< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
Un nom estimé est préférable à la grande richesse: la sympathie est plus précieuse que l’argent et que l’or.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Riche et pauvre sont sur la même ligne: l’Eternel les a faits l’un et l’autre.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
L’Homme avisé aperçoit le danger et se met à l’abri; les niais passent outre et en pâtissent.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
Fruits de l’humilité, de la crainte de Dieu: richesse, honneur et vie!
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Des lacets et des pièges sont semés sur la route du pervers; qui tient à sa vie s’en éloigne.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Donne au jeune homme de bonnes habitudes dès le début de sa carrière; même avancé en âge, il ne s’en écartera point.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
Le riche prime les pauvres; le débiteur est prisonnier de son créancier.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Qui sème l’injustice, récolte l’adversité, l’instrument de sa passion sera anéanti.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Celui qui a bon cœur sera béni, car il partage son pain avec le pauvre.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Expulse le persifleur, la discorde décampera avec lui, plus de disputes ni d’injures!
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Un ami au cœur pur, par l’agrément de ses lèvres, gagne l’affection du roi.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Les yeux de l’Eternel protègent le vrai savoir; mais ils renversent les entreprises du perfide.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Le paresseux s’écrie: "Il y a un lion dehors! Je vais être massacré en pleine rue!"
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
La bouche des femmes étrangères est comme un abîme profond; celui que Dieu réprouve y tombe.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
La sottise est attachée au cœur de l’adolescent; la verge qui châtie doit l’en arracher.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
On pressure le pauvre, et cela tourne à son profit; on donne au riche, et c’est un appauvrissement pour lui.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Incline ton oreille et écoute les paroles des sages; prête ton attention aux leçons de mon expérience.
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
II sera beau pour toi de les retenir en ton cœur, de les fixer en permanence sur tes lèvres.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Mets ta confiance en l’Eternel; voilà ce que je t’enseigne à toi-même en ce jour.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
N’Est-ce pas à ton intention que j’ai consigné par écrit d’importantes maximes, en fait de bons conseils et d’expérience,
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
pour t’apprendre ce qu’iI y a de réel dans les dictons de la vérité et te permettre de présenter fidèlement les choses à ceux qui t’envoient?
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Ne dépouille pas le faible parce qu’il est sans défense; n’écrase pas le pauvre à la Porte,
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
car l’Eternel prend en mains leur cause et il traite avec rigueur ceux qui leur infligent des vexations.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Ne fraye pas avec un homme irascible, ne lie pas société avec quelqu’un qui s’emporte:
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
tu pourrais copier leurs mœurs et t’engager toi-même dans un piège.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Ne sois pas de ceux qui disent: "Touchez-là!" et qui se portent garants pour des emprunts.
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Que tu n’aies pas de quoi payer, pourquoi t’exposer à ce que l’on saisisse la couche où tu reposes?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Ne déplace pas les bornes antiques, que tes pères ont posées.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Vois cet homme diligent dans son travail: il pourra paraître devant les rois au lieu de se tenir auprès des gens obscurs.

< Mithali 22 >