< Hosea 8 >

1 “Weka tarumbeta katika midomo yako! Tai anakuja juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja agano langu na waliasi dhidi ya sheria yangu.
A trumpe be in thi throte, as an egle on the hous of the Lord; for that that thei yeden ouer my boond of pees, and braken my lawe.
2 Wananililia,'Mungu wangu, sisi katika Israeli tunakujua.'
Thei clepiden me to helpe, A! my God, we Israel han knowe thee.
3 Lakini Israeli amekataa mema, na adui atamfuata.
Israel hath cast awei good, the enemye schal pursue hym.
4 Wameweka wafalme, lakini sio kwa shauri langu. Wamewafanya wakuu, lakini sikuwa na habari. Kwa fedha zao na dhahabu wamejifanyia sanamu wenyewe, ili wakatiliwe mbali.”
Thei regnyden, and not of me; thei weren princes, and Y knew not. Thei maden her gold and siluer idols to hem, that thei schulden perische.
5 “Ndama yako imekataliwa, Samaria. Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa. Kwa muda gani watakuwa na hatia?
A! Samarie, thi calf is cast awei; my strong veniaunce is wrooth ayens hem. Hou long moun thei not be clensid?
6 Kwa maana sanamu hii ilitoka Israeli; fundi aliifanya; si Mungu! Ndama ya Samaria itavunjwa vipande vipande.
for also it is of Israel. A crafti man made it, and it is not god; for the calf of Samarie schal be in to webbis of ireyns.
7 Kwa maana watu hupanda upepo na kuvuna kimbunga. Mbegu zilizosimama hazina vichwa; haitoi unga. Ikiwa itakomaa, wageni watakula.
For thei schulen sowe wynd, and thei schulen repe whirlewynd. A stalke stondynge is not in hem, the seed schal not make mele; that if also it makith mele, aliens schulen ete it.
8 Israeli imemezwa; sasa wanalala kati ya mataifa kama kitu kisicho na maana.
Israel is deuouryd; now Israel is maad as an vnclene vessel among naciouns,
9 Kwa maana walikwenda Ashuru kama punda wa mwitu pekee. Efraimu ameajiri wapenzi kwa ajili yake mwenyewe.
for thei stieden to Assur. Effraym is a wielde asse, solitarie to hym silf. Thei yauen yiftis to louyeris;
10 Hata ingawa wameajiri wapenzi kati ya mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wao wataanza kupotea kwa sababu ya unyanyasaji wa mfalme wa wakuu.
but also with meede thei hiriden naciouns. Now Y schal gadere hem togidere, and thei schulen reste a litil fro birthun of the kyng and of princes.
11 Kwa maana Efraimu imeongeza madhabahu kwa sadaka za dhambi, lakini zimekuwa madhabahu kwa kufanya dhambi.
For Efraym multipliede auteris to do synne, auteris weren maad to hym in to trespas.
12 Niliweza kuandika sheria yangu kwao mara elfu kumi, lakini wangeiona kama kitu cha ajabu kwao.
Y schal write to hem my many fold lawis, that ben arettid as alien lawis.
13 Kwa ajili ya dhabihu za sadaka zangu, hutoa nyama na kuila, lakini mimi, Bwana, siwakubali. Sasa nitafikiri juu ya uovu wao na kuadhibu dhambi zao. Watarudi Misri.
Thei schulen brynge sacrifices, thei shulen offre, and ete fleischis; and the Lord schal not resseyue tho. Now he schal haue mynde on the wickidnessis of hem, and he schal visite the synnes of hem; thei schulen turne in to Egipt.
14 Israeli amenisahau mimi, Muumba wake, na amejenga majumba. Yuda ameimarisha miji mingi, lakini nitatuma moto juu ya miji yake; itaharibu ngome zake.
And Israel foryat his makere, and bildide templis to idols, and Judas multipliede stronge citees; and Y schal sende fier in to the citees of hym, and it schal deuoure the housis of hym.

< Hosea 8 >