< Mika 2 >

1 Ole wao wale wanao wanaokusudia mabaya, kwa wale wanaokusudia kwenye vitanda vyao kufanya maovu. Katika asubuhi wanayafanya kwa sababu wana nguvu.
Ve dem som fara efter att göra skada, och hafva ondt för händer uti sina sänger, att de det om morgonen, då ljust varder, fullkomna skola; ty de äro herrar.
2 Wanatamani mashamba na kuyapunguza; wanazitamani nyumba na kuzichukua. Wanadhulumu mtu na nyumba yake, mtu na urithi wake.
De rifva åkrar till sig, och taga hus, hvilka de vilja; alltså bedrifva de våld med hvars och ens hus, och med hvars och ens arf.
3 Kwa hiyo Yahwe asema hivi, “Tazama, nakaribia kuleta janga dhidi ya huu ukoo, ambalo hamtazitoa shingo zenu. Hamtatembea kwa kiburi, kwa kuwa itakuwa wakati wa uovu.
Derföre säger Herren alltså: Si, jag tänker något ondt öfver detta slägte, der I edran hals icke skolen undandraga, och icke gå så stolte; ty det skall vara en ond tid.
4 Katika siku hiyo maadui zako wataimba wimbo kuhusu wewe, na kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni. Wataimba, 'Sisi Waisraeli tumeangamizwa kabisa; Yahwe hubadilisha eneo la watu wangu. Je ataliondoaje kutoka kwangu? Huwagawia mshamba yetu kusaliti.”'
På den tiden skall man sjunga ena viso om eder, och klaga: Det är ute: skall man säga: Vi äre förstörde; mins folks land tär en främmande herra. När skall han äter skifta oss åkrarna till, som han oss borttagit hafver?
5 Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutano wa Yahwe.
Ja väl, I skolen ingen del behålla uti Herrans menighet.
6 “Msitabiri,” wanasema. “Hawatayatabiri haya mambo; lawama hazitakuja.”
De säga: Man skall intet predika: ty sådana predikan kommer oss intet vid; vi varde intet så till skam.
7 Je litasemwa kweli, nyumba ya Yakobo, “je Roho ya Yahwe? Je haya ni matendo yake kweli?” Maneno yangu hayafai kwa kila mmoja atembeaye kwa unyoofu?
Jacobs hus tröster sig alltså: Menar du, att Herrans Ande är så all borto? Skulle han detta vilja göra? Det är sant, mitt tal är ljufligit dem frommom.
8 Hivi karibuni watu wangu wameinuka kama adui. Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa, kama maaskari kurudi kutoka kwenye vita kwa kile wakifikiriacho ni salama.
Men mitt folk skickar sig så, att jag deras fiende vara; måste; ty de röfva både kjortel och mantel af dem som säkre gå lika som uti ett örlig.
9 Mnawaendesha wanawake wangu kwa watu wangu kutoka kwenye nyumba nzuri; mnachukua baraka kutoka kwa watoto wao wadogo daima.
I drifven mins folks qvinnor ifrå sin lustiga hus, och borttagen allstädes min prydelse ifrå deras unga barn.
10 Inukeni na muondoke, kwa kuwa hii sio sehemu ambayo mnaweza kuishi, kwa sababu ya unajisi wake; imeangamizwa kwa maangamizo kabisa.
Derföre står upp, I måsten edar väg; I skolen här intet blifva. För deras afguderis skull måste de svårliga förderfvade varda.
11 Kama mtu akija kwenu katika roho ya uongo na kudanganya na kusema, “Nitatabiri kwenu kuhusu mvinyo na kilevi kikali,” angeweza kufikiriwa kuwa nabii kwa ajili ya hawa watu.
Fore jag med drafvel, och vore en lögnpredikare, och predikade huru de dricka och svälja skulle, det vore en Prophet för detta folk.
12 Nitawaleta pamoja wote hakika, Yakobo. Hakika nitawakusanya mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo katika zizi, kama kundi la wanyama katika malisho. Kutakuwa na kelele kwasababu ya wingi wa watu.
Men jag vill församla dig, Jacob, allan samman, och låta de qvarblefna i Israel tillhopakomma. Jag vill hafva dem tillhopa, såsom en hjord uti ett fårahus, och så som en hjord uti sina hyddo; så att det skall gny af menniskom.
13 Mtu avunjaye hufungua njia zao kwa ajili yao kwenda mbele yao. Wamebomoa kupitia lango na kutoka nje; mfalme wao atapita mbele yao. Yahwe atakuwa mbele yao.
Hjelten skall för dem slå sig igenom; de skola slå sig igenom, och gå ut och in genom porten; och deras Konung skall gå för dem, och Herren främst.

< Mika 2 >