< Matendo 6 >

1 Sasa katika siku hizi, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa inaongezeka, lalamiko la Wayahudi wa Kiyunani lilianza dhidi ya Waebrania, kwa sababu wajane wao walikuwa wanasahaulika katika mgao wa kila siku wa chakula.
Во днех же сих, умножившымся учеником, бысть роптание Еллинов ко Евреом, яко презираемы бываху во вседневнем служении вдовицы их.
2 Mitume kumi na wawili waliwaita kusanyiko lote la wanafunzi na kusema, “Siyo sahihi kwetu kuliacha neno la Mungu na kuhudumia mezani.
Призвавше же дванадесять множество ученик, реша: не угодно есть нам, оставльшым слово Божие, служити трапезам:
3 Kwa hiyo, ndugu, chagueni, wanaume saba, kutoka miongoni mwenu, watu wema, waliojaa Roho na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi huduma hii.
усмотрите убо, братие, мужы от вас свидетелствованы седмь, исполнены Духа Свята и премудрости, ихже поставим над службою сею:
4 Na sisi, tutaendelea daima katika kuomba na katika huduma ya neno.”
мы же в молитве и служении слова пребудем.
5 Hotuba yao ikaupendeza mkutano wote. Hivyo, wakamchagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu, na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia.
И угодно бысть слово сие пред всем народом: и избраша Стефана, мужа исполнена веры и Духа Свята, и Филиппа, и Прохора и Никанора, и Тимона и Пармена, и Николаа пришелца Антиохийскаго,
6 Waumini waliwaleta watu hawa mbele ya mitume, walioomba na badaye wakawawekea mikono yao.
ихже поставиша пред Апостолы: и помолившеся возложиша на ня руце.
7 Hivyo, neno la Mungu lilienea; na idadi ya wanafunzi ilizidi kuongezeka huko Yesrusalem; na idadi kubwa ya makuhani wakaitii imani.
И слово Божие растяше, и множашеся число ученик во Иерусалиме зело: мног же народ священников послушаху веры.
8 Na Stefano, aliyejaa neema na nguvu, alikuwa akifanya maajabu na ishara kubwa miongoni mwa watu.
Стефан же исполнь веры и силы творяше знамения и чудеса велия в людех.
9 Lakini hapo wakainuka baadhi ya watu wafuasi wa Sinagogi liitwalo Sinagogi la Mahuru, na la Wakirene na la Waeskanderia, na baadhi kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa walikuwa wakihojiana na Stefano.
Восташа же нецыи от сонма глаголемаго Ливертинска и Киринейска и Александрска, и иже от Киликии и Асии, стязающеся со Стефаном:
10 Lakini, hawakuweza kushindana na hekima na Roho ambayo Stefano alikuwa akitumia katika kuzungumza.
и не можаху противустати премудрости и Духу, Имже глаголаше.
11 Kisha waliwashawishi baadhi ya watu kwa siri kusema, “Tumesikia Stefano akizungumza maneno ya kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mungu.”
Тогда подустиша мужы глаголющыя, яко слышахом его глаголюща глаголы хульныя на Моисеа и на Бога.
12 Waliwashurutisha watu, wazee, na waandishi, na kumwendea Stefano, wakamkamata, na kumleta mbele ya baraza.
Сподвигоша же люди и старцы и книжники, и нападше восхитиша его и приведоша на сонмище,
13 waliwaleta mashahidi wa uongo, waliosema, “mtu huyu haachi kunena maneno mabaya dhidi ya eneo hili takatifu na sheria.
поставиша же свидетели ложны глаголющыя, яко человек сей не престает глаголы хульныя глаголя на место святое сие и закон:
14 Kwani tumemsikia akisema kwamba huyu Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali hapa na kuzibadili desturi tulizokabidhiwa na Musa.”
слышахом бо его глаголюща, яко Иисус Назорей сей разорит место сие и изменит обычаи, яже предаде нам Моисей.
15 Kila mmoja aliyekuwa katika baraza, akaelekeza macho yake kumwangalia Stefano, nao wakauona uso wake ulikuwa kama uso wa malaika.
И воззревше нань вси седящии в сонмищи, видеша лице его яко лице Ангела.

< Matendo 6 >