< Marko 9 >

1 Na alisema kwao, “Hakika nasema kwenu, baadhi yenu kuna watu waliosimama hapa hawataonja mauti kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.”
ཨཐ ས ཏཱནཝཱདཱིཏ྄ ཡུཥྨབྷྱམཧཾ ཡཐཱརྠཾ ཀཐཡཱམི, ཨཱིཤྭརརཱཛྱཾ པརཱཀྲམེཎོཔསྠིཏཾ ན དྲྀཥྚྭཱ མྲྀཏྱུཾ ནཱསྭཱདིཥྱནྟེ, ཨཏྲ དཎྜཱཡམཱནཱནཱཾ མདྷྱེཔི ཏཱདྲྀཤཱ ལོཀཱཿ སནྟི།
2 Na baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana pamoja naye mlimani, pekee yao. Ndipo alianza kubadilika mbele yao.
ཨཐ ཥཌྡིནེབྷྱཿ པརཾ ཡཱིཤུཿ པིཏརཾ ཡཱཀཱུབཾ ཡོཧནཉྩ གྲྀཧཱིཏྭཱ གིརེརུཙྩསྱ ནིརྫནསྠཱནཾ གཏྭཱ ཏེཥཱཾ པྲཏྱཀྵེ མཱུརྟྱནྟརཾ དདྷཱར།
3 Mavazi yake yakaanza kung'aa sana, meupe zaidi, meupe kuliko mng'arishaji yeyote duniani.
ཏཏསྟསྱ པརིདྷེཡམ྄ ཨཱིདྲྀཤམ྄ ཨུཛྫྭལཧིམཔཱཎཌརཾ ཛཱཏཾ ཡད྄ ཛགཏི ཀོཔི རཛཀོ ན ཏཱདྲྀཀ྄ པཱཎཌརཾ ཀརྟྟཱཾ ཤཀྣོཏི།
4 Ndipo Eliya pamoja na Musa walitokea mbele yao, na walikuwa wakiongea na Yesu.
ཨཔརཉྩ ཨེལིཡོ མཱུསཱཤྩ ཏེབྷྱོ དརྴནཾ དཏྟྭཱ ཡཱིཤུནཱ སཧ ཀཐནཾ ཀརྟྟུམཱརེབྷཱཏེ།
5 Petro alijibu akamwambia Yesu, “Mwalimu, ni vyema sisi kuwa hapa, na tujenge vibanda vitatu, kimoja kwa ajili yako, kimoja kwa ajili Musa na kingine kwa ajili ya Eliya.”
ཏདཱ པིཏརོ ཡཱིཤུམཝཱདཱིཏ྄ ཧེ གུརོ྅སྨཱཀམཏྲ སྠིཏིརུཏྟམཱ, ཏཏཨེཝ ཝཡཾ ཏྭཏྐྲྀཏེ ཨེཀཱཾ མཱུསཱཀྲྀཏེ ཨེཀཱམ྄ ཨེལིཡཀྲྀཏེ ཙཻཀཱཾ, ཨེཏཱསྟིསྲཿ ཀུཊཱི རྣིརྨྨཱམ།
6 (Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana.)
ཀིནྟུ ས ཡདུཀྟཝཱན྄ ཏཏ྄ སྭཡཾ ན བུབུདྷེ ཏཏཿ སཪྻྭེ བིབྷཡཱཉྩཀྲུཿ།
7 Wingu lilitokea na kuwafunika. Ndipo sauti ikatoka mawinguni ikisema, “Huyu ni mwanangu mpendwa. Msikieni yeye.”
ཨེཏརྷི པཡོདསྟཱན྄ ཚཱདཡཱམཱས, མམཡཱཾ པྲིཡཿ པུཏྲཿ ཀཐཱསུ ཏསྱ མནཱཾསི ནིཝེཤཡཏེཏི ནབྷོཝཱཎཱི ཏནྨེདྱཱནྣིཪྻཡཽ།
8 Ghafla, walipokuwa wakitazama, hawakumuona yeyote pamoja nao, isipokuwa Yesu tu.
ཨཐ ཧཋཱཏྟེ ཙཏུརྡིཤོ དྲྀཥྚྭཱ ཡཱིཤུཾ ཝིནཱ སྭཻཿ སཧིཏཾ ཀམཔི ན དདྲྀཤུཿ།
9 Walipokuwa wanateremka kutoka mlimani, aliwaamuru kutokumwambia mtu yeyote yale yote waliyoyaona, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu.
ཏཏཿ པརཾ གིརེརཝརོཧཎཀཱལེ ས ཏཱན྄ གཱཌྷམ྄ དཱུཏྱཱདིདེཤ ཡཱཝནྣརསཱུནོཿ ཤྨཤཱནཱདུཏྠཱནཾ ན བྷཝཏི, ཏཱཝཏ྄ དརྴནསྱཱསྱ ཝཱརྟྟཱ ཡུཥྨཱབྷིཿ ཀསྨཻཙིདཔི ན ཝཀྟཝྱཱ།
10 Ndipo waliyatunza mambo wao wenyewe. Lakini walijadiliana wao kwa wao ni nini maana yake “kufufuliwa kutoka kwa wafu”
ཏདཱ ཤྨཤཱནཱདུཏྠཱནསྱ ཀོབྷིཔྲཱཡ ཨིཏི ཝིཙཱཪྻྱ ཏེ ཏདྭཱཀྱཾ སྭེཥུ གོཔཱཡཱཉྩཀྲིརེ།
11 Walimwuliza Yesu,”Kwa nini waandishi husema lazima Eliya aje kwanza?”
ཨཐ ཏེ ཡཱིཤུཾ པཔྲཙྪུཿ པྲཐམཏ ཨེལིཡེནཱགནྟཝྱམ྄ ཨིཏི ཝཱཀྱཾ ཀུཏ ཨུཔཱདྷྱཱཡཱ ཨཱཧུཿ?
12 Akawaambia, “hakika Eliya atakuja kwanza kuokoa vitu vyote. Kwa nini imeandikwa Mwana wa Adamu lazima apate mateso mengi na achukiwe?
ཏདཱ ས པྲཏྱུཝཱཙ, ཨེལིཡཿ པྲཐམམེཏྱ སཪྻྭཀཱཪྻྱཱཎི སཱདྷཡིཥྱཏི; ནརཔུཏྲེ ཙ ལིཔི ཪྻཐཱསྟེ ཏཐཻཝ སོཔི བཧུདུཿཁཾ པྲཱཔྱཱཝཛྙཱསྱཏེ།
13 Lakini nasema kwenu Eliya alikwisha kuja, na walimfanya kama walivyopenda, kama vile maandiko yasemavyo kuhusu yeye.”
ཀིནྟྭཧཾ ཡུཥྨཱན྄ ཝདཱམི, ཨེལིཡཱརྠེ ལིཔི ཪྻཐཱསྟེ ཏཐཻཝ ས ཨེཏྱ ཡཡཽ, ལོཀཱ: སྭེཙྪཱནུརཱུཔཾ ཏམབྷིཝྱཝཧརནྟི སྨ།
14 Na waliporudi kwa wanafunzi, waliona kundi kubwa limewazunguka na Masadukayo walikuwa wanabishana nao.
ཨནནྟརཾ ས ཤིཥྱསམཱིཔམེཏྱ ཏེཥཱཾ ཙཏུཿཔཱརྴྭེ ཏཻཿ སཧ བཧུཛནཱན྄ ཝིཝདམཱནཱན྄ ཨདྷྱཱཔཀཱཾཤྩ དྲྀཥྚཝཱན྄;
15 Na mara walipomwona, kundi lote lilishangaa na kumkimbilia kumsalimia.
ཀིནྟུ སཪྻྭལོཀཱསྟཾ དྲྀཥྚྭཻཝ ཙམཏྐྲྀཏྱ ཏདཱསནྣཾ དྷཱཝནྟསྟཾ པྲཎེམུཿ།
16 Aliwauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao juu ya nini?”
ཏདཱ ཡཱིཤུརདྷྱཱཔཀཱནཔྲཱཀྵཱིད྄ ཨེཏཻཿ སཧ ཡཱུཡཾ ཀིཾ ཝིཝདདྷྭེ?
17 Mmoja wao katika kundi alimjibu, “Mwalimu, nilimleta mwanangu kwako; ana roho chafu ambayo humfanya asiweze kuongea,
ཏཏོ ལོཀཱནཱཾ ཀཤྩིདེཀཿ པྲཏྱཝཱདཱིཏ྄ ཧེ གུརོ མམ སཱུནུཾ མཱུཀཾ བྷཱུཏདྷྲྀཏཉྩ བྷཝདཱསནྣམ྄ ཨཱནཡཾ།
18 na humsababishia kutetemeka na kumwangusha chini, na kutoka povu mdomoni na kusaga meno na kukakamaa. Niliwaomba wanafunzi wako kumtoa pepo, lakini hawakuweza.
ཡདཱསཽ བྷཱུཏསྟམཱཀྲམཏེ ཏདཻཝ པཱཏསཏི ཏཐཱ ས ཕེཎཱཡཏེ, དནྟཻརྡནྟཱན྄ གྷརྵཏི ཀྵཱིཎོ བྷཝཏི ཙ; ཏཏོ ཧེཏོསྟཾ བྷཱུཏཾ ཏྱཱཛཡིཏུཾ བྷཝཙྪིཥྱཱན྄ ནིཝེདིཏཝཱན྄ ཀིནྟུ ཏེ ན ཤེཀུཿ།
19 Aliwajibu, “Kizazi kisichoamini, nitakaa nanyi kwa muda gani? Nitachukuliana nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.”
ཏདཱ ས ཏམཝཱདཱིཏ྄, རེ ཨཝིཤྭཱསིནཿ སནྟཱནཱ ཡུཥྨཱབྷིཿ སཧ ཀཏི ཀཱལཱནཧཾ སྠཱསྱཱམི? ཨཔརཱན྄ ཀཏི ཀཱལཱན྄ ཝཱ ཝ ཨཱཙཱརཱན྄ སཧིཥྱེ? ཏཾ མདཱསནྣམཱནཡཏ།
20 Walimleta mtoto wake. Roho mchafu alipomwona Yesu, ghafla ilimtia katika kutetemeka. Mvulana alianguka chini na kutoa povu mdomoni.
ཏཏསྟཏྶནྣིདྷིཾ ས ཨཱནཱིཡཏ ཀིནྟུ ཏཾ དྲྀཥྚྭཻཝ བྷཱུཏོ བཱལཀཾ དྷྲྀཏཝཱན྄; ས ཙ བྷཱུམཽ པཏིཏྭཱ ཕེཎཱཡམཱནོ ལུལོཋ།
21 Yesu alimwuliza baba yake, “Amekuwa katika hali hii kwa muda gani?” Baba alisema, “Tangu utoto.
ཏདཱ ས ཏཏྤིཏརཾ པཔྲཙྪ, ཨསྱེདྲྀཤཱི དཤཱ ཀཏི དིནཱནི བྷཱུཏཱ? ཏཏཿ སོཝཱདཱིཏ྄ བཱལྱཀཱལཱཏ྄།
22 Mara nyingine huanguka katika moto au kwenye maji, na kujaribu kumwangamiza. Kama unaweza kufanya chochote tuhurumie na utusaidie.”
བྷཱུཏོཡཾ ཏཾ ནཱཤཡིཏུཾ བཧུཝཱརཱན྄ ཝཧྣཽ ཛལེ ཙ ནྱཀྵིཔཏ྄ ཀིནྟུ ཡདི བྷཝཱན ཀིམཔི ཀརྟྟཱཾ ཤཀྣོཏི ཏརྷི དཡཱཾ ཀྲྀཏྭཱསྨཱན྄ ཨུཔཀརོཏུ།
23 Yesu alimwambia, “Kama uko tayari? Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye.”
ཏདཱ ཡཱིཤུསྟམཝདཏ྄ ཡདི པྲཏྱེཏུཾ ཤཀྣོཥི ཏརྷི པྲཏྱཡིནེ ཛནཱཡ སཪྻྭཾ སཱདྷྱམ྄།
24 Ghafla baba wa mtoto alilia na kusema, “Naamini! Nisaidie kutokuamini kwangu.”
ཏཏསྟཏྐྵཎཾ ཏདྦཱལཀསྱ པིཏཱ པྲོཙྩཻ རཱུཝན྄ སཱཤྲུནེཏྲཿ པྲོཝཱཙ, པྲབྷོ པྲཏྱེམི མམཱཔྲཏྱཡཾ པྲཏིཀུརུ།
25 Wakati Yesu alipoona kundi linakimbilia kwao, alimkemea roho mchafu na kusema, “wewe roho bubu na kiziwi, nakuamuru mwache, usiingie kwake tena.”
ཨཐ ཡཱིཤུ རློཀསངྒྷཾ དྷཱཝིཏྭཱཡཱནྟཾ དྲྀཥྚྭཱ ཏམཔཱུཏབྷཱུཏཾ ཏརྫཡིཏྭཱ ཛགཱད, རེ བདྷིར མཱུཀ བྷཱུཏ ཏྭམེཏསྨཱད྄ བཧིརྦྷཝ པུནཿ ཀདཱཔི མཱཤྲཡཻནཾ ཏྭཱམཧམ྄ ཨིཏྱཱདིཤཱམི།
26 Alilia kwa nguvu na kumhangaisha mtoto na roho alimtoka. Mtoto alionekana kama amekufa, Ndipo wengi walisema, “Amekufa,”
ཏདཱ ས བྷཱུཏཤྩཱིཏྴབྡཾ ཀྲྀཏྭཱ ཏམཱཔཱིཌྱ བཧིརྫཛཱམ, ཏཏོ བཱལཀོ མྲྀཏཀལྤོ བབྷཱུཝ ཏསྨཱདཡཾ མྲྀཏཨིཏྱནེཀེ ཀཐཡཱམཱསུཿ།
27 Lakini Yesu alimchukua kwa mkono akamwinua, na mtoto alisimama.
ཀིནྟུ ཀརཾ དྷྲྀཏྭཱ ཡཱིཤུནོཏྠཱཔིཏཿ ས ཨུཏྟསྠཽ།
28 Wakati Yesu alipoingia ndani, wanafunzi wake walimwuliza faragha, “Kwa nini hatukuweza kumtoa?”
ཨཐ ཡཱིཤཽ གྲྀཧཾ པྲཝིཥྚེ ཤིཥྱཱ གུཔྟཾ ཏཾ པཔྲཙྪུཿ, ཝཡམེནཾ བྷཱུཏཾ ཏྱཱཛཡིཏུཾ ཀུཏོ ན ཤཀྟཱཿ?
29 Aliwaambia, “kwa namna hii hatoki isipokuwa kwa maombi.”
ས ཨུཝཱཙ, པྲཱརྠནོཔཝཱསཽ ཝིནཱ ཀེནཱཔྱནྱེན ཀརྨྨཎཱ བྷཱུཏམཱིདྲྀཤཾ ཏྱཱཛཡིཏུཾ ན ཤཀྱཾ།
30 Walitoka pale na kupitia Galilaya. Hakutaka mtu yeyote ajue walipo,
ཨནནྟརཾ ས ཏཏྶྠཱནཱདིཏྭཱ གཱལཱིལྨདྷྱེན ཡཡཽ, ཀིནྟུ ཏཏ྄ ཀོཔི ཛཱནཱིཡཱདིཏི ས ནཻཙྪཏ྄།
31 kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Adamu atafikishwa mikononi mwa watu, na watamuua. Atakapokuwa amekufa, baada ya siku tatu atafufuka tena.”
ཨཔརཉྩ ས ཤིཥྱཱནུཔདིཤན྄ བབྷཱཥེ, ནརཔུཏྲོ ནརཧསྟེཥུ སམརྤཡིཥྱཏེ ཏེ ཙ ཏཾ ཧནིཥྱནྟི ཏཻསྟསྨིན྄ ཧཏེ ཏྲྀཏཱིཡདིནེ ས ཨུཏྠཱསྱཏཱིཏི།
32 Lakini hawakuelewa maelezo haya, na waliogopa kumwuliza.
ཀིནྟུ ཏཏྐཐཱཾ ཏེ ནཱབུདྷྱནྟ པྲཥྚུཉྩ བིབྷྱཿ།
33 Ndipo walifika Karperinaumu. Wakati akiwa ndani ya nyumba aliwauliza, ''Mlikuwa mnajadili nini njiani”?
ཨཐ ཡཱིཤུཿ ཀཕརྣཱཧཱུམྤུརམཱགཏྱ མདྷྱེགྲྀཧཉྩེཏྱ ཏཱནཔྲྀཙྪད྄ ཝརྟྨམདྷྱེ ཡཱུཡམནྱོནྱཾ ཀིཾ ཝིཝདདྷྭེ སྨ?
34 Lakini walikuwa kimya. Kwani walikuwa wanabishana njiani kwamba nani alikuwa mkubwa zaidi.
ཀིནྟུ ཏེ ནིརུཏྟརཱསྟསྠུ ཪྻསྨཱཏྟེཥཱཾ ཀོ མུཁྱ ཨིཏི ཝརྟྨཱནི ཏེ྅ནྱོནྱཾ ཝྱཝདནྟ།
35 Alikaa chini akawaita kumi na wawili pamoja, na alisema nao, “Kama yeyote anataka kuwa wa kwanza, ni lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote.”
ཏཏཿ ས ཨུཔཝིཤྱ དྭཱདཤཤིཥྱཱན྄ ཨཱཧཱུཡ བབྷཱཥེ ཡཿ ཀཤྩིཏ྄ མུཁྱོ བྷཝིཏུམིཙྪཏི ས སཪྻྭེབྷྱོ གཽཎཿ སཪྻྭེཥཱཾ སེཝཀཤྩ བྷཝཏུ།
36 Alimchukua mtoto mdogo akamweka katikati yao. Akamchukua katika mikono yake, akasema,
ཏདཱ ས བཱལཀམེཀཾ གྲྀཧཱིཏྭཱ མདྷྱེ སམུཔཱཝེཤཡཏ྄ ཏཏསྟཾ ཀྲོཌེ ཀྲྀཏྭཱ ཏཱནཝཱདཱཏ྄
37 “Yeyote ampokeaye mtoto kama huyu kwa jina langu, pia amenipokea mimi, na ikiwa mtu amenipokea, hanipokei mimi tu, lakini pia aliyenituma.”
ཡཿ ཀཤྩིདཱིདྲྀཤསྱ ཀསྱཱཔི བཱལསྱཱཏིཐྱཾ ཀརོཏི ས མམཱཏིཐྱཾ ཀརོཏི; ཡཿ ཀཤྩིནྨམཱཏིཐྱཾ ཀརོཏི ས ཀེཝལམ྄ མམཱཏིཐྱཾ ཀརོཏི ཏནྣ མཏྤྲེརཀསྱཱཔྱཱཏིཐྱཾ ཀརོཏི།
38 Yohana alimwambia, “Mwalimu tulimwona mtu anatoa pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu hatufuati.”
ཨཐ ཡོཧན྄ ཏམབྲཝཱིཏ྄ ཧེ གུརོ, ཨསྨཱཀམནནུགཱམིནམ྄ ཨེཀཾ ཏྭཱནྣཱམྣཱ བྷཱུཏཱན྄ ཏྱཱཛཡནྟཾ ཝཡཾ དྲྀཥྚཝནྟཿ, ཨསྨཱཀམཔཤྩཱདྒཱམིཏྭཱཙྩ ཏཾ ནྱཥེདྷཱམ།
39 Lakini Yesu alisema, “Msimzuie, kwa kuwa hakuna atakayefanya kazi kubwa kwa jina langu na ndipo baadaye aseme neno baya lolote juu yangu.
ཀིནྟུ ཡཱིཤུརཝདཏ྄ ཏཾ མཱ ནིཥེདྷཏ྄, ཡཏོ ཡཿ ཀཤྩིན྄ མནྣཱམྣཱ ཙིཏྲཾ ཀརྨྨ ཀརོཏི ས སཧསཱ མཱཾ ནིནྡིཏུཾ ན ཤཀྣོཏི།
40 Yeyote asiyekuwa kinyume nasi yuko upande wetu.
ཏཐཱ ཡཿ ཀཤྩིད྄ ཡུཥྨཱཀཾ ཝིཔཀྵཏཱཾ ན ཀརོཏི ས ཡུཥྨཱཀམེཝ སཔཀྵཿ།
41 Yeyote atakayekupa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu uko na Kristo, kweli nawaambia, hatapoteza thawabu yake.
ཡཿ ཀཤྩིད྄ ཡུཥྨཱན྄ ཁྲཱིཥྚཤིཥྱཱན྄ ཛྙཱཏྭཱ མནྣཱམྣཱ ཀཾསཻཀེན པཱནཱིཡཾ པཱཏུཾ དདཱཏི, ཡུཥྨཱནཧཾ ཡཐཱརྠཾ ཝཙྨི, ས ཕལེན ཝཉྩིཏོ ན བྷཝིཥྱཏི།
42 Yeyote anayewakosesha hawa wadogo waniaminio mimi, ingekuwa vyema kwake kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa baharini.
ཀིནྟུ ཡདི ཀཤྩིན྄ མཡི ཝིཤྭཱསིནཱམེཥཱཾ ཀྵུདྲཔྲཱཎིནཱམ྄ ཨེཀསྱཱཔི ཝིགྷྣཾ ཛནཡཏི, ཏརྷི ཏསྱཻཏཏྐརྨྨ ཀརཎཱཏ྄ ཀཎྛབདྡྷཔེཥཎཱིཀསྱ ཏསྱ སཱགརཱགཱདྷཛལ མཛྫནཾ བྷདྲཾ།
43 Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna g1067)
ཨཏཿ སྭཀརོ ཡདི ཏྭཱཾ བཱདྷཏེ ཏརྷི ཏཾ ཚིནྡྷི;
44 (Zingatia: Mstari hii, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usiozimika.” haumo katika nakala za kale).
ཡསྨཱཏ྄ ཡཏྲ ཀཱིཊཱ ན མྲིཡནྟེ ཝཧྣིཤྩ ན ནིཪྻྭཱཏི, ཏསྨིན྄ ཨནིཪྻྭཱཎཱནལནརཀེ ཀརདྭཡཝསྟཝ གམནཱཏ྄ ཀརཧཱིནསྱ སྭརྒཔྲཝེཤསྟཝ ཀྵེམཾ། (Geenna g1067)
45 Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna g1067)
ཡདི ཏཝ པཱདོ ཝིགྷྣཾ ཛནཡཏི ཏརྷི ཏཾ ཚིནྡྷི,
46 (Zingatia: Mstari huu, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usioweza kuzimika” haumo kwenye nakala za kale).
ཡཏོ ཡཏྲ ཀཱིཊཱ ན མྲིཡནྟེ ཝཧྣིཤྩ ན ནིཪྻྭཱཏི, ཏསྨིན྄ ྅ནིཪྻྭཱཎཝཧྣཽ ནརཀེ དྭིཔཱདཝཏསྟཝ ནིཀྵེཔཱཏ྄ པཱདཧཱིནསྱ སྭརྒཔྲཝེཤསྟཝ ཀྵེམཾ། (Geenna g1067)
47 Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna g1067)
སྭནེཏྲཾ ཡདི ཏྭཱཾ བཱདྷཏེ ཏརྷི ཏདཔྱུཏྤཱཊཡ, ཡཏོ ཡཏྲ ཀཱིཊཱ ན མྲིཡནྟེ ཝཧྣིཤྩ ན ནིཪྻྭཱཏི,
48 Mahali palipo na funza wasiokufa, na moto usiozimika.
ཏསྨིན ྅ནིཪྻྭཱཎཝཧྣཽ ནརཀེ དྭིནེཏྲསྱ ཏཝ ནིཀྵེཔཱད྄ ཨེཀནེཏྲཝཏ ཨཱིཤྭརརཱཛྱེ པྲཝེཤསྟཝ ཀྵེམཾ། (Geenna g1067)
49 Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto.
ཡཐཱ སཪྻྭོ བལི རླཝཎཱཀྟཿ ཀྲིཡཏེ ཏཐཱ སཪྻྭོ ཛནོ ཝཧྣིརཱུཔེཎ ལཝཎཱཀྟཿ ཀཱརིཥྱཏེ།
50 Chumvi ni nzuri, kama chumvi ikipoteza ladha yake, utaifanyaje iwe na ladha yake tena? Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe, na muwe na amani kwa kila mmoja.”
ལཝཎཾ བྷདྲཾ ཀིནྟུ ཡདི ལཝཎེ སྭཱདུཏཱ ན ཏིཥྛཏི, ཏརྷི ཀཐམ྄ ཨཱསྭཱདྱུཀྟཾ ཀརིཥྱཐ? ཡཱུཡཾ ལཝཎཡུཀྟཱ བྷཝཏ པརསྤརཾ པྲེམ ཀུརུཏ།

< Marko 9 >