< 2 Samweli 6 >

1 Basi kwa mara nyingine Daudi akawakusanya wateuli wa Israeli, elfu thelathini.
David samlet atter alt utvalgt mannskap i Israel - tretti tusen mann.
2 Daudi akainuka na akaenda na watu wake wote waliokuwa pamoja naye kutoka Baala ulioko Yuda ili alilete sanduku la Mungu, liitwalo kwa jina la Yahwe wa majeshi, akaaye juu ya makerubi.
Og David og alt folket som var hos ham, tok ut og drog fra Ba'ale-Juda for å føre Guds ark op derfra, den som kalles med Herrens navn - med Herrens, hærskarenes Guds navn, han som troner på kjerubene.
3 Wakaliweka sanduku la Mungu juu ya mkokoteni mpya. Wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu, iliyokuwa juu ya kilima. Uza na Ahio, wanawe, wakauongoza mkokoteni.
De satte Guds ark på en ny vogn og førte den bort fra Abinadabs hus, som lå på haugen; og Ussa og Ahjo, Abinadabs sønner, kjørte den nye vogn.
4 Wakautoa mkokoteni na sanduku la Mungu juu yake nyumbani mwa Abinadabu juu ya kilima. Ahio alikuwa ametangulia mbele ya sanduku.
Således førte de Guds ark bort fra Abinadabs hus, som lå på haugen, og fulgte med den, og Ahjo gikk foran arken.
5 Kisha Daudi na nyumba yote ya Israeli wakaanza kucheza mbele ya Yahwe, wakishangilia kwa vyombo vya mziki, vinubi, vinanda, matari, kayamba na matowazi.
Og David og hele Israels hus lekte for Herrens åsyn til alle slags strengelek av cypresstre, både citarer og harper og trommer og bjeller og cymbler.
6 Hata walipofika katika shinikizo la Nasoni, wale ng'ombe wakakwama, Uza akanyosha mkono wake na kulikumbatia sanduku la Mungu, naye akalishikilia.
Da de kom til Nakons treskeplass, rakte Ussa sin hånd ut og tok fatt i Guds ark; for oksene var blitt ustyrlige.
7 Kisha asira ya Yahweh ikawaka dhidi ya Uza. Mungu akampiga kwa ajili ya dhambi yake. Uza akafa pale pale kando ya sandaku la Mungu.
Da optendtes Herrens vrede mot Ussa, og Gud slo ham der for hans forseelse, så han døde der ved Guds ark.
8 Daudi akakasirika kwa kuwa Yahwe alimpiga Uza, naye akapaita mahali pale Peresi Uza. Eneo hilo linaitwa Peres Uza hata leo.
Men David blev ille til mote, fordi Herren hadde slått Ussa ned; derfor er dette sted blitt kalt Peres-Ussa like til denne dag.
9 Daudi akamwogopa Yahweh siku hiyo. Akasema, “Sanduku la Yahwe lawezaje kuja kwangu?”
Den dag blev David opfylt av frykt for Herren og sa: Hvorledes skulde Herrens ark kunne komme inn til mig?
10 Hivyo Daudi hakuwatayari tena kulichukua sanduku la Yahwe katika mji wa Daudi. Badala yake, akaliweka kando katika nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
Og David vilde ikke flytte Herrens ark op til sig i Davids stad, men lot den føre bort til gittitten Obed-Edoms hus.
11 Sanduku la Yahwe likakaa katika nyumba ya Obedi Edomu Mgiti kwa miezi mitatu. Kwa hiyo Yahwe akambariki yeye na nyumba yake yote.
Herrens ark blev stående i gittitten Obed-Edoms hus i tre måneder, og Herren velsignet Obed-Edom og alt hans hus.
12 Kisha mfalme Daudi akaambiwa, “Yahwe ameibariki nyumba ya Obedi Edomu na kila kitu alichonacho kwa sababu ya sanduku la Mungu.” Hivyo Daudi akaenda na kulipandisha sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya Obedi Edomu hadi mji wa Daudi kwa furaha.
Så kom det nogen og fortalte kong David at Herren hadde velsignet Obed-Edoms hus og alt det han hadde, for Guds arks skyld. Da tok David avsted og førte Guds ark fra Obed-Edoms hus op til Davids stad med stor glede.
13 Ikawa waliolibeba sanduku la Yahwe walipochukua hatua sita, akatoa sadaka ng'ombe na ndama aliyenona.
Og da de som bar Herrens ark, hadde gått seks skritt frem, ofret han okser og gjøkalver.
14 Daudi akacheza mbele ya Yahwe kwa nguvu zake zote; alikuwa amevaa naivera ya kitani pekee.
Og David danset av all makt for Herrens åsyn - han hadde en livkjortel av lerret på.
15 Hivyo Daudi na nyumba yote ya Israeli wakalipandisha sanduku la Yahwe kwa vifijo na sauti za tarumbeta.
Således førte David og hele Israels hus Herrens ark op med fryderop og basunklang.
16 Hata ikawa sanduku la Yahwe lilipofika mjini mwa Daudi, Mikali, binti Sauli, alichungulia dirishani. Akamwona mfalme Daudi akiruka na kucheza mbele ya Yahwe. Akamdharau moyoni mwake.
Da nu Herrens ark kom inn i Davids stad, så Mikal, Sauls datter, ut igjennem vinduet, og hun så kong David hoppe og danse for Herrens åsyn, og hun foraktet ham i sitt hjerte.
17 Wakaliingiza sanduku la Yahwe na kuliweka mahali pake, katikati ya hema ambayo Daudi alikuwa ameliwekea. Kisha Daudi akatoa sadaka ya kuteketezwa na matoleo ya amani mbele za Yahwe.
Så førte de da Herrens ark inn og satte den på sitt sted midt i det telt som David hadde reist for den, og David ofret brennoffer for Herrens åsyn og takkoffer.
18 Ikawa Daudi alipomaliza kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, akawabariki watu kwa jina la Yahwe wa majeshi.
Og da David var ferdig med å ofre brennofferet og takkofferne, velsignet han folket i Herrens, hærskarenes Guds navn.
19 Kisha akawagawia watu wote, umati wote wa Israeli, wanaume kwa wanawake, kipande cha mkate, nyama na keki ya zabibu. Kisha watu wote wakaondoka; kila mmoja akarudi kwake.
Og han utdelte til alt folket, til hver enkelt av hele Israels mengde, både mann og kvinne, et brød og et stykke kjøtt og en rosinkake. Så drog alt folket hjem, hver til sitt hus.
20 Kisha Daudi akarudi ili aibariki familia yake. Mikali, binti Sauli, akatoka ili akutane na Daudi naye akasema, “Jinsi gani mtukufu mfalme wa Israeli alivyokuwa leo, aliyejiacha uchi mbele ya macho ya vijakazi miongoni mwa watumishi wake, kama mmoja wa wapumbavu ambaye bila aibu hujifunua yeye mwenyewe!”
Da David kom hjem igjen for å velsigne sitt hus, gikk Mikal, Sauls datter, ut imot ham og sa: Hvor høit Israels konge er blitt æret idag - han som idag har blottet sig for øinene på sine tjeneres piker, som løse folk pleier å gjøre!
21 Daudi akamjibu Mikali, “Nilifanya hivyo mbele ya Yahwe, aliyenichagua juu ya baba yako na juu ya familia yake yote, aliyeniweka kuwa kiongozi juu ya watu wa Yahwe, juu ya Israeli. Mbele ya Yahwe nitafurahi!
Da sa David til Mikal: For Herrens åsyn, han som utvalgte mig fremfor din far og fremfor hele hans hus og satte mig til fyrste over Herrens folk, over Israel - for Herrens åsyn har jeg danset;
22 Nitakuwa nisiye na heshima hata zaidi ya hapa, na nitajishusha mbele za macho yangu mwenyewe. Lakini kwa hawa vijakazi uliowasema, nitaheshimiwa.”
og jeg vil gjøre mig ennu ringere enn så og bli liten i mine egne øine, og de tjenestepiker du talte om, sammen med dem vil jeg æres.
23 Hivyo Mikali, binti Sauli, hakuwa na watato hata alipokufa.
Men Mikal, Sauls datter, blev barnløs til sin dødsdag.

< 2 Samweli 6 >