< Ayubu 21 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Job antwoordde, en sprak:
2 “Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
Luistert aandachtig naar wat ik ga zeggen; En dat uw troost zich daartoe bepale!
3 Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
Laat mij uitspreken op mijn beurt, Wanneer ik klaar ben, kunt ge spotten!
4 Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
Heb ik me soms over mensen beklaagd, Of heb ik geen grond, om mismoedig te zijn?
5 Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
Ziet mij aan, en staat verstomd, En legt uw hand op de mond!
6 Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
Wanneer ik er aan denk, sta ik verbijsterd, En huivert mijn vlees:
7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
"Waarom blijven de bozen in leven Worden zij oud en groeien in kracht?"
8 Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
Hun kroost gedijt voor hun aanschijn, Hun geslacht houdt stand voor hun ogen;
9 Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
Hun huizen zijn veilig en zonder vrees, Gods roede valt er niet op neer.
10 Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
Hun stier bespringt en bevrucht, Hun koeien kalven en hebben geen misdracht;
11 Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
Als een kudde laten ze hun jongens naar buiten, En hun kinderen springen rond.
12 Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
Ze zingen bij pauken en citer, Vermaken zich bij de tonen der fluit;
13 Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
Ze slijten hun dagen in weelde, En dalen in vrede ten grave. (Sheol h7585)
14 Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
Toch zeggen ze tot God: Blijf verre van ons, We willen uw wegen niet kennen!
15 Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
Wat is de Almachtige, dat we Hem zouden dienen; Wat baat het ons, te smeken tot Hem?
16 Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
Ligt hun geluk niet in hun eigen hand, Bemoeit Hij Zich wel met de plannen der bozen?
17 Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
Hoe dikwijls gaat de lamp der bozen wel uit, En stort er rampspoed op hen neer? Hoe dikwijls vernielt Hij de slechten in zijn toorn, Grijpen de weeën hen aan in zijn gramschap;
18 Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
Worden zij als stro voor de wind, Als kaf, opgejaagd door de storm?
19 Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
Gij zegt: God wreekt zijn misdaad op zijn kinderen, En zal hem zo zijn wraak laten voelen!
20 Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
Maar zijn eigen ogen moesten zijn rampspoed aanschouwen, Zelf moest hij de toorn van den Almachtige drinken!
21 Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
Want wat bekommert hij zich om zijn gezin na zijn dood, Wanneer het getal zijner maanden ten einde is?
22 Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
Zou men soms God de les willen lezen, Hij, die de hemelingen richt?
23 Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
En de een gaat dood, geheel voldaan, Volkomen gelukkig en rustig,
24 Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
Zijn lenden vol vet, Het merg in zijn beenderen nog fris.
25 Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
De ander sterft met een verbitterd gemoed, Zonder ooit het geluk te hebben gesmaakt!
26 Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
Tezamen liggen ze neer in het stof, Door de wormen bedekt!
27 Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
Zeker, ik ken uw gedachten, En de bedenkingen, die gij tegen mij aanvoert;
28 Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
Gij zegt: "Waar is het huis van den tyran, Waar de tent, waar de bozen in wonen?"
29 Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
Hebt gij de reizigers dan nooit ondervraagd, Of aanvaardt gij hun getuigenis niet:
30 kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
"De boze blijft gespaard op de dag van verderf, En ontsnapt op de dag van de gramschap!"
31 Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
Wie houdt hem zijn wandel voor ogen, Wie zet hem betaald wat hij deed?
32 Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
Hij wordt ten grave gedragen, En een tombe houdt er de wacht.
33 Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
Zacht ligt hij neer Op de kluiten in het dal; Heel de wereld trekt achter hem aan, Talloos velen lopen uit voor zijn stoet.
34 Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”
Wat is uw vertroosting dus schraal, Uw antwoord anders dan leugens!

< Ayubu 21 >