< Isaya 37 >

1 Ikawa siku hiyo mfalme Hezekia aliposika taarifa zao, alichana mavazi yake, na kujifunika nguo za magunia, na akaenda kwenye nyumba ya Yahwe.
A gdy to usłyszał król Ezechyjasz, rozdarł szaty swoje, a oblókłszy się w wór, wszedł do domu Pańskiego.
2 Na alimtuma Eliakimu, ambae ni kiongozi wa kaya na Shebna mwandishi, na wazee wa makuhani, wote walijifunika nguo za magunia, kwa Isaya mtoto wa Amozi, nabii.
I posłał Elijakima, sprawcę domu swego, i Sobnę pisarza, i starszych z kapłanów obleczonych w wory, do Izajasza proroka, syna Amosowego.
3 Wakamwambia yeye, Hezekia akasema hivi, 'Siku hii ni siku ya dhiki, kukemewa, na aibu, ni kama mtoto aliye tayari kuzaliwa lakini mama yake hana nguvu za kumsukuma mtoto.
Którzy rzekli do niego: Tak mówi Ezechyjasz: Dzień ten jest dzień utrapienia, i łajania, i bluźnienia; albowiem synowie przyszli aż do porodzenia, ale siły niemasz ku rodzeniu.
4 Itakuwa Yahwe Mungu wenu atasikia maneno ya kamanda mkuu, ambao mfalme wa Asira Bwana wake alimtuma kumpinga Mungu anayeishi, na atakemea maneno ambayo Yahwe Mungu wenu ameyasikia. Sasa inueni maombi yenu juu mabaki yaliyoobakia hapa.''
Oby usłyszał Pan, Bóg twój, słowa Rabsacesowe, którego posłał król Assyryjski, pan jego, aby urągał Bogu żyjącemu, i pomścił się Pan Bóg twój, tych słów, które słyszał! Przetoż uczyń modlitwę za te ostatki ludu, które się znajdują.
5 Sasa watumishi wa mfalme Hezekia walikuja kwa Isaya,
Przyszły tedy słudzy króla Ezechyjasza do Izajasza;
6 na Isaya akawambia, ''Mwambieni Bwana wenu: 'Yahwe amesma, ''Msiogope kwa maneno mliyoyasikia, maneno ambayo mfalme wa Asiria amenitusi mimi.
Którym odpowiedział Izajasz: Tak powiedzcie Panu waszemu, tak mówi Pan: Nie bój się tych słów, któreś słyszał, któremi mię lżyli słudzy króla Assyryjskiego.
7 Tazama nitaiweka roho yangu ndani yake na atasikiliiza taarifa fulani na atarudi kwenye nchi yake mwenyewe. Na nitamfanya anguke kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.''
Oto ja mu dam innego ducha, aby usłyszawszy wieść nawrócił się do ziemi swojej; i sprawię to, że polegnie od miecza w ziemi swojej.
8 Basi kamanda mkuu alirudi na kumkuta mfalme wa Asira anapigana dhidi ya Libna, Maana aliskia kwamba mfalme amekwenda mbali kutoka Lachishi.
Ale Rabsaces wróciwszy się znalazł króla Assyryjskiego dobywającego Lebny; albowiem usłyszał, iż odciągnął był od Lachys.
9 Halafu Sennacheribi alisikia kwamba Tirkhaka mfalme wa Ethiopia na Misri wamehamasishana kupigna dhidi yake. Hivyo akamtuma mjumbe mara nyingine kwa Hezekia apeleke ujumbe:
A usłyszawszy o Tyraku, królu Etyjopskim, że mówiono: Oto ciągnie, aby walczył przeciwko tobie; usłyszawszy to, mówię, przecie posłał posłów do Ezechyjasza z temi słowy:
10 ''Mwambie Hezekia, mfalme wa Yuda, 'Usimruhusu Mungu unayemwamini akudanganye, ''Yerusalemu haitatiwa mikononi mwa mfalme wa Asiria.''
To powiedzcie Ezechyjaszowi, królowi Judzkiemu, mówiąc: Niech cię nie zwodzi Bóg twój, któremu ty ufasz, a mówisz: Nie będzie podane Jeruzalem w ręce króla Assyryjskiego.
11 umesikia kitu ambacho mfalme wa Asiria alichokifanya kwa nchi yote kwa kuiangamiza kabisa. Je utawaokoa?
Otoś słyszał, co poczynili królowie Assyryjscy wszystkim ziemiom, które wygładzili; a tybyś miał być wybawiony?
12 Je miungu ya mataifa imewakomboa? taifa ambalo baba yangu aliliangamiza: Gozani, Harani, Rezefi na watu wa Edeni katika Telassari?
Izali je wybawili bogowie tych narodów, które wygubili ojcowie moi: Gozan, i Haran, i Resef, i synów Eden, którzy byli w Telassar?
13 Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, mfalme wa miji ya Sefarvaaimi, wa Hema na Ivva?''
Gdzież jest król Elmat, i król Arfad, i król miasta Sefarwaim, Ana, i Awa?
14 Hezekia alipokea barua hii kutoka mikononi mwa mjumbe na kisoma. Halafu akaenda juu kwenye nyumba ya Yahwe na kuusoma mbele yake.
Przetoż wziąwszy Ezechyjasz list z ręki posłów, przeczytał go, a wszedłszy do domu Pańskiego, rozciągnął go Ezechyjasz przed Panem.
15 Hezekia alimuomba Mungu:
I modlił się Ezechyjasz Panu, mówiąc:
16 Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, wewe ambae uko juu ya makerubi, wewe ni Mungu mwenywe juu falme zote za dunia. umezifanya mbingu na nchi.
Panie zastępów, Boże Izraelski, siedzący na Cherubinach! Ty, tyś sam jest Bóg wszystkich królestw ziemi, tyś stworzył niebo i ziemię.
17 Jeuza masikio yako, Yahwe, na sikiliza. Fungua macho yako, Ee Yahwe na uone, na usikilize maneno ya Sanacheribi, ambayo ameyatuma kumfanyia mzadha Mungu anayeishi.
Nakłońże, Panie! ucha twego, a usłysz; otwórz, Panie! oczy twoje, a obacz; usłysz wszystkie słowa Sennacherybowe, który przysłał hańbić ciebie, Boga żywego.
18 Ni kweli Yahwe, mfalme wa Asiria ameangamiza mataifa yote na aridhi yao.
Prawdać jest, Panie! że sputoszyli królowie Assyryjscy wszystkie te krainy, i ziemię ich;
19 Wameiweka miungu yao katika moto, maana haikuwa miungu lakini kazi ya mikono ya wanadamu, ni kuni na jiwe tu.
I powrzucali bogów ich w ogień; albowiem nie byli bogami, ale robotą rąk ludzkich, drewno i kamień; przetoż ich wygubili.
20 Hivyo Waasira wameawaangamiza wao. hivyo saa Yahwe Mungu wetu, tuokoe kwa nguvu zako, ili falme zote za duniani zijue kwamba wewe ni Yahwe peke yako.''
A teraz, o Panie, Boże nasz! wybaw nas z ręki jego, aby poznały wszystkie królestwa ziemi, żeś ty, Panie! sam Bogiem.
21 Basi Isaya mtoto wa Amozi alituma ujumbe kwa Hezekia, na kusema, Yahwe Mungu wa Israeli amesema, Kwa sababu umeomba kwangu kuhusu Sannacheribi mfalme wa Asiria,
Tedy posłał Izajasz, syn Amosowy, do Ezechyjasza, mówiąc: Tak mówi Pan Bóg Izraelski: O coś mię prosił z strony Sennacheryba, króla Assyryjskiego,
22 Haya ndiyo maneno ambayo Yahwe amezungumza kuhusu yeye, ''Binti bikira wa Sayuni wanakudharau na kukucheka kwa dharau; mabinti wa Yerusalemu wanatingisha vichwa vyao kwa ajili yako.
Tedy to jest słowo, które mówił Pan o nim: Panna, córka Syońska, wzgardziła cię, śmiała się z ciebie, kiwała głową za tobą córka Jeruzalemska.
23 Ni nani unayempinga na kumtusi? na dhidi ya nani unayenyanyua sauti yako na kunyanyua macho yako kwa kiburi? dhidi ya mtakatifu wa Israeli.
Kogożeś hańbił, i kogoś bluźnił? przeciwko komużeś podniósł głos, i wyniosłeś ku górze oczy swe? przeciwko Świętemu Izraelskiemu.
24 Kwa kupitia watumishi wako umempinga Bwana na amesema, 'Kwa wingi wa gari nimepanda juu kwenye kilele cha milima, katika kilele cha mwuinuko wa Lebanoni. Nitaikata mierezi yake na kuchagua miti ya miseprasi pale, ni msitu uzao sana.
Przez sługi twoje hańbiłeś Pana, i mówiłeś: W mnóstwie wozów moich wstąpiłem ja na wysokie góry, na strony Libańskie, i porąbię wysokie cedry jego, i wyborne jodły jego; i wnijdę na samę wysokość wierzchu jego, do lasów, i urodzajnych ról jego.
25 Nimechimba kisima na kunywa maji; nimechimba mito yote ya Misri chini ya nyayo za miguu yangu.'
Jam wykopał źródła i piłem wody, a wysuszyłem stopami nóg moich wszystkie potoki miejsc oblężonych.
26 Je haujasikia jinsi nilivyoamua toka siku nyingi na nimelifanyia kazi toka kipindi cha kale? ninayaleta sasa ili yaweze kutimia. Mko hapa kuhiaribu miji imara na yenye ulinzi wa kutosha na kuwa chungu cha uharibifu.
Izażeś nie słyszał, żem to z dawna uczynił, i ode dni starodawnych to sprawił? A teraz do tego przywodzę, aby w pustynie i w kupy rumu miasta obronne obrócone były.
27 Wakazi wake, waliowadhaifu, waliokata tamaa na wenye aibu. Wanaotesha shambani, majani mabichi, majani juu paa au kwenye shamba kabla ya upepo wa mashariki.
A obywatele ich ręce skurczone mając, przestraszeni są i zawstydzeni, stali się jako trawa polna, i jako ziele wschodzące, i trawy na dachach, a siewy rdzą zepsowane, pierwej niżeliby dorosły.
28 Lakini najua kukaa kwenu chini, kutoka kwenu nje, mnapoingia ndani, na mnapokuwa wakali dhidi yangu.
Mieszkanie twoje, i wyjście twoje, i wejście twoje znam, i popędliwość twoję przeciwko sobie.
29 Kwa sababu mnakuwa wakali dhidi yangu, maana kiburi chenu kimeyafikia masikio yangu, Nitaweka ndoano katika pua zenu, na sauti katika midomo yenu; Nitawageuza nyuma kwenye njia mliyokuja nayo.
Ponieważeś się przeciwko mnie zajuszył, a zapędy twoje przyszły do uszów moich, przetoż założę kolce moje za nozdrza twoje, a wędzidło moje wprawię w gębę twoję, i wrócę cię tą drogą, którąś przyszedł.
30 Hii itakuwa wimbo kwenu: mwaka huu mtakula kinachoota porini na mwaka pili mtakula kinachoota hapo hapo. Lakini mwaka wa tatu lazima mpande na mvune, pandeni mizabibu na mle matunda yake.
A to miej za znak, Ezechyjaszu! Tego roku jeść będziesz samorodne zboże, także i drugiego roku samorodne zboże; ale roku trzeciego będziecie siać i żąć, i winnice sadzić, i pożywać owoce ich.
31 Mabaki ya nyumba ya Yuda ambao wanaishi watachukua mzizi tena na kuzalisha matunda.
Ostatek bowiem domu Judy, który pozostał, wkorzeni się głęboko, i wyda owoc ku górze.
32 Maana katika Yerusalemu waliobaki watatoka; Kutoka kwenye mlima Sayuni waliobaki watakuja. Bidii ya Yahwe wa majeshi itafanikisha hili.''
Albowiem z Jeruzalemu wyjdą ostatki, i zachowani z góry Syońskiej. Gorliwość Pana zastępów to uczyni.
33 Hivyo basi Yahwe asema hivi kuhusu Asiria: ''Atakuja katika miji, wala kurusha mkuki hapa. Wala atakuja hapa mbele kwa ngao au kujenga uzio njia panda dhidi yao.
Przetoż tak mówi Pan o królu Assyryjskim: Nie wnijdzie do miasta tego, ani tam strzały wystrzeli, ani go zaprzątnie tarcza, ani usypie około niego szańców.
34 Njia atakayojia itakuwa njia hiyo hiyo atakayorudia; ataingia katika mji huu. Hili ni Tamko ya Yahwe.
Drogą, którą przyszedł, zaś się wróci, a do miasta tego nie wnijdzie, mówi Pan.
35 Maana nitaulinda huu mji na kuuokoa, kwa niaba yangu mimi mwenyewe na kwa niaba Daudi mtumishi wangu.''
Bo będę bronił miasta tego, i zachowam je sam dla siebie, i dla Dawida, sługi mego.
36 Halafu malaika wa Yahwe alienda nje na kuvamia kambi ya Waasiria, na kuwauwa askari 185, 000. Watu walipoamka asubuhi na mapema, miili iliyokufa imelala kila mahali.
Tedy wyszedł Anioł Pański, i pobił w obozie Assyryjskim sto ośmdziesiąt, i pięć tysięcy; a gdy wstali bardzo rano, oto wszędy pełno trupów.
37 Hivyo Sennacheribi mfalme wa Asiria aliiacha Israeli na kwenda nyumbani na akakaa Ninewi.
Przetoż ruszywszy się, odjechał, i wrócił się Sennacheryb, król Assyryjski, a mieszkał w Niniwie.
38 Baadaye, na alipokuwa anabudu katika nyumba ya Nisrochi mungu wake, mtoto wake Adramaleki na Shareza alimuua kwa upanga. Halafu wakakimbilia kwenye nchi ya Ararati. Halafu Esarhadoni mtoto wake akatawala katika sehemu ya baba yake.
A gdy chwalił Nesrocha, boga swego, w domu, tedy Adramelach i Sarasar, synowie jego, zabili go mieczem, a sami uciekli do ziemi Ararat; a królował Assarhaddon, syn jego, miasto niego.

< Isaya 37 >