< Mwanzo 43 >

1 Njaa ilikuwa kali katika nchi.
Ali glad bješe vrlo velika u onoj zemlji.
2 Ikawa walipokuwa wametumia chakula chote walichokitoa Misri, baba yao akawambia, “Nendeni tena; mtununulie chakula.”
Pa kad pojedoše žito koje bijahu donijeli iz Misira, reèe im otac: idite opet, i kupite nam malo hrane.
3 Yuda akamwambia, “Yule mtu alituonya kwa ukali, 'Hamtauona uso wangu ndugu yenu asipokuwa nanyi.'
A Juda mu progovori i reèe: tvrdo nam se zarekao onaj èovjek govoreæi: neæete vidjeti lica mojega, ako ne bude s vama brat vaš.
4 Ikiwa utamtuma ndugu yetu pamoja nasi, tutashuka na kuwanunulia chakula.
Ako æeš pustiti s nama brata našega, iæi æemo i kupiæemo ti hrane.
5 Lakini usipompeleka, hatutashuka. Kwa maana yule mtu alitwambia, 'Hamtauona uso wangu ndugu yenu asipokuwa nanyi.”
Ako li neæeš pustiti, neæemo iæi, jer nam je kazao onaj èovjek: neæete vidjeti lica mojega, ako ne bude s vama brat vaš.
6 Israeli akawambia, “Kwa nini mlinitendea mimi vibaya hivyo kwa kumwambia mtu huyo kwamba mnaye ndugu mwingine?”
A Izrailj reèe: što mi to zlo uèiniste i kazaste èovjeku da imate još jednoga brata?
7 Wakasema, “Yule mtu alituuliza habari zetu na familia yetu kwa kina. Akasema, 'Je baba yenu bado yuko hai? Je mnaye ndugu mwingine?'Tukamjibu kulingana na maswali haya. Tungejuaje kwamba angetwambia, 'Mleteni ndugu yenu?”
A oni rekoše: èovjek je potanko raspitivao za nas i za rod naš govoreæi: je li vam jošte živ otac? imate li još braæe? a mi mu odgovarasmo kako nas pitaše. Jesmo li mogli kako znati da æe kazati: dovedite brata svojega?
8 Yuda akamwambia Israeli baba yake, “Mtume kijana pamoja nami. Tutainuka na kwenda ili kwamba tuishi tusife, wote sisi, wewe, na hata watoto wetu.
I reèe Juda Izrailju ocu svojemu: pusti dijete sa mnom, pa æemo se podignuti i otiæi, da ostanemo živi i ne pomremo i mi i ti i naša djeca.
9 Mimi nitakuwa mdhamini wake. Utaniwajibisha mimi. Kama nisipomleta na kumweka mbele yako, basi nibebe lawama daima.
Ja ti se jamèim za nj, iz moje ga ruke išti; ako ti ga ne dovedem natrag i preda te ne stavim, da sam ti kriv dovijeka.
10 Kwani kama tusingekawia, bila shaka hata sasa tungekuwa tumekwisha rudi mara ya pili.”
Da nijesmo toliko oklijevali, do sada bismo se dva puta vratili.
11 Israeli baba yao akawambia, “Kama ni hivyo, basi fanyeni hivi. Chukueni baadhi ya mazao mazuri ya nchi katika mifuko yenu. Mchukulieni yule mtu zawadi: baadhi ya malhamu, asali, viungo na manemane, jozi na lozi.
Onda reèe Izrailj otac njihov: kad je tako, uèinite ovo: uzmite što najljepše ima u ovoj zemlji u svoje vreæe, i ponesite èovjeku onom dar: malo tamjana i malo meda, mirisava korijenja i smirne, urme i badema.
12 Chukueni pesa mara mbili mikononi mwenu. Pesa iliyorudishwa katika magunia yenu, muichukue tena katika mikono yenu. Pengine walikosea.
A novaca ponesite dvojinom, i uzmite novce što bijahu ozgo u vreæama vašim i odnesite natrag, može biti da je pogrješka.
13 Mchukueni ndugu yenu pia. Inukeni na mwende tena kwa mtu yule.
I uzmite brata svojega, pa ustanite i idite opet k onom èovjeku.
14 Mungu Mwenyezi na awape kuona rehema mbele ya huyo mtu, hivyo kwamba awafungulie ndugu yenu mwingine na Benjamini. Kama nikipotelewa na watoto, nimepotelewa.”
A Bog svemoguæi da vam da da naðete milost u onoga èovjeka, da vam pusti brata vašega drugoga i Venijamina; ako li ostanem bez djece, nek ostanem bez djece.
15 Watu wale wakachukua zawadi hii, na katika mikono yao wakachukua mara mbili ya kiasi cha pesa, pamoja na Benjamini. Wakaamka na kushuka Misri na kusimama mbele ya Yusufu.
Tada uzevši dare i novaca dvojinom, uzevši i Venijamina, podigoše se i otidoše u Misir, i izaðoše pred Josifa.
16 Yusufu alipomwona Benjamini akiwa nao, akamwambia mtunzaji wa nyumba yake, “Walete watu hao ndani ya nyumba, chinja mnyama na umwandae, kwani watu hawa watakula chakula cha mchana pamoja nami.”
A Josif kad vidje s njima Venijamina, reèe èovjeku koji upravljaše kuæom njegovom: odvedi ove ljude u kuæu, pa nakolji mesa i zgotovi, jer æe u podne sa mnom jesti ovi ljudi.
17 Mtunzaji wa nyumba akafanya kama Yusufu alivyosema. Akawaleta wale watu nyumbani kwa Yusufu.
I uèini èovjek kako Josif reèe, i uvede ljude u kuæu Josifovu.
18 Wale ndugu wakaogopa kwa vile walivyoletwa katika nyumba ya Yusufu. Wakasema, “Ni kwa sababu ya pesa iliyorudishwa katika magunia yetu mara ya kwanza tulipoletwa ndani, kwamba atafute nafasi kinyume chetu. Kwamba aweze kutukamata na kutuchukua kama watumwa, na kuchukua punda wetu.” Wakamsogelea mtunzaji wa nyumba ya Yusufu,
A oni se bojahu kad ih èovjek voðaše u kuæu Josifovu, i rekoše: za novce koji preðe bjehu metnuti u vreæe naše vodi nas, dokle smisli kako æe nas okriviti, da nas zarobi i uzme naše magarce.
19 nao wakaongea naye mlangoni mwa nyumba,
Pa pristupivši k èovjeku koji upravljaše kuæom Josifovom, progovoriše mu na vratima kuænim,
20 wakisema, “Bwana wangu, tulikuja mara ya kwanza kununua chakula.
I rekoše: èuj, gospodaru; došli smo bili i preðe, i kupismo hrane;
21 Ikawa, tulipofika katika eneo la kupumzikia, tukafungua magunia yetu, na, tazama, pesa ya kila mtu ilikuwa katika gunia lake, pesa yetu kwa kiasi kamili. Tumeileta katika mikono yetu.
Pa kad doðosmo u jednu gostionicu i otvorismo vreæe, a to novci svakoga nas bijahu ozgo u vreæi njegovoj, novci naši na mjeru; i evo smo ih donijeli natrag;
22 Tumekuja na pesa nyingine pia mikonon mwetu ili kununua chakula. Hatujui aliyeziweka pesa katika magunia yetu.”
A druge smo novce donijeli da kupimo hrane; ne znamo ko nam metnu novce naše u vreæe.
23 Mtunzaji wa nyumba akasema, “Amani iwe kwenu, msiogope. Mungu wenu na Mungu wa baba yenu ndiye aliyeweka pesa katika magunia yenu. Nilipokea pesa yenu.” Kisha mtunzaji wa nyumba akamleta Simoni kwao.
A on im reèe: budite mirni, ne bojte se; Bog vaš i Bog oca vašega metnuo je blago u vreæe vaše; novci su vaši bili u mene. I izvede im Simeuna.
24 Msimamizi wa nyumba akawapeleka watu hao katika nyumba ya Yusufu. Akawapa maji, nao wakaosha miguu yao. Akawalisha punda wao.
I uvede ih èovjek u kuæu Josifovu, i donese im vode te opraše noge, i magarcima njihovijem položi.
25 Wakaandaa zawadi kwa ajili ya Yusufu aliyekuwa akija mchana, kwani walikuwa wamesikia kwamba watakula pale.
I pripraviše dar èekajuæi dokle doðe Josif u podne, jer èuše da æe oni ondje objedovati.
26 Yusufu alipokuja nyumbani, wakaleta nyumbani zawadi iliyokuwa mikononi mwao, nao wakainama mbele yake hata chini.
I kad Josif doðe kuæi, iznesoše mu dar koji imahu kod sebe, i pokloniše mu se do zemlje.
27 Akawauliza juu ya hali zao na kusema,”Je baba yenu hajambo, yule mzee mliyemnena? Je bado yu hai?”
A on ih zapita kako su, i reèe: kako je otac vaš stari, za koga mi govoriste? je li jošte živ?
28 Wakasema, “Mtumishi wako baba yetu hajambo. Na bado yu hai” Wakajinyenyekeza na kuinama chini.
A oni rekoše: dobro je sluga tvoj, otac naš; još je živ. I pokloniše mu se.
29 Alipoinua macho yake akamwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mamaye, naye akasema, “Je huyu ndiye mdogo wenu mliyemsema?” Na kisha akasema, “Mungu na awe mwenye neema kwako, mwanangu.”
A on pogledav vidje Venijamina brata svojega, sina matere svoje, i reèe: je li vam to najmlaði brat vaš za kojega mi govoriste? I reèe: Bog da ti bude milostiv, sinko!
30 Yusufu akaharakisha kutoka chumbani, kwani aliguswa sana kuhusu nduguye. Akatafuta mahali pa kulia. Akaingia chumbani mwake na kulia umo.
A Josifu goraše srce od ljubavi prema bratu svojemu, te brže potraži gdje æe plakati, i ušav u jednu sobu plaka ondje.
31 Akaosha uso wake na kutoka nje. Akajizuia mwenyewe, akasema, “karibuni chakula.”
Poslije umiv se izaðe, i ustežuæi se reèe: dajte objed.
32 Watumishi wakamhudumia Yusufu peke yake na wale ndugu peke yao. Wamisri pale wakala pamoja naye peke yao kwa sababu Wamisri hawakuweza kula mkate na Waebrania, kwani hilo ni chukizo kwa Wamisri.
I donesoše njemu napose, i njima napose, i Misircima koji objedovahu u njega napose, jer ne mogahu Misirci jesti s Jevrejima, jer je to neèisto Misircima.
33 Wale ndugu wakakaa mbele yake, mzaliwa wa kwanza kwa kulingana na haki yake ya uzaliwa, na mdogo kulingana na ujana wake. Wale watu wakashangaa wote.
A sjeðahu pred njim stariji po starješinstvu svojem a mlaði po mladosti svojoj. I zgledahu se od èuda.
34 Yusufu akapeleka sehemu kwao kutoka katika chakula kilichokuwa mbele yake. Lakini sehemu ya Benjamini ilikuwa mara tano zaidi ya kila ndugu zake. Wakanywa na wakamfurahia.
I uzimajuæi jela ispred sebe slaše njima, i Venijaminu dopade pet puta više nego drugima. I piše i napiše se s njim.

< Mwanzo 43 >