< Wahebrania 6 >

1 Basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya mwanzo ya Kikristo. Hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo kama vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini Mungu;
Eyo mana tulei galyo tubeiyegana kuhusu uyumbe wa Kristo, tupalikwa tube ni juhudi kugenda kwenye kukomala, kana tubeke misingi ya toba kuoma mukasi yelo ntopo uhai ni imani ku Nnongo,
2 mafundisho juu ya ubatizo na kuwekewa mikono; ufufuo wa wafu na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
wala misingi ya mayegeyo ya ubatizo, ni kuabekya maboko, kuyoka kwa bawile, ni hukumu ya milele. (aiōnios g166)
3 tusonge mbele! Hayo tutayafanya, Mungu akitujalia.
Twatetende eno mana Nnongo atukanikiye kwaa.
4 Maana watu wanaoiasi imani yao inawezekanaje kuwarudisha watubu tena? Watu hao walikwisha kuwa katika mwanga wa Mungu, walikwisha onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;
Iwesekana kwaa balyo bapatike nuru awali, bate paya kipawa sa kumaunde, ni kutendwa kuba ashirika ba Roho mtakatifu,
5 walikwisha onja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao, (aiōn g165)
ni ambao batepaya kunoga liyaulyo lya Nnongo ni kwa ngupu za wakati uisa. (aiōn g165)
6 kisha wakaiasi imani yao! Haiwezekani kuwarudisha watubu tena, kwa sababu wanamsulubisha tena Mwana wa Mungu na kumwaibisha hadharani.
Kisha kabatomboka iwesekana kwaalelo kuabakiya kutoba. Yeno mwalo bate kuusulubisa mwana wa Nnongo kwa mara yana ibele munafsi yabe, kabantenda kigombo sa zihaka hadharani.
7 Mungu huibariki ardhi ambayo huipokea mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha mimea ya faida kwa mkulima.
Kwa kuwa bwee upokya ula itomboka mara kwa mara kunani yake, ni kuipya mauno ganoike kwa abo batei kasi kubwee. kupokya baraka kuoma kwa Nnongo.
8 Lakini kama ardhi hiyo ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto.
Lakini mana kubeleka miiba ni manyei, ntopo thamani, lelo ni ibi muhatari ya kulaaniwa mwiso wake kuteketezwa.
9 Lakini, ingawa twasema namna hii, wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu ya hali yenu. Tunajua kwamba mmepokea baraka zile bora za wokovu wenu.
Japo tulongela eno, mambwiga apendwa, twanda shawishiwa galyo ganoike kwinu ni galyo gauokovu.
10 Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake.
Kwa kuba Nnongo dhalimu kwaa aleba kwaa kasi yinu ni kwaupendo wa muuboniye mwalowa lina lyake, kwaleno mwatumikile baamini na mkebado mwatumikia.
11 Hamu yetu ni kwamba kila mmoja wenu aonyeshe bidii hiyohiyo mpaka mwisho, ili yale mnayotumainia yapate kutimia.
Tupala kila yumo winu abonenye bidii yeyelyo mpaka mwisho mwa uhakika kuba ngangale.
12 Msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu na hivyo wanapokea yake aliyoahidi Mungu.
Tukani mube anyongou, lakini mbe afuasi wa balyo barithio ahadi mwalo wa imani ni uvumulivu.
13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
Mana Nnongo ampayi Ibrahimu ahadi, alapike kea nafsi yake mwene, mwalo iwesekanike kwaa kulapa kwa ywenge, maana ntopo ywenge nkolo kuuloka ywembe.
14 Mungu alisema: “Hakika nitakubariki na nitakupa wazawa wengi.”
Kakoya, “Hakika nakubariki na nayongeya ubelei wako muno.”
15 Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na Mungu.
Kwa ndela yeno, Abrahamu apokile selo aaidilwe baada ya kulenda kwa uvumilivu.
16 Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote.
Maana badu kulapa kwa yembe nkolo kuloka bembe, ni kwabe kikomo sa masindano goti ni kulapa kwa kugathibitisha.
17 Naye Mungu aliimarisha ahadi yake kwa kiapo; na kwa namna hiyo akawaonyesha wazi wale aliowaahidia kwamba hatabadili nia yake.
Palyo Nnongo ateamua kuboneya kwa uwazi kwa baritrhi ba ahadi kusudi lyake linoike libadilika kwaa, athibitishe kwa kulapa.
18 Basi, kuna vitu hivi viwili: ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
Atei eyo kwa ilebe ibe iwesa kwaa kutendebuka, muengo Nnongo awesa kwaa kukoya uboso, twenga tubutukii hifadhi tupate kuyeyelwa mwoyo kukamuliya kwaa ngupu litumaini libekilwe kulonge yitu.
19 Tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. Tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
Tubinayo uyasiri kati nanga ngangale ni yakutengema roho yitu, uyasiri wandoyingiya nkati ukiogo ya pazia.
20 Yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki. (aiōn g165)
Yesu ayingii sehemu ya kati nlongoli witu, mana ayomwike kufanyika kuhani nkolo hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn g165)

< Wahebrania 6 >