< Mambo ya Walawi 12 >

1 Yahweh akamwambia Musa,
I PAN przemówił do Mojżesza:
2 “zungumza na watu wa Israeli, uwaambie, 'endapo mwanamke anakuwa mjamzito na kujifungua mtoto wa kiume, naye atakuwa najisi kwa muda wasiku saba, ni kama tu vile anavyokuwa najisi katika siku za kipindi chake kwa mwezi.
Powiedz synom Izraela: Jeśli kobieta pocznie i urodzi chłopca, będzie nieczysta przez siedem dni; jak w dniach jej odłączenia z powodu swej miesięcznej słabości, będzie nieczysta.
3 Katika siku ya nane nyama ya govi la mtoto mvulana itatahiriwa.
A ósmego dnia zostanie obrzezany jego napletek.
4 Kisha utakaso wa mama wa kutokwa damu yake utaendelea kwa muda wa siku tatu. Haimpasi kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kukaribia eneo la hema mpaka zitakapomalizika siku za kutakaswa kwake.
Potem [ona] pozostanie przez trzydzieści trzy dni we krwi swego oczyszczenia; nie dotknie żadnej świętej rzeczy ani nie wejdzie do świątyni, aż wypełnią się dni jej oczyszczenia.
5 Lakini kama atajifungua mtoto wa kike, naye atakuwa najisi kwa mud wa majuma mawili, kama alivyo wakati wa kipindi chake. Kisha utakaso wa mama utaendelea kwa siku sitini sita.
A jeśli urodzi dziewczynkę, będzie nieczysta przez dwa tygodnie, jak podczas jej odłączenia. Potem pozostanie przez sześćdziesiąt sześć dni we krwi [swego] oczyszczenia.
6 Siku za kutakaswa kwake zitakapoisha, kwa ajili ya mwana au binti, atalazimika kuleta kwa kuhani mwana-kondoo wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au huwa kuwa sadaka ya dhambi, mbele ya ingilio la hema la kukutania,
A gdy wypełnią się dni [jej] oczyszczenia po synu lub po córce, przyniesie do kapłana przed wejście do Namiotu Zgromadzenia rocznego baranka na całopalenie i młodego gołębia lub synogarlicę na ofiarę za grzech;
7 Kisha atawatoa mbele za Yahweh na kufanya sadaka ya upatanisho kwa ajili yake, naye atatakaswa kutokana kutiririka kwa damu yake. Hii ndiyo sheria kuhusu mwanamke aifunguaye ama mtoto wa kiume au wa kike.
Ten złoży to w ofierze przed PANEM i dokona za nią przebłagania; i tak będzie oczyszczona od upływu swojej krwi. Takie jest prawo dla tej, która urodziła chłopca lub dziewczynkę.
8 Na kama hana uwezo wa kutoa mwana-kondoo, naye ataleta makinda mawili ya njiwa ua hua, mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kuwa sadaka ya dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake; naye atakuwa safi.”
A jeśli nie może [przynieść] baranka, to przyniesie dwie synogarlice lub dwa młode gołębie: jednego na całopalenie, a drugiego na ofiarę za grzech. I kapłan dokona za nią przebłagania i będzie czysta.

< Mambo ya Walawi 12 >