< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Nu nam Bildad van Sjóeach het woord, en sprak:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Wanneer maakt gij eindelijk eens een eind aan uw praten, Wordt gij verstandig, en laat ons aan het woord;
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Waarom worden wij als vee beschouwd, En zijn wij zo dom in uw ogen?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Gij, die in uw woede uzelf verscheurt: Zou om uwentwil de aarde worden ontvolkt, Een rots van haar plaats verwijderd, Een berg van zijn grondslag gerukt?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Waarachtig, het licht van den boze dooft uit, De vlam van zijn vuur blijft niet schijnen;
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Het licht wordt donker in zijn tent, De lamp gaat boven hem uit.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Zijn krachtige tred wordt verlamd, Zijn eigen beleid doet hem struikelen;
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Want door zijn eigen voeten wordt hij in het net gedreven, En wandelt hij over de mazen.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Een klem grijpt zijn hiel, een net houdt hem vast.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Zijn strik ligt in de grond verborgen, een val op zijn pad;
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Verschrikkingen beangstigen hem van alle kant, En vervolgen hem, stap voor stap.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Het onheil hongert naar hem, De rampspoed staat aan zijn zijde gereed;
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Zijn huid wordt door ziekte verteerd, De eersteling van de dood slokt zijn leden op.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Hij wordt uit zijn tent gerukt, waar hij zich veilig waande, En zij sleept hem naar den vorst der verschrikking
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Zij woont in zijn tent, die hem niet langer behoort, En over zijn woning wordt zwavel gestrooid.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Van onderen verdorren zijn wortels, Van boven verwelken zijn twijgen;
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Zijn gedachtenis verdwijnt uit het land, Zelfs in de steppe heeft hij geen naam.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Men stoot hem uit het licht de duisternis in, Men jaagt hem uit de wereld weg;
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Hij heeft onder zijn volk geen kroost, geen geslacht, In zijn woonplaats geen, die hem rest.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Over zijn lot staat het Westen ontsteld, En het Oosten siddert er van:
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Waarachtig, zo gaat het met het verblijf van den boze, Met de woonplaats van hem, die God miskent!

< Ayubu 18 >