< Mithali 7 >

1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
Hijo mío, acepta lo que te digo y saca provecho de mis instrucciones.
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
Haz lo que te digo y vivirás. Observa mis enseñanzas, y estímalas como el objetivo principal de tu vida.
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
Átalas a tus dedos y escríbelas en tu mente.
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
A la sabiduría, dile: “Eres mi hermana”, y considera la inteligencia como tu mejor amiga.
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
Ellas te protegerán de la mujer inmoral, y de la prostituta que viene a ti con palabras seductoras.
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
Una vez miré a través de la ventana de mi casa,
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
y vi entre los jóvenes inmaduros a uno que era totalmente insensato.
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
Este hombre caminaba por la calle cerca a la esquina de la casa de la prostituta, y tomó el sendero que pasaba por su casa.
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
Ya era la hora del crepúsculo, y la luz se desvanecía, mientras llegaba la oscuridad de la noche.
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
Entonces salió esta mujer a su encuentro. Estaba vestida como una prostituta con intenciones engañosas.
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
(Era ruidosa y provocativa, sin deseo de quedarse en casa.
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
Por momentos caminaba por las calles, luego andaba por las plazas, vagabundeando en cada esquina).
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
Lo agarró y lo besó, y con osadía en su rostro, le dijo:
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
“Ya presenté mi ofrenda de paz hoy, y pagué mis votos.
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
Por eso vine a tu encuentro. ¡Te estaba buscando, y ahora te he encontrado!
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
Mi cama está lista, con sábanas de colores traídas desde Egipto.
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
En mi cama he rociado perfume, aromas de mirra, aloe y canela.
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
Ven conmigo, y hagamos el amor hasta el amanecer. ¡Disfrutemos el uno del otro haciendo el amor!
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
Mi esposo no está en casa, pues se ha ido a un largo viaje.
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
Se llevó una bolsa de dinero, y no volverá hasta la luna nueva”.
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
Así lo convenció con sus palabras, y lo sedujo con su hablar.
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
Él la siguió de inmediato, como buey llevado al matadero. Como ciervo atrapado en una trampa
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
hasta que una lanza traspasa su hígado, como un ave que vuela y queda atrapada, y no sabe que pagará con su vida.
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
Así que escúchame ahora, hijo mío, y presta atención a lo que digo.
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
No pienses ni siquiera en seguir a tal mujer. No camines por su casa.
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
Porque ella ha hecho caer a muchos hombres, y los ha destruido.
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
Su casa conduce a la muerte, y en su planta baja se encuentran las moradas de la muerte. (Sheol h7585)

< Mithali 7 >