< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
И отвечал Софар Наамитянин и сказал:
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
разве на множество слов нельзя дать ответа, и разве человек многоречивый прав?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Пустословие твое заставит ли молчать мужей, чтобы ты глумился, и некому было постыдить тебя?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Ты сказал: суждение мое верно, и чист я в очах Твоих.
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Но если бы Бог возглаголал и отверз уста Свои к тебе
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
и открыл тебе тайны премудрости, что тебе вдвое больше следовало бы понести! Итак знай, что Бог для тебя некоторые из беззаконий твоих предал забвению.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Можешь ли ты исследованием найти Бога? Можешь ли совершенно постигнуть Вседержителя?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Он превыше небес, - что можешь сделать? глубже преисподней, - что можешь узнать? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Длиннее земли мера Его и шире моря.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Если Он пройдет и заключит кого в оковы и представит на суд, то кто отклонит Его?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Ибо Он знает людей лживых и видит беззаконие, и оставит ли его без внимания?
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Но пустой человек мудрствует, хотя человек рождается подобно дикому осленку.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Если ты управишь сердце твое и прострешь к Нему руки твои,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
и если есть порок в руке твоей, а ты удалишь его и не дашь беззаконию обитать в шатрах твоих,
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
то поднимешь незапятнанное лице твое и будешь тверд и не будешь бояться.
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
Тогда забудешь горе: как о воде протекшей, будешь вспоминать о нем.
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
И яснее полдня пойдет жизнь твоя; просветлеешь, как утро.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
И будешь спокоен, ибо есть надежда; ты огражден, и можешь спать безопасно.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
Будешь лежать, и не будет устрашающего, и многие будут заискивать у тебя.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
А глаза беззаконных истают, и убежище пропадет у них, и надежда их исчезнет.

< Ayubu 11 >