< Nehemia 2 >

1 Katika mwezi wa Nisani, katika mwaka wa ishirini wa mfalme Artashasta, alichagua divai, na nikachukua divai na kumpa mfalme. Sasa sikuwahi kusikitikaa mbele yake.
A mjeseca Nisana godine dvadesete Artakserksa cara bijaše vino pred njim, i ja uzev vino dadoh ga caru. A preðe ne bijah neveseo pred njim.
2 Lakini mfalme akaniambia, “Kwa nini uso wako una huzuni? Hauonekani kuwa mgonjwa. Hii lazima iwe huzuni ya moyo.” Kisha nikaogopa sana.
I reèe mi car: što si lica nevesela, kad nijesi bolestan? nije drugo nego tuga u srcu. A ja se uplaših vrlo.
3 Nikamwambia mfalme, “Mfalme aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni? ikiwa mji, mahali pa makaburi ya baba yangu, uko katika magofu, na malango yake yameharibiwa kwa moto.”
I rekoh caru: da je živ car dovijeka! kako ne bih bio lica nevesela, kad je grad gdje su grobovi mojih otaca opustio i vrata mu ognjem spaljena?
4 Ndipo mfalme akaniambia, “Unataka nini nifanye?” Kwa hiyo nikamwomba Mungu wa mbinguni.
A car mi reèe: šta hoæeš? Tada se pomolih Bogu nebeskomu,
5 Nikamwambia mfalme, “Mfalme akiona vema, na ikiwa mtumishi wako amefanya vizuri machoni pako, unaweza kunituma Yuda, mji wa kaburi za baba zangu, ili nipate kuujenga tena.”
I rekoh caru: ako je ugodno caru i ako ti je mio sluga tvoj, pošlji me u Judeju u grad gdje su grobovi otaca mojih da ga sagradim.
6 Mfalme akanijibu (na malkia pia alikuwa amekaa karibu naye), “Utakaa kawa muda gani mpaka urudi?” Mfalme akaona vema kunipeleka nami nikampka muda.
A car mi reèe, a žena njegova sjeðaše do njega: koliko ti vremena treba na put, i kad æeš se vratiti? I bi ugodno caru, i pusti me kad mu kazah vrijeme.
7 Ndipo nikamwambia mfalme, “Ikiwa itampendeza mfalme, nipe barua kwa ajili ya wakuu ng'ambo ya Mto, ili wapate kuniruhusu nipite katika maeneo yao njiani kwenda Yuda.
Potom rekoh caru: ako je ugodno caru, da mi se da knjiga na knezove preko rijeke da me prate dokle ne doðem u Judeju,
8 Pia iwepo barua kwa Asafu, mlinzi wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kufanya mihimili ya malango ya ngome karibu na hekalu, na kwa ukuta wa mji, na kwa nyumba ambayo Nitaishi.” Kwa hiyo kwa sababu mkono mzuri wa Mungu ulikuwa juu yangu, mfalme alinipa hitaji langu.
I knjiga na Asafa èuvara šume careve da mi da drva za brvna na vrata od dvora uz dom Božji i za zid gradski i za kuæu u koju æu uæi. I dade mi car, jer dobra ruka Boga mojega bješe nada mnom.
9 Nilifika kwa wakuu ng'ambo ya Mto, na kuwapa barua za mfalme. Basi mfalme alikuwa amepeleka maofisa wa jeshi na wapanda farasi pamoja nami.
I tako doðoh ka knezovima preko rijeke, i dadoh im knjige careve. A car posla sa mnom vojvode i konjike.
10 Sanbalati Mhoroni na Tobbia mtumishi wa Amoni waliposikia jambo hili, walipendezwa sana kwa kuwa mtu alikuja ambaye alikuwa akijaribu kuwasaidia watu wa Israeli.
A kad to èu Sanavalat Oronjanin i Tovija sluga Amonac, bi im vrlo mrsko što doðe èovjek da se postara za dobro sinovima Izrailjevijem.
11 Basi, nikarudi Yerusalemu, na nilikuwa huko siku tatu.
Potom doðoh u Jerusalim, i bih ondje tri dana.
12 Niliamka usiku, mimi na watu wachache pamoja nami. Sikumwambia mtu yeyote kile Mungu wangu alichoweka ndani ya moyo wangu kufanya Yerusalemu. Hakukuwa na mnyama pamoja nami, isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.
Pa ustah noæu s nekoliko ljudi, a nikomu ne kazah što mi je Bog moj dao u srce da uèinim u Jerusalimu; i ne imah kljuseta sa sobom osim onoga na kom jahah.
13 Niliondoka usiku kwa njia ya lango la bondeni, kuelekea kisima cha joka na kwenye mlango wa jaa, na kukagua kuta za Yerusalemu, ambazo zimebomolewa, na milango ya mbao iliharibiwa na moto.
I izidoh noæu na vrata od doline, na izvor zmajevski, i na vrata gnojna, i razgledah zidove Jerusalimske kako bjehu razvaljeni i kako mu vrata bjehu ognjem popaljena.
14 Kisha nikaenda kwenye lango na Chemchemi ya Mfalme. Nafasi ilikuwa nyembamba sana kwa mnyama niliyekuwa nimempanda kupita.
Otuda proðoh na izvorska vrata i na carsko jezero, a ondje ne bješe mjesta da kljuse poda mnom prijeðe.
15 Kwa hiyo nilikwenda usiku huo kando ya bonde na kuchunguza ukuta, nikarudi nyuma na kuingia kwa lango la bondeni, na hivyo nikarudi.
Zato jahah uz potok po noæi i razgledah zid, pa se vratih na vrata od doline, i tako doðoh natrag.
16 Watawala hawakujua nilipokwenda au kile nilichofanya, na sikuwaambia Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala watawala, wala wengine waliofanya kazi hiyo.
Ali poglavari ne znadijahu kuda sam išao ni šta sam radio, jer do tada ne bijah ništa rekao ni Judejcima ni sveštenicima ni knezovima ni poglavarima ni drugima koji upravljahu poslom.
17 Nikawaambia, “Unaona shida tuliyo nayo, jinsi Yerusalemu iko katika magofu na milango yake imeharibiwa kwa moto. Njoni, tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiwe na aibu tena.”
Zato im rekoh: vidite u kakvom smo zlu, Jerusalim pust i vrata mu popaljena ognjem; dajte da zidamo zidove Jerusalimske, da više ne budemo rug.
18 Niliwaambia kuwa mkono mzuri wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu na pia kuhusu maneno ya mfalme ambayo aliniambia. Wakasema, “Hebu tuondoke na kujenga.” Kwa hiyo wakaimarisha mikono yao kwa ajili ya kazi nzuri.
I kazah im kako je dobra ruka Boga mojega nada mnom i rijeèi careve koje mi je rekao. Tada rekoše: ustanimo i zidajmo. I ukrijepiše im se ruke na dobro.
19 Lakini Sanbalati Mhoroni, na Tobia mtumishi wake Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, waliposikia habari hiyo, wakatucheka na kututukana; wakasema, “Unafanya nini? Je, unamgombana na mfalme?”
A kad to èu Sanavalat Oronjanin i Tovija sluga Amonac i Gisem Arapin, potsmijevaše nam se i rugaše nam se govoreæi: šta to radite? da se neæete odmetnuti caru?
20 Ndipo nikawajibu, “Mungu wa mbinguni atatupa ufanisi. Sisi ni watumishi wake na tutaondoka na kujenga. Lakini huna sehemu, hakuna haki, na hakuna dai la kihistoria huko Yerusalemu.”
A ja im odgovorih i rekoh: Bog nebeski daæe nam sreæu, a mi sluge njegove ustasmo i zidamo; ali vi nemate dijela ni prava ni spomena u Jerusalimu.

< Nehemia 2 >