< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
O meu coração ferve com palavras boas, falo do que tenho feito no tocante ao Rei: a minha língua é a pena de um dextro escritor.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Tu és mais formoso do que os filhos dos homens; a graça se derramou em teus lábios; portanto Deus te abençoou para sempre.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Cinge a tua espada à coxa, ó Valente, com a tua glória e a tua magestade.
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
E neste teu esplendor cavalga prosperamente, por causa da verdade, da mansidão e da justiça; e a tua dextra te ensinará coisas terríveis.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
As tuas flechas são agudas no coração dos inimigos do Rei, e por elas os povos cairam debaixo de ti
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
O teu trono, ó Deus, é eterno e perpétuo; o cetro do teu reino é um cetro de equidade.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Tu amas a justiça e aborreces a impiedade; portanto, Deus, o teu Deus, te ungiu com óleo de alegria, mais do que a teus companheiros.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Todos os teus vestidos cheiram a mirra, e aloes e cássia, desde os palácios de marfim de onde te alegram.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
As filhas dos reis estavam entre as tuas ilustres donzelas; à tua direita estava a rainha ornada de finíssimo ouro de Ophir.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Ouve, filha, e olha, e inclina os teus ouvidos; esquece-te do teu povo e da casa do teu pai.
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Então o rei se afeiçoará da tua formosura, pois ele é teu Senhor; adora-o.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
E a filha de Tiro estará ali com presentes; os ricos do povo suplicarão o teu favor.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
A filha do rei é toda ilustre por dentro: o seu vestido é de ouro engastado.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Leva-la-ão ao rei com vestidos bordados; as virgens que a acompanham a trarão a ti.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Com alegria e regozijo as trarão: elas entrarão no palácio do rei.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Em lugar de teus pais serão teus filhos; deles farás príncipes sobre toda a terra.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Farei lembrado o teu nome de geração em geração; pelo que os povos te louvarão eternamente.

< Zaburi 45 >