< Zaburi 26 >

1 Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
Judge me, O Yhwh; for I have walked in mine integrity: I have trusted also in Yhwh; therefore I shall not slide.
2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
Examine me, O Yhwh, and prove me; try my reins and my heart.
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
For thy lovingkindness is before mine eyes: and I have walked in thy truth.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
I have not sat with vain persons, neither will I go in with dissemblers.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
I have hated the congregation of evil doers; and will not sit with the wicked.
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
I will wash mine hands in innocency: so will I compass thine altar, O Yhwh:
7 kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
That I may publish with the voice of thanksgiving, and tell of all thy wondrous works.
8 Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
Yhwh, I have loved the habitation of thy house, and the place where thine honour dwelleth.
9 Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
Gather not my soul with sinners, nor my life with bloody men:
10 ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
In whose hands is mischief, and their right hand is full of bribes.
11 Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
But as for me, I will walk in mine integrity: redeem me, and be merciful unto me.
12 Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!
My foot standeth in an even place: in the congregations will I bless Yhwh.

< Zaburi 26 >