< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
Then the Lord spake to Moses and to Aaron in the land of Egypt, saying,
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
This moneth shalbe vnto you the beginning of moneths: it shalbe to you the first moneth of the yere.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Speake ye vnto all the congregation of Israel, saying, In the tenth of this moneth let euery man take vnto him a lambe, according to the house of the fathers, a lambe for an house.
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
And if the housholde be too litle for the lambe, he shall take his neighbour, which is next vnto his house, according to the nomber of the persons: euery one of you, according to his eating shall make your count for the lambes,
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Your lambe shalbe without blemish, a male of a yeere olde: ye shall take it of the lambes, or of the kiddes.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
And yee shall keepe it vntill the fourteenth day of this moneth: then al the multitude of the Congregation of Israel shall kill it at euen.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
After, they shall take of the blood, and strike it on the two postes, and on the vpper doore post of the houses where they shall eate it.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
And they shall eate the flesh the same night, roste with fire, and vnleauened bread: with sowre herbes they shall eate it.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
Eate not thereof rawe, boyled nor sodden in water, but rost with fire, both his head, his feete, and his purtenance.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
And ye shall reserue nothing of it vnto the morning: but that, which remaineth of it vnto the morowe, shall ye burne with fire.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
And thus shall yee eate it, Your loynes girded, your shoes on your feete, and your staues in your handes, and yee shall eate it in haste: for it is the Lords Passeouer.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
For I will passe through the lande of Egypt the same night, and will smite all the first borne in the land of Egypt, both man and beast, and I will execute iudgement vpon all the gods of Egypt. I am the Lord.
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
And the blood shalbe a token for you vpon the houses where ye are: so when I see the blood, I will passe ouer you, and the plague shall not be vpon you to destruction, when I smite the lande of Egypt.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
And this day shalbe vnto you a remembrance: and ye shall keepe it an holie feast vnto the Lord, throughout your generations: yee shall keepe it holie by an ordinance for euer.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
Seuen daies shall ye eat vnleauened bread, and in any case ye shall put away leauen the first day out of your houses: for whosoeuer eateth leauened bread from the first daie vntill the seuenth day, that person shalbe cut off from Israel.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
And in the first day shalbe an holie assemblie: also in the seuenth day shalbe an holy assemblie vnto you: no worke shalbe done in them, saue about that which euery man must eate: that onely may ye do.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
Ye shall keepe also the feast of vnleauened bread: for that same daye I will bring your armies out of the lande of Egypt: therefore ye shall obserue this day, throughout your posteritie, by an ordinance for euer.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
In the first moneth and the fourteenth day of the moneth at euen, yee shall eate vnleauened bread vnto the one and twentieth day of the moneth at euen.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
Seuen daies shall no leauen be founde in your houses: for whosoeuer eateth leauened bread, that person shalbe cut off from the Congregation of Israel: whether he bee a stranger, or borne in the land.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
Ye shall eate no leauened bread: but in all your habitations shall ye eate vnleauened bread.
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Then Moses called all the Elders of Israel, and saide vnto them, Choose out and take you for euerie of your housholdes a lambe, and kill the Passeouer.
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
And take a bunch of hyssop, and dip it in the blood that is in the basen, and strike the lintell, and the doore cheekes with the blood that is in the basen, and let none of you goe out at the doore of his house, vntill the morning.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
For the Lord will passe by to smite the Egyptians: and when he seeth the blood vpon the lintel and on the two doore cheekes, the Lord wil passe ouer the doore, and wil not suffer the destroyer to come into your houses to plague you.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
Therefore shall ye obserue this thing as an ordinance both for thee and thy sonnes for euer.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
And when ye shall come into the land, which the Lord will giue you as hee hath promised, then ye shall keepe this seruice.
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
And when your children aske you, What seruice is this ye keepe?
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
Then ye shall saye, It is the sacrifice of the Lordes Passeouer, which passed ouer the houses of the children of Israel in Egypt, when he smote the Egyptians, and preserued our houses. Then the people bowed them selues, and worshipped.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
So the children of Israel went, and did as the Lord had commanded Moses and Aaron: so did they.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
Nowe at midnight, the Lord smote all the first borne in the lande of Egypt, from the first borne of Pharaoh that sate on his throne, vnto the first borne of the captiue that was in prison, and all the first borne of beastes.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
And Pharaoh rose vp in the night, he, and all his seruants and all the Egyptians: and there was a great crye in Egypt: for there was no house where there was not one dead.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
And hee called to Moses and to Aaron by night, and saide, Rise vp, get you out from among my people, both yee, and the children of Israel, and goe serue the Lord as ye haue sayde.
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Take also your sheepe and your cattell as yee haue sayde, and depart, and blesse me also.
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
And the Egyptians did force the people, because they would send them out of the land in haste: for they said, We die all.
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Therfore the people tooke their dough before it was leauened, euen their dough bound in clothes vpon their shoulders.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
And the children of Israel did according to the saying of Moses, and they asked of ye Egyptians iewels of siluer and iewels of gold, and raiment.
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
And the Lord gaue the people fauour in the sight of the Egyptians: and they graunted their request: so they spoyled the Egyptians.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
Then the children of Israel tooke their iourney from Rameses to Succoth about sixe hundreth thousand men of foote, beside children.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
And a great multitude of sundrie sortes of people went out with them, and sheepe, and beeues, and cattel in great abundance.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
And they baked the dough which they brought out of Egypt, and made vnleauened cakes: for it was not leauened, because they were thrust out of Egypt, neither coulde they tarie, nor yet prepare themselues vitailes.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
So the dwelling of the children of Israel, while they dwelled in Egypt, was foure hundreth and thirtie yeres.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
And when the foure hundreth and thirtie yeeres were expired, euen the selfe same day departed all the hostes of the Lord out of the land of Egypt.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
It is a night to be kept holie to the Lord, because he brought them out of the lande of Egypt: this is that night of the Lord, which all the children of Israel must keepe throughout their generations.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
Also the Lord said vnto Moses and Aaron, This is the Lawe of the Passeouer: no stranger shall eate thereof.
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
But euerie seruant that is bought for money, when thou hast circumcised him, then shall he eat thereof.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
A stranger or an hyred seruant shall not eat thereof.
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
In one house shall it bee eaten: thou shalt carie none of ye flesh out of the house, neither shall ye breake a bone thereof.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
All the Congregation of Israel shall obserue it.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
But if a stranger dwell with thee, and will obserue the Passeouer of the Lord, let him circumcise all the males, that belong vnto him, and then let him come and obserue it, and he shall be as one that is borne in the land: for none vncircumcised person shall eate thereof.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
One lawe shalbe to him that is borne in the land, and to the stranger that dwelleth among you.
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Then all the children of Israel did as the Lord commanded Moses and Aaron: so did they.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
And the selfe same day did the Lord bring the children of Israel out of the land of Egypt by their armies.

< Kutoka 12 >