< Luka 8 >

1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye,
Majdată d aja Isusu pljika p trgurj š p saturj s rubjaskă Bună vorbă d cara alu Dimizov. Afost ku Isusu duavăsprjače apostolurj
2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba.
š njeke mujerj karje Isusu lja likujit dăla sufljeti alji rovj š dăla buală. Alja mujerj afost Marija karje afost d trg Magdala, dăn karje Isusu aputirit šaptje sufljeti alji rovj,
3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe.
Ivana, karje afost mujarja alu Kuza karje irja upravitelju ăn palače alu Herod, Suzana š multje altje mujerj. Jalje ku banji alor ažutat alu Isusuluj š alu apostolilor.
4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano.
Kănd pănglă Isusu sa străns mulc lumje dăn tot trgu, atunča Isusu lji rubja asta vorbă:
5 “mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila.
“Una zuvă aišăt omu s posijaskă sămănca ăn polje. Kănd aposijit, njeka sămănca akăzut p drum š lumja umbla p aja š puji lja amănkat.
6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu.
Njeka sămănca akăzut p pămănt undje jaštje buluvan š tek ča kriskut sa uskat daja če narje apă.
7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa.
Njeka sămănca akăzut ăntră mărčinj š mărčinjilje akriskut una ku jej š ja sa ugušăt.
8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. “Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,”Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie.”
A njeka sămănca akăzut p bun pămănt š krjaštje š rudjaštje d usută d vorj.” Isusu azăs aja, š astrigat: “Toc činje arje urjekj s audă, trjebje s puje urjajke š s razumjaskă!”
9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
Učenikurlje alu Isusuluj la antribat če značaštje asta vorbă.
10 Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
Isusu azăs: “Dopustit vuavă s razumic tajnilje d cara alu Dimizov. Ali koristjesk aša vorbje kănd jo ănvăc p alcă s ispunjaskă Svănta pismă: ‘S ujtă a nu prepoznajaštje, š s audă, a nu razumjaštje’.
11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.
Jakă če značaštje asta vorbă: sămănca je vorba alu Dimizov.
12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
A sămănca karje akăzut p drum prestavjaštje p ălja karje audje, ali vinje nikuratu š adus vorba alu Dimizov d inima alor aša s nu krjadje š nu s spasaskă.
13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka.
A sămănca karje akăzut p buluvan prestavjaštje p ălja karje audje, ku radost primjaštje vorba alu Dimizov, ali narje korjen. Ălja njeka vrijamje krjadje, a kănd vinje iskušjala prestanjaštje s krjadje.
14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda.
A sămănca karje akăzut ăn mărčinj prestavjaštje p ăštja karje punje urjajke la vorba alu Dimizov, ali kum vrijamja trjače, p jej lji ugušaštje brigilje, bugucija š tuatje užitkulje alu životuluj, daja jej nu duče plodu kopt.
15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu.
A sămănca karje akăzut p bun pămănt prestavjaštje p lumja karje ku bună š ku poštena inimă păzaštje vorba alu Dimizov karje audje, jej pljakă maj dăpartje kănd je grjev, daja jej aduče bun plod.”
16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona.
“Nimilja nu prindje lampa s viljaskă ku posuda ili s uaskundje dusu pat, njego s upuje p postolje aša toc ălja karje untră s puată s vjadă binje.
17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga.
K tot čije ăviljit osă fije dăzvăljit š tot čije skuns osă s štije š osă vije p lumină.
18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa.”
Daja punjec binje urjajke k ăla karje păzaštje vorba amja osă razumjaskă mult, a p ălja karje nu păzaštje vorba amja osă s ja š aja če găndjaštje k razumjaštje.”
19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu.
Atunča muma š fracă alu Isusuluj avinjit s l vjadă, ali na putut s vije la jel k afost mulc lumje.
20 Na akataarifiwa, “Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe.
Ajavit alu Isusuluj: “Mumuta š fracă alji tej stă afar š vrja s t vjadă.”
21 Lakini, Yesu akajibu akasema “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Kănd Isusu auzăt aja, azăs alu lumjej: “Ălja karje punje urjajke š askultă vorba alu Dimizov mije je ka muma š ka frac.”
22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, “Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa.” Wakaandaa mashua yao.
Ăn una zuvă azăs Isusu alu učenikurlje aluj: “Tričem p alta partje la apă.” Jej auntrat ăn čamac š aotplovit.
23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana.
Pănd plovja, Isusu ančiput s kulčje. Š ančiput s suflje marje vănt. Văntu ančiput s fakă marj valurj karje ančiput s napunjaskă čamacu d apă š jej sa găsăt ăn rov.
24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, “Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!” Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu.
Jej avinjit la Isusu š la skulat š ja zăs: “Gospodarulje, Gospodarulje, tonim!” A Isusu sa skulat, azapovidit alu văntuluj š alu valulor alji marj s stja š jej sa smirit š afost tišina.
25 Tena akawaambia, “Imani yenu iko wapi?” Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,”Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?”
Atunča Isusu azăs alu učenikurlje aluj: “Dăče nas krizut ăn minje?” A učenikurlje sa spirjat š sa mirat. Azăs unji alu alc: “Činje ăsta s zapovidjaskă čak š alu văntuluj š alu apăj, š punje urjajke la jel?”
26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya.
Avinjit ăn regija Gerasa, karje je p alta partje d apă d regija Galileja.
27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.
Čim Isusu aišăt d čamac p obală, avinjit la intja alu Isusuluj njeki om dăn trg karje avut sufljeti alji rovj ăn jel. Već d mult kum nu sa brkat nič atrijit ăn kasă njego irja la mărmănc.
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi”
Multă vrijamje sufljeti alji rovj l cănja š akă lumja la ljigat p lanacurj š okove š l păza, jel rupja lanacu š sufljeti alji rovj l natirja s pljače ăn lok undje nuje nimika. Kănd omula avizut p Isusu, acăpat. Isusu azapovidit alu sufljeti alji rovj s jašă d omula. Akăzut la intja alu Isusuluj š astrigat: “Če vrjaj dăla minje, Isusulje, Bijatu alu Maj marje Dimizov? Mărog d tinje, nu m mučja!”
29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani.
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” akajibu akisema, “Legioni” Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake.
Isusu la tribat: “Kum t kjem?” Jel zăče: “Mulc”, k afost ăn jel mulc sufljeti alji rovj.
31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
Š sufljeti alji rovj ančiput mult s s ruađje d Isusu s nu naridjaskă s pljače ăn jamă frzdă kraj undje osă fije kaznic. (Abyssos g12)
32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo.
A ănklo p djal mult porč s ranja. Sufljeti alji rovj sa rugat d Isusu s dopustjaskă s untră ăn porč š Isusu adopustit.
33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo.
Atunča sufljeti alji rovj aišăt d om š auntrat ăn porč. Toc porči adat fuga ăn zos dăpă djal ăn apă š sa nikat.
34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka.
Kănd lumja karje păza p porči avizut ča fost, afuđit š arazglasăt p trg š p saturj.
35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa.
A lumja avinjit s vjadje ča fost. Kănd jej ažuns, avizut p Isusu ku omu dăn karje aišăt sufljeti alji rovj. Avizut p omu karje šadje š punja urjajke la Isusu, ănbrkat š bun ăn kap. Š lumja sa spirjat.
36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa.
Jej karje avizut ča fost, arubit alu lumjaja kum Isusu likujit p omu ăn karje afost sufljeti alji rovj.
37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi.
Tuată lumja d regija Gerasa lja pukat marje frikă, š arugat p Isusu s pljače dăla jej. Isusu auntrat ăn čamac s pljače pisti apă ăndrăt.
38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema,
Majdată njego če Isusu š učenikurlje aluj aotplovit ăn čamac, omu d karje sufljeti alji rovj aišăt sa rugat mult d Isusu s puată s rămăje ku jel. Ali Isusu ja zăs:
39 “Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea” Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake.
“Ăntuarčitje akas š zi alu toc če Dimizov afukut d tinje.” Atunča jel apljikat š razglasăt p tot trgu če ja fukut Isusu.
40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja.
Multă lumje aštipta p Isusu s s ăntuarkă dăpă alta partje d apă. Kănd Isusu ažuns, toc ku radostu la štiptat.
41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake,
D dăturdată avinjit omu karje sa kima Jair, karje irja vođa alu lumje karje s sastaja ăn sinagogă. Akăzut la intja alu Isusuluj š mult sa rugat s vije ăn kasa aluj.
42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake.
Jel avut jedinică fată karje avut duavăsprjače d aj karje irja p muartje. Pănd Isusu pljika la Jair, mulc lumja l pinđja dăpă pistot.
43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja,
Ăntră lumje irja mujerj karje duavăsprjače d aj krvarja, š potrošăt tot ča vut p doktorjamje, ali nimilja na putut s ju likujaskă.
44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma.
Avinjit d drăt š apus măna p rubu alu cuala alu Isusuluj š odma aprestanit s krvarjaskă.
45 Yesu akasema, “Nani ambaye kanigusa?” Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga.”
Antribat Isusu: “Činje apus măna p minje?” Š pănd toc azăs: “Nu jo”, Petar azăs: “Gospodarulje, multă lumje t pinđje š t strănđe!”
46 Lakini Yesu akasema, “Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu.”
A Isusu azăs: “Njeko namjerno apus măna p minje. Amositit k săla aišăt d minje.”
47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla.
Kănd mujaraja saznajit k nu puatje s askundă k ja apus măna p Isusu, atrimurat d frikă š akăzut la intja alu Isusuluj š la intja alu tot narodu š lja zăs dăče apus măna p Isusu š kum odma sa likujit.
48 Kisha akasema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani.”
A Isusu alu je azăs: “Fata amja, tu ta likujit daja ča krizut. S c dja Dimizov mir pănd plječ!”
49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, “Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu.”
Kănd Isusu još arubit alu mujaraja, avinjit njeko d kasă alu Jair ku poruka: “Camurit fata. Nu maj muča učitelju više.”
50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, “Usiogope. Amini tu, na ataokolewa.”
Auzăt Isusu š azăs alu Jair: “Na vja frikă! Samo krjadje š ja osă fije binje!”
51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake.
Kănd Isusu avinjit ăn kasă alu Jair, Isusu adopustit samo alu Petar, alu Ivan, š alu Jakov, š alu tatăj š alu mamăj alu fataja s utrje ku jel.
52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, “Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu.”
Š toc karje već irja ăn kasă plănđja š tuguja dăpă ja. Isusu lja zăs: “Nu plănđec! Nuje muartă, njego s kulkă!”
53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa.
Atunča toc ančiput s s ljađe d jel daja ča štijut k je muartă.
54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, “Mtoto, inuka”
Isusu alato d mănă š astrigat: “Kupilulje, skual!”
55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale.
Š sufljetu sa tors š odma sa skulat. Isusu azăs s ji dja s mălănče.
56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
Roditelji alu je irja začudic, a Isusu ja naredit s nu zăkă alu nimilja če sa dogodit.

< Luka 8 >