< Hesabu 7 >

1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
W dniu, w którym Mojżesz zakończył wznoszenie przybytku, namaścił go i poświęcił wraz ze wszystkimi jego sprzętami, a także ołtarz ze wszystkimi jego naczyniami, namaścił je i poświęcił.
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
Naczelnicy Izraela, głowy domów swoich ojców, którzy byli naczelnikami z [każdego] pokolenia i przełożonymi nad tymi, którzy zostali spisani, złożyli ofiary.
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
Przynieśli swoje ofiary przed PANA: sześć krytych wozów, dwanaście wołów, po jednym wozie na dwóch naczelników i po jednym wole na każdego, i przyprowadzili to przed przybytek.
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Wtedy PAN powiedział do Mojżesza:
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
Weź to od nich na potrzebę służby w Namiocie Zgromadzenia i oddaj to Lewitom, każdemu według potrzeby jego służby.
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
Mojżesz wziął więc te wozy i woły i oddał je Lewitom.
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
Dwa wozy i cztery woły dał synom Gerszona według potrzeby ich służby.
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
Cztery zaś wozy i osiem wołów dał synom Merariego według potrzeby ich służby, pod nadzorem Itamara, syna kapłana Aarona.
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
Ale synom Kehata nie dał nic, bo ich służba w świątyni polegała na noszeniu na ramionach.
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
Naczelnicy ofiarowali swoje dary przed ołtarzem na jego poświęcenie, w tym dniu, w którym został namaszczony.
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
I PAN powiedział do Mojżesza: Niech złożą swoje ofiary, inny naczelnik każdego dnia, na poświęcenie ołtarza.
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
Pierwszego dnia swoją ofiarę złożył Nachszon, syn Amminadaba, z pokolenia Judy.
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
A jego ofiarę stanowiły: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu syklów, jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To była ofiara Nachszona, syna Amminadaba.
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
Drugiego dnia ofiarę złożył Netaneel, syn Suara, naczelnik [z pokolenia] Issachara.
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
Złożył on w ofierze jedną srebrną misę wagi stu trzydziestu syklów, jedną srebrną czaszę wagi siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
Jedną czarę z dziesięciu [syklów] złota pełną kadzidła;
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
Jednego młodego cielca, jednego barana i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Jednego kozła z kóz na ofiarę za grzech;
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Netaneela, syna Suara.
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
Trzeciego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Zebulona Eliab, syn Chelona.
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę stanowiły: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Eliaba, syna Chelona.
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
Czwartego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Rubena Elizur, syn Szedeura.
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu syklów złota pełna kadzidła;
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To była ofiara Elizura, syna Szedeura.
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
Piątego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Symeona Szelumiel, syn Suriszaddaja.
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę stanowiły: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Szelumiela, syna Suriszaddaja.
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
Szóstego dnia [ofiarę złożył] naczelny synów Gada Eliasaf, syn Deuela.
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To była ofiara Eliasafa, syna Deuela.
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
Siódmego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Efraima Eliszama, syn Ammihuda.
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Eliszamy, syna Ammihuda.
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
Ósmego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Manassesa Gamliel, syn Pedahsura.
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To była ofiara Gamliela, syna Pedahsura.
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
Dziewiątego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Beniamina Abidan, syn Gideoniego.
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Abidana, syna Gideoniego.
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
Dziesiątego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Dana Achiezer, syn Ammiszaddaja.
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Achiezera, syna Ammiszadaja.
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
Jedenastego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Aszera Pagiel, syn Okrana.
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Pagiela, syna Okrana.
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
Dwunastego dnia [ofiarę złożył] naczelnik synów Neftalego Achira, syn Enana.
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Jego ofiarę [stanowiły]: jedna srebrna misa wagi stu trzydziestu [syklów], jedna srebrna czasza [wagi] siedemdziesięciu syklów według sykla świątynnego, obydwie pełne mąki pszennej zmieszanej z oliwą, na ofiarę pokarmową;
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Jedna czara z dziesięciu [syklów] złota pełna kadzidła;
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
Jeden młody cielec, jeden baran i jedno roczne jagnię na ofiarę całopalną;
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Jeden kozioł z kóz na ofiarę za grzech;
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
A na ofiarę pojednawczą – dwa woły, pięć baranów, pięć kozłów i pięć jednorocznych jagniąt. To [była] ofiara Achiry, syna Enana.
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
To było poświęcenie ołtarza, w tym dniu, w którym został namaszczony przez naczelników Izraela: dwanaście srebrnych mis, dwanaście srebrnych czasz, dwanaście złotych czar;
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
Każda srebrna misa [ważyła] sto trzydzieści [syklów], każda czasza – siedemdziesiąt [syklów]. Całego srebra w tych naczyniach było dwa tysiące czterysta syklów według sykla świątynnego;
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
Złotych czar było dwanaście, pełnych kadzidła; każda [ważyła] dziesięć syklów według sykla świątynnego. Całego złota w tych czarach [było] sto dwadzieścia [syklów].
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
Wszystkich zwierząt na ofiarę całopalną było: dwanaście cielców, dwanaście baranów, dwanaście jednorocznych jagniąt wraz z ich ofiarą pokarmową i dwanaście kozłów z kóz na ofiarę za grzech.
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
A wszystkich zwierząt na ofiarę pojednawczą [było]: dwadzieścia cztery woły, sześćdziesiąt baranów, sześćdziesiąt kozłów i sześćdziesiąt jednorocznych jagniąt. To było poświęcenie ołtarza po jego namaszczeniu.
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
A gdy Mojżesz wchodził do Namiotu Zgromadzenia, aby rozmawiać z [Bogiem], wtedy słyszał głos mówiącego do niego z przebłagalni, która była nad arką świadectwa, spomiędzy dwóch cherubinów. I przemawiał do niego.

< Hesabu 7 >