< Ayubu 28 >

1 Hakika kuna machimbo ya fedha, wanaposafisha dhahabu.
Da, srebro ima žice, i zlato ima mjesto gdje se topi.
2 Chuma uchimbwa; shaba uyeyushwa kutoka katika jiwe.
Gvožðe se vadi iz praha, i iz kamena se topi mjed.
3 Mtu anaondoa giza na kutafuta, katika mpaka wa mbali, mawe hayaonekani na giza totoro.
Mraku postavlja meðu, i sve istražuje èovjek do kraja, i kamenje u tami i u sjenu smrtnom.
4 Huchimba shimo mbali na makazi ya watu, mahali pasipopitwa na mtu. Huning'inia mbali na watu; uharakisha kwenda na kurudi.
Rijeka navre s mjesta svojega da joj niko ne može pristupiti; ali se odbije i odlazi trudom èovjeèjim.
5 Kwa nchi, kizalishwapo chakula, inapinduliwa kama kwa moto.
Iz zemlje izlazi hljeb, i pod njom je drugo, kao oganj.
6 Mawe yake yana johari, na vumbi lake lina dhahabu.
U kamenju je njezinu mjesto safiru, a ondje je prah zlatni.
7 Hata ndege mwindaji hapajui, wala jicho la kipanga halijapaona.
Te staze ne zna ptica, niti je vidje oko kragujevo;
8 Ndege mwenye majivuna hajawai kuiona njia hiyo, wala simba mkali kupita pale.
Ne ugazi je mlado zvijerje, niti njom proðe lav.
9 Mtu huchimba mwamba mgumu; hupindua milima katika vyanzo vyake.
Na kremen diže ruku svoju; prevraæa gore iz dna.
10 Huweka njia katika miamba; macho yake pale kila kilicho cha thamani.
Iz stijene izvodi potoke, i svašta dragocjeno vidi mu oko.
11 Hufunga vyanzo hata wasiondoke; kilichofichika pale hukifunua.
Ustavlja rijeke da ne teku, i što je sakriveno iznosi na vidjelo.
12 Hekima itakuwa wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
Ali mudrost gdje se nalazi? i gdje je mjesto razumu?
13 Mtu hafahamu thamani yake; wala haipatikani katika nchi ya walio hai.
Ne zna joj èovjek cijene, niti se nahodi u zemlji živijeh.
14 Vilindi vya maji chini ya nchi husema, 'Haiko kwangu'; bahari husema, 'Haipo pamoja nami.'
Bezdana veli: nije u meni; i more veli: nije kod mene.
15 Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha.
Ne može se dati èisto zlato za nju, niti se srebro izmjeriti u promjenu za nju.
16 Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au johari.
Ne može se cijeniti zlatom Ofirskim, ni dragim onihom ni safirom.
17 Dhahabu na fuwele hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi.
Ne može se izjednaèiti s njom ni zlato ni kristal, niti se može promijeniti za zaklade zlatne.
18 Hailinganishwi na marijani wala yaspi; hakika, thamani ya hekima inapita madini ya rubi.
Od korala i bisera nema spomena, jer je vrijednost mudrosti veæa nego dragom kamenju.
19 Topazi ya Ethiopia hailinganishwi nayo; wala kuthamanishwa kwa dhahabu safi.
Ne može se s njom izjednaèiti topaz Etiopski, niti se može cijeniti èistijem zlatom.
20 Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
Otkuda dakle dolazi mudrost? i gdje je mjesto razumu?
21 Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani.
Sakrivena je od oèiju svakoga živoga, i od ptica nebeskih zaklonjena.
22 Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'
Pogibao i smrt govore: ušima svojima èusmo slavu njezinu.
23 Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo.
Bog zna put njezin, i poznaje mjesto njezino.
24 Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote.
Jer gleda do krajeva zemaljskih i vidi sve što je pod svijem nebom.
25 Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.
Kad davaše vjetru težinu, i mjeraše vodu mjerom,
26 Aliiwekea mvua tamko na njia ya radi na munguromo.
Kad postavljaše zakon daždu i put munji gromovnoj.
27 Kisha akaiona hekima na kuitangaza; aliianzisha, bila shaka, na kuipima.
Još je onda vidje i oglasi je, uredi je i pretraži je.
28 Aliwambia watu, 'Tazameni, kumcha Bwana - ni hekima; kuacha uovu ni ufahamu.”
A èovjeku reèe: gle, strah je Božji mudrost, i uklanjati se oda zla jest razum.

< Ayubu 28 >