< Ayubu 7 >

1 Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi? Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?
Не искушение ли житие человеку на земли, и якоже наемника повседневнаго жизнь его?
2 Kama mtumwa atamaniye sana kivuli cha jioni, kama mwajiriwa atafutaye ujira wake -
Или якоже раб бояйся господа своего и улучив сень? Или якоже наемник ждый мзды своея?
3 hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku.
Такожде и аз ждах месяцы тщы, нощи же болезней даны ми суть.
4 Hapo nilalapo chini, najiuliza mwenyewe, 'Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?' Nimejawa na kujitupa huku na huko hadi mwanzo wa siku.
Аще усну, глаголю: когда день? Егда же востану, паки: когда вечер? Исполнен же бываю болезней от вечера до утра.
5 Mwili wangu umevikwa minyoo na madonda yenye vumbi; maumivu katika ngozi yangu yamekuwa magumu na kisha hutoweka na huendelea tena.
Месится же мое тело в гнои червей, обливаю же грудие земли, гной стружа.
6 Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia; zinapita bila tumaini.
Житие же мое есть скоряе беседы, погибе же во тщей надежди.
7 Mungu, anakumbuka kwamba maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona mema tena.
Помяни убо, яко дух мой живот, и ктому не возвратится око мое видети благая.
8 Jicho lake Mungu, huyo anionaye mimi, halitaniangalia tena; Macho ya Mungu yatanitazama, lakini sitakuwako.
Не узрит мене око видящаго мя: очи Твои на мне, и ктому несмь,
9 kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
якоже облак очищен от небесе: аще бо человек снидет во ад, ктому не взыдет, (Sheol h7585)
10 Yeye hatarudi tena nyumbani kwake, wala mahali pake hapatamtambua tena.
ни возвратится во свой дом, ниже имать его познати ктому место его.
11 Kwa sababu hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitasema juu ya maumivu makubwa ya roho yangu; Nitanung'unika juu ya uchungu wa nafsi yangu.
Убо ниже аз пощажу уст моих, возглаголю в нужди сый, отверзу уста моя горестию души моея сотеснен.
12 Je mimi ni bahari au kiumbe cha kutisha baharini hata ukaweka mlinzi juu yangu?
Еда море есмь, или змий, яко учинил еси на мя хранение?
13 Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,'
Рекох, яко утешит мя одр мой, произнесу же ко мне на едине слово на ложи моем:
14 halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono,
устрашаеши мя сониями и видениями ужасаеши мя:
15 ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.
свободиши от духа моего душу мою, от смерти же кости моя.
16 Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai.
Не поживу бо во век, да долготерплю: отступи от мене, тще бо житие мое.
17 Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake,
Что бо есть человек, яко возвеличил еси его? Или яко внимаеши умом к нему?
18 na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?
Или посещение твориши ему по всяко утро и в покои судити его имаши?
19 Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?
Доколе не оставиши мене, ниже отпускаеши мя, дондеже поглощу слины моя в болезни?
20 Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu? Kwa nini umenifanya shabaha yako, kiasi kwamba nimekuwa mzigo kwako?
Аще аз согреших, что Тебе возмогу соделати, сведый ум человечь? Почто мя еси положил прекословна Тебе, и есмь Тебе бременем?
21 Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu? kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; na wewe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwako.”
Почто неси сотворил беззаконию моему забвения, и очищения греха моего? Ныне же в землю отиду, утренюяй же несмь ктому.

< Ayubu 7 >