< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
A Psalme or song committed to the sonnes of Korah. God layde his foundations among the holy mountaines.
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
The Lord loueth the gates of Zion aboue all the habitations of Iaakob.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Glorious things are spoken of thee, O citie of God. (Selah)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
I will make mention of Rahab and Babel among them that knowe me: beholde Palestina and Tyrus with Ethiopia, There is he borne.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
And of Zion it shall be sayde, Many are borne in her: and he, euen the most High shall stablish her.
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
The Lord shall count, when hee writeth the people, He was borne there. (Selah)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
Aswell the singers as the players on instruments shall prayse thee: all my springs are in thee.

< Zaburi 87 >