupigana tena.
Tako je Joáb zatrobil na šofar in vse ljudstvo je mirno stalo in ni več zasledovalo Izraela niti se niso več bojevali.
29 Abneri na watu wake wakasafiri usiku wote kupitia Araba. Wakavuka Yordani, wakatembea asubuhi yote iliyofuata, na hata wakafika Mahanaimu.
Abnêr in njegovi možje so vso to noč hodili skozi ravnino in prečkali Jordan in šli skozi ves Bitrón in prišli do Mahanájima.
30 Yoabu akarudi kutoka katika kumfuatia Abneri. Akawakusanya watu wake wote, ambopo Asahali na askari wengine kumi na tisa wa Daudi walipungua.
Joáb se je vrnil od zasledovanja Abnêrja in ko je vse ljudstvo zbral skupaj, je od Davidovih služabnikov manjkalo devetnajst mož in Asaél.
31 Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri.
Toda Davidovi služabniki so udarili Benjaminove in Abnêrjeve može, tako da je umrlo tristo šestdeset mož.
32 Kisha wakamchukua Asahali na kumzika katika kaburi la baba yake, lililokuwapo Bethlehemu. Yoabu na watu wake wakasafiri usiku wote, kukacha wakati wanafika Hebroni.
Pobrali so Asaéla in ga pokopali v mavzoleju njegovega očeta, ki je bil v Betlehemu. Joáb in njegovi možje pa so vso noč hodili ter ob svitu prišli v Hebrón.

< 2 Samweli 2 >