< Zaburi 48 >

1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
A song or Psalme committed to the sonnes of Korah. Great is the Lord, and greatly to be praysed, in the Citie of our God, euen vpon his holy Mountaine.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Mount Zion, lying Northwarde, is faire in situation: it is the ioy of the whole earth, and the Citie of the great King.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
In the palaces thereof God is knowen for a refuge.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
For lo, the Kings were gathered, and went together.
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
When they sawe it, they marueiled: they were astonied, and suddenly driuen backe.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Feare came there vpon them, and sorowe, as vpon a woman in trauaile.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
As with an East winde thou breakest the shippes of Tarshish, so were they destroyed.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
As we haue heard, so haue we seene in the citie of the Lord of hostes, in the Citie of our God: God will stablish it for euer. (Selah)
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
We waite for thy louing kindnes, O God, in the middes of thy Temple.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
O God, according vnto thy Name, so is thy prayse vnto the worlds end: thy right hand is full of righteousnes.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
Let mount Zion reioyce, and the daughters of Iudah be glad, because of thy iudgements.
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Compasse about Zion, and goe round about it, and tell the towres thereof.
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Marke well the wall thereof: beholde her towres, that ye may tell your posteritie.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
For this God is our God for euer and euer: he shall be our guide vnto the death.

< Zaburi 48 >