< Hesabu 25 >

1 Israeli akakaa Shitimu, na wanaume wakaanza kufanya ukahaba na wanawake wa Moabu,
Potem Izrael zamieszkał w Szittim i lud zaczął uprawiać nierząd z córkami Moabu.
2 kwa kuwa Wamoabu waliwakaribishsa kutoa sadaka kwa miungu yao. Kwa hiyo watu wakala na kuisujudia miungu ya Moabu.
One zapraszały lud do ofiar swoich bogów. A lud jadł i oddawał pokłon ich bogom.
3 Watu wa Israeli wakaungana kumwabudu Baali wa Peori, na hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya Israeli.
I Izrael przyłączył się do Baal-Peora, i PAN bardzo rozgniewał się na Izraela.
4 BWANA akamwambia Musa, “Waue viongozi wote wa watu na uwanyonge mbele yangu ili waonekane wakati wa mchana, ili kwamba hasira yangu kali iondoke kwa Israeli.”
Wtedy PAN powiedział do Mojżesza: Zbierz wszystkich naczelników ludu i powieś ich przed PANEM na słońcu, aby zapalczywość gniewu PANA odwróciła się od Izraela.
5 Kwa hiyo Musa akawaambia viongozi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awanyonge watu wake ambao wameshiriki kumwabudu Baali wa Peori.”
Mojżesz powiedział więc do sędziów Izraela: Niech każdy z was zabije swoich ludzi, którzy przyłączyli się do Baal-Peora.
6 Kisha mtu mmoja wa Israeli akaleta mwanamke mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake. Hili lilitokea mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli, wakati walipokuwa wakilia mbele ya lango la hema ya kukutania.
A oto jeden z synów Izraela przyszedł i przyprowadził do swoich braci Midianitkę na oczach Mojżesza i na oczach całego zgromadzenia synów Izraela, którzy płakali [przed] wejściem do Namiotu Zgromadzenia.
7 Finehasi mwana wa Eliazari, mwana wa Haruni kuhani, alipoona hivyo, akainuka kutoka jamii ya watu akachukua mkuki mkononi mwake.
Gdy zobaczył to Pinchas, syn Eleazara, syna Aarona, kapłana, wstał spośród zgromadzenia i wziął do ręki oszczep.
8 Akamfuata yule mwanaume Muisraeli hemani na kuwachoma kwa mkuki wote wawili kwenye miili yao, wote yule Muisraeli na yule mwanamke. Kwa hiyo ile tauni ambayo Mungu alikuwa ameituma kwa watu wa Israeli ikakoma.
I poszedł za [tym] Izraelitą do namiotu, przebił oboje, tego Izraelitę oraz kobietę przez jej podbrzusze. I plaga wśród synów Izraela została powstrzymana.
9 Idadi ya wale waliokufa kwa tauni walikuwa elfu ishirini na nne.
A tych, którzy umarli od tej plagi, było dwadzieścia cztery tysiące.
10 BWANA akanena na Musa, akasema,
Potem PAN powiedział do Mojżesza:
11 “Finehasi mwana wa Eliazari mwana wa Haruni, kuhani amaigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli kwa sababu alikuwa na wivu kati yao juu ya wivu wangu. Kwa hiyo sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu.
Pinchas, syn Eleazara, syna Aarona, kapłana, odwrócił mój gniew od synów Izraela, gdyż okazał wśród nich gorliwość ze względu na mnie, tak że nie wytraciłem synów Izraela w mojej zazdrości.
12 Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, “Tazama, Ninampa Finehasi agano la amani.
Dlatego powiedz mu: Oto zawieram z nim moje przymierze pokoju;
13 Kwake na kwa wana wake baada yake, litakuwa agano la kudumu la ukuhani kwa sababu alikuwa na wivu juu yangu, Mungu wake. Amewapatanisha wana wa Israeli.
Będzie to dla niego i dla jego potomstwa po nim przymierze wiecznego kapłaństwa, ponieważ okazał gorliwość o swego Boga i dokonał przebłagania za synów Izraela.
14 Sasa yule Muisraeli aliyeuwawa pamoja na Yule mwanamke Mmidiani alikuwa Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa familia ya uzao wa Simeoni.
A imię [tego] Izraelity, który został zabity wraz z Midianitką, było Zimri; [był to] syn Salu, naczelnika domu swego ojca, [z pokolenia] Symeona.
15 Jina la yule Mmidiani aliyeuwawa lilikuwa Cozibi binti wa Zuri, ambaye alikuwa mkuu wa familia wa kabila huko Midiani.
Imię zabitej Midianitki [było] Kozbi, [była to] córka Sura, naczelnika w swoim narodzie i w domu swego ojca w Midianie.
16 Kwa hiyo BWANA akanena na Musa na kusema,
I PAN powiedział do Mojżesza:
17 “Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
Odnoście się wrogo do Midianitów i pobijcie ich;
18 kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”
Ponieważ oni odnosili się wrogo do was przez swoje podstępy, a podeszli was przez Baal-Peora i przez ich siostrę Kozbi, córkę księcia Midianu, która została zabita w dniu plagi z powodu Peora.

< Hesabu 25 >